Lepanto
JF-Expert Member
- Jan 5, 2015
- 1,162
- 500
mawazo ya kijingaYanga wajifunze kugangamala na wao. Mbona timu nyingine zimecheza na hao wanajeshi tangu mwanzo wa ligi na hawakulalamika?
Yanga kama wangeshinda wala kusingekuwa na hizi kelele za undava wa wanajeshi. Soka ni mchezo wa kiume, kama hamtaki mikiki kachezeni gofu.
Ova