Uchaguzi 2020 Kama juma moja tu la Tundu Lissu kusimama jukwaani akitafuta wadhamini limewafanya CCM watafutane kwa kurunzi, siku 60 za kampeni itakuwaje?

Uchaguzi 2020 Kama juma moja tu la Tundu Lissu kusimama jukwaani akitafuta wadhamini limewafanya CCM watafutane kwa kurunzi, siku 60 za kampeni itakuwaje?

RockCarnegie

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2019
Posts
963
Reaction score
1,927
Kuanzia Mwenyekiti wa CCM Rais Magufuli, mwenezi Polepole na makada wengine ni kama vile wamepigwa ganzi!

Maendeleo waliyohubiri kuyafanya kwa miaka mitano yameyeyuka mithili ya theluji kwenye joto la jua!

Stigler's, flyover, ndege na SGR zimewekwa kwenye mizani ya uhalisia wa maendeleo ya watu na nguli wa siasa nchini Tanzania ndugu Tundu Lissu, zimeonekana kupungua kwa kiwango cha kutisha! Kwa sasa jahazi hili lilikuwa turufu ya kuivusha CCM ya Magufuli limepigwa na tsunami, linayumba na karibia linazama!

Mwenyekiti na wanachama wa CCM wanalia, 'mabeberu' 'mabeberu', 'wasaliti' 'wasaliti' 'wametumwa 'wametumwa'! Hawana hoja tena ya kutetea waliyojimwambafai nayo kwa miaka mitano mfululizo!

Juma moja la Tundu Lissu jukwaani tayari wamesharusha mawe huko jimbo la Hai, huku matukio ya Arusha na Ruangwa yakithibitisha kwa CCM ya Magufuli inataka kuwaaga Watanzania kwa kuvuruga amani wanayoihubiri kila uchwao!

Je wasanii 200 na nyimbo 500 za kusifu na kuabudu ni safina mpya ya wanaCCM itakayowaokoa na siku 60 ya kimbunga cha kampeni kutoka vijana wa CHADEMA wakiongozwa kamanda Tundu Lissu?

Heri mimi sijasema, tusubiri tuone!
 
Kwa jinsi wabongo tulivyo huu mtiti utawasumbua sana CCM kwa sababu for 5 yrs wabongo wamekuwa wakisikia mtu mmoja au upande mmoja tuu kila siku, hata pale ambapo kuna mengi mazuri but tayari wamekuwa wakiyasikia yale yale kila siku. Sasa ghafla wameingia wachezaji wapya lazima kila mtu atatamani kwenda kumuona...Yaani hili halikwepeki.....
 
Naamimi ni kawaida. Binadamu tuna tabia ya kuongopa vichaa, nyoka, mbwa, simba, na wote wenye uwezo mdogo wa fikra! Ukiona watu wema wanakuogopa sana, weka alama ya "?". Usiamini ni umaarufu.
 
Baada ya kupuuzwa na ccm, lissu upepo wake kisiasa umeshakata. Hii ndio siasa. Subiri chama kubwa, chama la wana likianza kupasuasa miamba. Upinzani na tuvyama kama cdm vyote vitapoteana.
 
leo wamewaandaa wajasiliadini wayanadi maendeleo yameshindwa kuonekana kwa macho juzi waliwalipa wasanii wayanadi.Maendeleo sio kondomu hadi utie mkono mfukoni uguse,
 
Wamepigwa ganzi hawajaamini kama watz bado wangekuwa na hamu ya kumsikiliza mtu mwingine baada ya miaka yote ya kusikilizishwa SGR, Stigla, flaiova na maendeleo makubwa makubwa😂😂
 
Kuanzia Mwenyekiti wa CCM Rais Magufuli, mwenezi Polepole na makada wengine ni kama vile wamepigwa ganzi!

Maendeleo waliyohubiri kuyafanya kwa miaka mitano yameyeyuka mithili ya theluji kwenye joto la jua!

Stigler's, flyover, ndege na SGR zimewekwa kwenye mizani ya uhalisia wa maendeleo ya watu na nguli wa siasa nchini Tanzania ndugu Tundu Lissu, zimeonekana kupungua kwa kiwango cha kutisha! Kwa sasa jahazi hili lilikuwa turufu ya kuivusha CCM ya Magufuli limepigwa na tsunami, linayumba na karibia linazama!

Mwenyekiti na wanachama wa CCM wanalia, 'mabeberu' 'mabeberu', 'wasaliti' 'wasaliti' 'wametumwa 'wametumwa'! Hawana hoja tena ya kutetea waliyojimwambafai nayo kwa miaka mitano mfululizo!

Juma moja la Tundu Lissu jukwaani tayari wamesharusha mawe huko jimbo la Hai, huku matukio ya Arusha na Ruangwa yakithibitisha kwa CCM ya Magufuli inataka kuwaaga Watanzania kwa kuvuruga amani wanayoihubiri kila uchwao!

Je wasanii 200 na nyimbo 500 za kusifu na kuabudu ni safina mpya ya wanaCCM itakayowaokoa na siku 60 ya kimbunga cha kampeni kutoka vijana wa CHADEMA wakiongozwa kamanda Tundu Lissu?

Heri mimi sijasema, tusubiri tuone!
Rubbish
 
Baada ya kupuuzwa na ccm, lissu upepo wake kisiasa umeshakata. Hii ndio siasa. Subiri chama kubwa, chama la wana likianza kupasuasa miamba. Upinzani na tuvyama kama cdm vyote vitapoteana.
Kunywa mseto upone malaria, panadol haitakusaidia!
 
Kuanzia Mwenyekiti wa CCM Rais Magufuli, mwenezi Polepole na makada wengine ni kama vile wamepigwa ganzi!

Maendeleo waliyohubiri kuyafanya kwa miaka mitano yameyeyuka mithili ya theluji kwenye joto la jua!

Stigler's, flyover, ndege na SGR zimewekwa kwenye mizani ya uhalisia wa maendeleo ya watu na nguli wa siasa nchini Tanzania ndugu Tundu Lissu, zimeonekana kupungua kwa kiwango cha kutisha! Kwa sasa jahazi hili lilikuwa turufu ya kuivusha CCM ya Magufuli limepigwa na tsunami, linayumba na karibia linazama!

Mwenyekiti na wanachama wa CCM wanalia, 'mabeberu' 'mabeberu', 'wasaliti' 'wasaliti' 'wametumwa 'wametumwa'! Hawana hoja tena ya kutetea waliyojimwambafai nayo kwa miaka mitano mfululizo!

Juma moja la Tundu Lissu jukwaani tayari wamesharusha mawe huko jimbo la Hai, huku matukio ya Arusha na Ruangwa yakithibitisha kwa CCM ya Magufuli inataka kuwaaga Watanzania kwa kuvuruga amani wanayoihubiri kila uchwao!

Je wasanii 200 na nyimbo 500 za kusifu na kuabudu ni safina mpya ya wanaCCM itakayowaokoa na siku 60 ya kimbunga cha kampeni kutoka vijana wa CHADEMA wakiongozwa kamanda Tundu Lissu?

Heri mimi sijasema, tusubiri tuone!
Wanapoteza hela tu, hizo pesa wangelizitumia kuongeza mishahara ya wafanyakazi na mengineyo ya msingi
 
Back
Top Bottom