Kama JKT Ruvu wanawafanya Yanga hivi hakuna hatua, basi tujiandae na mengi

Kama JKT Ruvu wanawafanya Yanga hivi hakuna hatua, basi tujiandae na mengi

Yanga wajifunze kugangamala na wao. Mbona timu nyingine zimecheza na hao wanajeshi tangu mwanzo wa ligi na hawakulalamika?
Yanga kama wangeshinda wala kusingekuwa na hizi kelele za undava wa wanajeshi. Soka ni mchezo wa kiume, kama hamtaki mikiki kachezeni gofu.
Ova
mawazo ya kijinga
 
Back
Top Bottom