Kama JWTZ halitowaomba Radhi Raia wasio na Hatia WALIOTESWA KINYAMA na MP wa Lugalo Juzi, nawashauri walishtaki Jeshi

Acha mbumba ...

Kwani walilazimishwa kuwa wanajeshi?!

Kazi zote Zina masharti yake na walijua na wakaitaka..sasa huo upuuzi eti sijui wanatulinda Hilo Ni jukumu lao na wanalipwa vizuri mno ...,huo mwengine Ni ulimbukeni tu.. .. kazi zote Zina umuhimu wake.. , na hata wao wanahudumiwa watu vile vile ! ..
 

Kazi nzuri sana
Unastahili Malipo makubwa sana
 
Una matatizo makubwa sana ya uelewa na maadili kijana.
Wwe ndiyo una matatizo ya akili, mtu mzima unafurai vp kwa raia wasiokua na hatia kupigwa na wanajeshi wasiojitambua!? Alafu eti mauwaji ya huko palestina ndiyo yanakuumiza zaidi kuliko vipigo vya.Kawe!!
 
Wanafanya kazi bure? Si wanazililia hizo kazi wenyewe hadi kuhonga ili waingie tu huko?

Sasa hao raia wanaowapiga ndo wamemkafini mwenzao?

Aliyemshughulikia mwenzao amekamatwa sasa unahangaika na raia asiye na hatia wa nini kama sio uzwazwa.

Raia wakianza kisasi wasije kuanza kulalamika kwamba raia hawawapi ushirikiano.
 
Umeshindwa kuanzisha Uzi wako juu ya hii Mada / Kero yako mpaka uipandishe ndani ya Uzi wangu?
 
Kwahiyo wanaopigwa ni bodaboda?

Wewe akili huna. Wanapigwa wazee, wamama hadi mabinti halafu unasema habari za bodaboda mpuuzi wewe.
 
Aliyefanya tukio si yupo mikononi mwa polisi?

Kwani hao wanaopigwa ndo walishika bisibisi pamoja na mtuhumiwa wakamchoma kanali?

Upumbavu mtupu. Raia wakisema wa react nina hakika hao askari wataanza kuomba poo. Hakuna mahali popote duniani raia waliwahi kushindwa kwenye jambo lolote wakiamua.
 
Kuna mambo sio hata yaku post. Ina maana na wewe umekuwa Hamas. Sorry hicho kitendo cha raia kunyanyua mkono kwa wana Jamuhuri wetu hakikubaliki. Mama mkanye mwanao ukishindwa kulea tunakufundisha jinsi yakulea. End JW Forever
 
Kwahiyo wanaopigwa ni bodaboda?

Wewe akili huna. Wanapigwa wazee, wamama hadi mabinti halafu unasema habari za bodaboda mpuuzi wewe.
Wewe umewaona? au unakariri tu
 
Anza kuamua wewe na family yako. Maneno tu toka barabarni nenda kambi ya jeshi lianzishe halafu sisi tutakuja kuku support.
 
Pole sana, wote waliokumbwa na dhahama hii ya aibu. Ni maombi yangu kwa Mola majeruhi na wote waliteswa mpone haraka na kuendelea na shughuli zenu za ujenzi wa Taifa.
Kama kuna waliopoteza Maisha pole nyingi sana kwa familia tunendelea kufutilia taarrifa hizi za vifo kama na kujiridhisha kama zinahusiana na rapsha hili la fedheha.

Wito muhimu hapa ni, utulivu, ustahimilivu na subra kwa wote.
Jambo hili ni la kijeshi, linashughulikiwa kwa taratibu za kijeshi.
Kinachoendelea ni kujiridhisha ni nani alihusika na aibu hii na kwa maelekezo ya nani au yake binafsi? Na kwa maslahi ya nani.
Taarrifa kwa umma itatolewa wakati muafaka..

Jeshi litaendelea kutekeleza majukumu yake kwa weledi, umahiri na kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za nchi, zilizopo katika kutekeleza majukumu yake ya kulinda usalama wa nchi, mipaka ya nchi, mali za wananchi na raia wote waTz na kuhakikisha wakati wote Tz ni salama na yenye Amani.
Asant....
 
Punguza munkari ww
 
Unazijua sheria ww[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…