Kama Kagame alimshindwa Habyarimana hadi akamtungua na kuanzisha mauaji ya kimbari na kutwaa madaraka, anaiweza Tanzania iliyomchakaza Amin?

Kama Kagame alimshindwa Habyarimana hadi akamtungua na kuanzisha mauaji ya kimbari na kutwaa madaraka, anaiweza Tanzania iliyomchakaza Amin?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039

View: https://www.youtube.com/watch?v=VSeLKOuuolI&t=729s

Ukimsikiliza vizuri na kwa utuo imla wa Rwanda, Paul Kagame anavyoongea kwa kujiamini huku akipiga vijembe kuwa wanaomtisha ni maputo yanayoweza kutobolewa kwa sindano, unashangaa anapata wapi jeuri au ni usahaulifu wa binadamu.

Madaraka kupita kiasi hulevya kupita kiasi walisema wahenga. Wanaompenda Kagame wamuonye asichokoze simba waliolala. Ukiangalia anaowapia vijembe yaani Tanzania na Afrika ya Kusini, unashangaa nini kimempata.

Je ni mwanzo wa mwisho wa Kagame? Je Kagame aliyeishi kwa upanga anakaribia kufa kwa upanga? Ni mpumbavu gani anaweza kuilinganisha Tanzania kivita hata kama inaongozwa na mama? Je mwanzo wa mwisho wa Kagame umefika au ni mwisho wa mwanzo wa Kagame?
 
Tumewachoka na habari za kumpiga Iddi Amin. Mtu mwenyewe alikuwa na matatizo ya akili.
Kwani Kagame hana hayo matatizo ya akili na jinamizi la mauaji ya kimbari? Huoni akitekenywa anakimbilia kukumbushia mauaji haya utadhani hakuyasababisha kwa uroho wa madaraka. Ogopa hawa watu wanaotaka kuonewa huruma kwa mambo ya uongo kama akina Niite Nyahu wa kule kwa mwenda usiku 'aliyepigana' na Mungu akamshinda na kuitwa mwenda usiku.
 
Tumewachoka na habari za kumpiga Iddi Amin. Mtu mwenyewe alikuwa na matatizo ya akili.
Vita yetu ilenge kuweka demokrasia katika nchi yetu na kuhakikisha kila familia ina uweza kufikia malengo yake bila kukumbana na bomoa bomoa za kijinga in fact vita yetu ni bei Bora za mazao,soko la uhakika la bidhaa zetu na familia Bora,Mimi naipenda Canada, Switzerland,Finland na Sweden pamoja na Norway na Denmark,Hawa watu hawana muda wa kupoteza, wao ni kuimarisha huduma kwa wananchi wao hayo mengine ya kuchokoza mavita ni mtego ambao kama hatutauangalia kwa makini italeta Sinto fahamu ya muda mrefu.
Wananchi wanapiga debe kutafuta senti zao na kupigania malengo, tafadhali mnaopenda vita pelekeni hao mateja wanaolewa pombe Kali na kusababisha ajari zisizo na kikomo.
Tuhakikishe Hawa wazanzibari hawatuingizi vitani kwa namna yoyote Ile,kila mtu apambane na hali yake,kama mnamtaka Kagame malizana na Kagame kama putini anavoshughulika na magaidi wa ndani ya nchi yake.
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=VSeLKOuuolI&t=729s

Ukimsikiliza vizuri na kwa utuo imla wa Rwanda, Paul Kagame anavyoongea kwa kujiamini huku akipiga vijembe kuwa wanaomtisha ni maputo yanayoweza kutobolewa kwa sindano, unashangaa anapata wapi jeuri au ni usahaulifu wa binadamu.

Madaraka kupita kiasi hulevya kupita kiasi walisema wahenga. Wanaompenda Kagame wamuonye asichokoze simba waliolala. Ukiangalia anaowapia vijembe yaani Tanzania na Afrika ya Kusini, unashangaa nini kimempata.

Je ni mwanzo wa mwisho wa Kagame? Je Kagame aliyeishi kwa upanga anakaribia kufa kwa upanga? Ni mpumbavu gani anaweza kuilinganisha Tanzania kivita hata kama inaongozwa na mama? Je mwanzo wa mwisho wa Kagame umefika au ni mwisho wa mwanzo wa Kagame?

