Uchaguzi 2020 Kama juma moja tu la Tundu Lissu kusimama jukwaani akitafuta wadhamini limewafanya CCM watafutane kwa kurunzi, siku 60 za kampeni itakuwaje?

Ni aibu hadi CCM wanakodi wahuni washambulie msafara wa Lissu!! Tena wajijificha kwa gari la police laah
 
Baka kapigwa 8 kipigo cha mbwa koko ...The Great LISSU anakuja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…