Hio inafahamika Ila lazima mfunzwe adabu kwanza alafu taratibu zingine zitafuata,Kuua kama kuua ni kosa kisheria hivyo siwezi kabisa kufurahia au kushabikia tukio kama hilo, kwahiyo na wewe umefurahishwa na yaliyotokea? Zipo taratibu za kufuatwa kiuhalisia MP ni askari jeshi kwa ajili ya kudeal na civilian?
Kabisa vijana kama hawa ni kuwaweka ignore list tu sasa tuone atamjibu nani humu hawana akili hawaAchana nae uyo suma jkt
Sawa funzeni.Hio inafahamika Ila lazima mfunzwe adabu kwanza alafu taratibu zingine zitafuata,
Inazidi kunifanya kuipa respect sana Maroon beret.... Kweli ni beret iliyojaaliwa ni beret ya wachache mno.Hio inafahamika Ila lazima mfunzwe adabu kwanza alafu taratibu zingine zitafuata,
Hii ni mentality ya KIPUMBAVU SANA, yaani anafanya kosa mtu mmoja wanaadhibu mama zetu, baba zetu, dada zetu, wadogo na watoto wetu, eti "unawatia adabu" adabu ipo hiyo?Kibano kitaendelea hadi jasho liwatoke hakuna atakayewatetea awe wa ndani au nje ili siku nyingine mjifunze.Hata watoto au familia zao hamuwezi kuwafanya lolote.Jifunzeni kuheshimu majeshi yetu, mnanyonyana korodani sababu ya wao kujitoa mhanga usiku na mchana laiti mngejua mazingira wanayofanyia kazi na hawana pahala pa kulalamikia.Next time mjifunze na kuwa na adabu, hiyo ni trailer msiombe picha ianze
Unataka kusema uyo kanal yuko juu ya sheria.....sijui mkoje nyie hamthamini wenzenu kabisa mnajikuta kinoma sasa kila mtu aseme ivyo itakuwaje......wewe unajua inachukua miaka mingap na sh ngap kumuandaa daktari bingwa?Wewe mjinga achana na jeshi, Huna kazi za kufanya? Mbona unashupaa sana au tukutafute na wewe? Unajua inachukua muda gani kumuandaa Kanali.POPOMA WEWE SHIKA ADABU YAKO. ETI CDF AOMBE RADHI YA NINI
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]msemaji wao alisema jeshi letu ni la sita kwa ubora wa majeshi duniani nendeni mkagugo
Ni mpumbavu huyoMkuu usimhusishe mama ake, huyu bichwa lake ndo bovu af ana lack exposure. Ni kolokoloni mmoja mshamba tu
Nimechekaa had baas. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakati mwingine hao wajeshi waishi pekee yao. Mwalimu Nyerere alipowawekea baa zao na maduka yao alijua.
Hao wakikosa vita wanapagawa wanaweza kupiga hata ukuta.
Hao wahanga kama wapo watani zangu waende mahakamani nawajua watauza hata nyumba ili walipwe fidia ya kupigwa.
Na wewe paparazi ole wako wakushtukie utatembezwa bila nguo kambini hata mtaani kwako.
Kenge wewe unahoji maswali ya kitoto daktari Bingwa yupi alieuawa na raia au alieuawa na mwanajeshi? Usiongee ujinga kenge weweUnataka kusema uyo kanal yuko juu ya sheria.....sijui mkoje nyie hamthamini wenzenu kabisa mnajikuta kinoma sasa kila mtu aseme ivyo itakuwaje......wewe unajua inachukua miaka mingap na sh ngap kumuandaa daktari bingwa?
Wewe ni wa kudakwa na kupewa funzo la mwaka, mpaka mikono na midomo ikose ushirikianoUnakazwa hadi umetanuka uko chini upo wazi kama kota za lugalo wew paka kahaba wa lugalo
Kwani wahusika hawapo humu? Mbna wapo na wanasomaa hapa.Humu kuna waziri Dr gwajima yeye yupo kwenye baraza la mawaziri hivyo atusaidie kulifikisha kwa waziri wa ulinzi. Wanajeshi baadhi yao wana ushamba sana hata mtaani wapo wanaojimwmbafai kisa yeye mjeda.
We utakuwa wale wajeda wasiyojielewa na kujitambua+elimu zeroWewe unaejua ndio uje humu ujitape kuua wanajeshi?
Hamna adabu bwana alieanzisha ugomvi ni uyo boss wenu kwan mara ngapi mnJikuta mko above everyone sasa kama kila kada ikajiona ina umuhim zaidi tutafika kweli mjirekebishe bhn na ndo maana mnalilia pensheni zenu mpaka mkome mjifunzeKenge wewe unahoji maswali ya kitoto daktari Bingwa yupi alieuawa na raia au alieuawa na mwanajeshi? Usiongee ujinga kenge wewe
Ugomvi kugombania madem na mambo mengine yasiyokuwa na kichwa wala mguuAmri Jeshi anaangalia raia wapumbavu wanaoua Jeshi lake wakipewa adhabu inavyotakiwa, wewe ulitakaje?
Darasa la saba huyo hana akili ni paka la baa pale lugaloWe utakuwa wale wajeda wasiyojielewa na kujitambua+elimu zero
Ova
Bado hamjatosheka na kushikishwa adabu? Kichapo kipo palepale,Hii ni mentality ya KIPUMBAVU SANA, yaani anafanya kosa mtu mmoja wanaadhibu mama zetu, baba zetu, dada zetu, wadogo na watoto wetu, eti "unawatia adabu" adabu ipo hiyo?
Duniani ilivyo mbali kiteknolojia bado wanatumia mbinu za kishamba kabisa ku-deal n'a mambo, UPUMBAVU, UPUMBAVU, UPUMBAVU !
Kesho wanarudi kula kwenye migahawa ya watu hao hao wanaowaadhibu bila sababu, anyway...
Huyo mwanajeshi na jamaa wa bajaji wote hawana uelewa wala busaraKutoa tamko gani? Yaan mmeua mjeshi tena mwenye cheo kikubwa alafu mnategemea tamko? Kenge mmoja