Ana mabwana zake ulaya, viongozi wa Afrika ni km wanawake malaya
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=VSeLKOuuolI&t=729s

Ukimsikiliza vizuri na kwa utuo imla wa Rwanda, Paul Kagame anavyoongea kwa kujiamini huku akipiga vijembe kuwa wanaomtisha ni maputo yanayoweza kutobolewa kwa sindano, unashangaa anapata wapi jeuri au ni usahaulifu wa binadamu.

Madaraka kupita kiasi hulevya kupita kiasi walisema wahenga. Wanaompenda Kagame wamuonye asichokoze simba waliolala. Ukiangalia anaowapia vijembe yaani Tanzania na Afrika ya Kusini, unashangaa nini kimempata.

Je ni mwanzo wa mwisho wa Kagame? Je Kagame aliyeishi kwa upanga anakaribia kufa kwa upanga? Ni mpumbavu gani anaweza kuilinganisha Tanzania kivita hata kama inaongozwa na mama? Je mwanzo wa mwisho wa Kagame umefika au ni mwisho wa mwanzo wa Kagame?

Umejichanganya. Alimshindwaje na wakati alimtungua? Au huelewi?
 
Wapiganaji walioasisi RPF kama vile Fred Rwyigema, walitusaidia kumpiga Amin.

Halafu Amin jeshi lake lilikuwa halina nidhamu, jeshi la Kagame lina nidhamu ya hali ya juu sana.

Tusiwachokoze Rwanda, wanaweza kutuchapa wakachukua Ngara na Kigoma.
 
Wapiganaji walioasisi RPF kama vile Fred Rwyigema, walitusaidia kumpiga Amin.

Halafu Amin jeshi lake lilikuwa halina nidhamu, jeshi la Kagame lina nidhamu ya hali ya juu sana.

Tusiwachokoze Rwanda, wanaweza kutuchapa wakachukua Ngara na Kigoma.
Haya tumekusikia! tumeogopa kweli kabisa wana nguvu nyingi na unajua wanaweza hata kuichukua south africa, wana akili sana siyo watu wa kawaida!
 
Haya tumekusikia! tumeogopa kweli kabisa wana nguvu nyingi na unajua wanaweza hata kuichukua south africa, wana akili sana siyo watu wa kawaida!
Halafu kumbe Rwigema ndiyo alimpiga Amini! sikujua aisee! kumbe bila wao tusingmeshinda Amin. Asante historia nzuri! waa walijifunzia wapi jeshi?
 
Tabia ya kuendelea kusifia sifia jeshi letu tuiache, Jeshi letu la sasa sio lile ulilokuwa unalijua,lina recruitment ya kubebana bebana, hamna kitu nowdays...
Nani kakudanya wewe acha story za vijiweni na propaganda za wanyarwanda! kila siku wanalia lia na mauji ya kimbari nayo tumechoka nao
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=VSeLKOuuolI&t=729s

Ukimsikiliza vizuri na kwa utuo imla wa Rwanda, Paul Kagame anavyoongea kwa kujiamini huku akipiga vijembe kuwa wanaomtisha ni maputo yanayoweza kutobolewa kwa sindano, unashangaa anapata wapi jeuri au ni usahaulifu wa binadamu.

Madaraka kupita kiasi hulevya kupita kiasi walisema wahenga. Wanaompenda Kagame wamuonye asichokoze simba waliolala. Ukiangalia anaowapia vijembe yaani Tanzania na Afrika ya Kusini, unashangaa nini kimempata.

Je ni mwanzo wa mwisho wa Kagame? Je Kagame aliyeishi kwa upanga anakaribia kufa kwa upanga? Ni mpumbavu gani anaweza kuilinganisha Tanzania kivita hata kama inaongozwa na mama? Je mwanzo wa mwisho wa Kagame umefika au ni mwisho wa mwanzo wa Kagame?

Kama mtu huelewi uzuri historia juu ya vita ya Uganda ni jambo la uzuri kuuliza ukaelimishwa badala ya kuongelea mambo usoyafahamu.

Raisi Paul Kagame na M7 wakiwa vijana wa Mwalimu Nyerere walishiriki kwa kina kwa upande wa Tanzania kumnyoosha huyo Nduli Amin.

Mzee Paul Kagame alikuwa kwenye “Military Intelligence” ndo wakati huo katokea mafunzoni. Amepiga kazi na marehemu Bernard Membe kwenye uchambuzi wa kijasusi.
 
Back
Top Bottom