Wakitaka wafutike katika ramani ya Dunia ,Rwanda wafanye huu upuuziWapiganaji walioasisi RPF kama vile Fred Rwyigema, walitusaidia kumpiga Amin.
Halafu Amin jeshi lake lilikuwa halina nidhamu, jeshi la Kagame lina nidhamu ya hali ya juu sana.
Tusiwachokoze Rwanda, wanaweza kutuchapa wakachukua Ngara na Kigoma.
Vita yetu ilenge kuweka demokrasia katika nchi yetu na kuhakikisha kila familia ina uweza kufikia malengo yake bila kukumbana na bomoa bomoa za kijinga in fact vita yetu ni bei Bora za mazao,soko la uhakika la bidhaa zetu na familia Bora,Mimi naipenda Canada, Switzerland,Finland na Sweden pamoja na Norway na Denmark,Hawa watu hawana muda wa kupoteza, wao ni kuimarisha huduma kwa wananchi wao hayo mengine ya kuchokoza mavita ni mtego ambao kama hatutauangalia kwa makini italeta Sinto fahamu ya muda mrefu.
Wananchi wanapiga debe kutafuta senti zao na kupigania malengo, tafadhali mnaopenda vita pelekeni hao mateja wanaolewa pombe Kali na kusababisha ajari zisizo na kikomo.
Tuhakikishe Hawa wazanzibari hawatuingizi vitani kwa namna yoyote Ile,kila mtu apambane na hali yake,kama mnamtaka Kagame malizana na Kagame kama putini anavoshughulika na magaidi wa ndani ya nchi yake.
Na zenyewe zimetuchosha. Baada ya mauaji ya kimbari kuna wacongo 6ml + wamekufa. Zaidi ya mara sita ya waliokufa kwenye mauaji ya kimbari. Kama ni huruma hawa ndiyo wa kuhurumiwa.Ni kama story za sijui kimbali nayo tumechoka nazo mkiguswa tu mnalialia na kimbari
Am above on what u reply back to me, najua vzr tu...utaratibu wa kuwaleta vijana jeshini urabitiwe vzr.Nani kakudanya wewe acha story za vijiweni na propaganda za wanyarwanda! kila siku wanalia lia na mauji ya kimbari nayo tumechoka nao
Sisi Tanzania hatuhusiki na mzozo uliopo. Kama Kagame analoloma basi anawalolomea wengine.
View: https://www.youtube.com/watch?v=VSeLKOuuolI&t=729s
Ukimsikiliza vizuri na kwa utuo imla wa Rwanda, Paul Kagame anavyoongea kwa kujiamini huku akipiga vijembe kuwa wanaomtisha ni maputo yanayoweza kutobolewa kwa sindano, unashangaa anapata wapi jeuri au ni usahaulifu wa binadamu.
Madaraka kupita kiasi hulevya kupita kiasi walisema wahenga. Wanaompenda Kagame wamuonye asichokoze simba waliolala. Ukiangalia anaowapia vijembe yaani Tanzania na Afrika ya Kusini, unashangaa nini kimempata.
Je ni mwanzo wa mwisho wa Kagame? Je Kagame aliyeishi kwa upanga anakaribia kufa kwa upanga? Ni mpumbavu gani anaweza kuilinganisha Tanzania kivita hata kama inaongozwa na mama? Je mwanzo wa mwisho wa Kagame umefika au ni mwisho wa mwanzo wa Kagame?
Hii Ngoma nzito,kila upande unaona kero ya muungano,muungano huu ni shida,watu tufanye kazi kwa vidii sio janjajanja,sisi kazi ni sehemu ya maisha yetu,lakini vita sio utamaduni wetu.mzanzibari anaingiaje hapo wakati watangnyika wanaitawala sasa ni zaidi ya miaka 60 mnaendelea kutuuwa kila uchaguzi huku mkiweka vibaraka wenu na hivi sasa mumeona bora mkamleta mtanganyika mwenzenu atutawale ?
🤣🤣Tumewachoka na habari za kumpiga Iddi Amin. Mtu mwenyewe alikuwa na matatizo ya akili.
vita sio utamaduni wenu , mnatuuwa kila uchaguzi , hivyo ni nini ??Hii Ngoma nzito,kila upande unaona kero ya muungano,muungano huu ni shida,watu tufanye kazi kwa vidii sio janjajanja,sisi kazi ni sehemu ya maisha yetu,lakini vita sio utamaduni wetu.
Alexander mkuu akiwa na jeshi dogo lenye uwezo mkubwa kivita aliweza kuitawala dunia. Kwa sasa tz tuna nini cha kujivunia? Silaha zetu za kizaman, mbinu za kizaman na mipango ya kizaman haviwezi kushinda vita ya kisasa.
View: https://www.youtube.com/watch?v=VSeLKOuuolI&t=729s
Ukimsikiliza vizuri na kwa utuo imla wa Rwanda, Paul Kagame anavyoongea kwa kujiamini huku akipiga vijembe kuwa wanaomtisha ni maputo yanayoweza kutobolewa kwa sindano, unashangaa anapata wapi jeuri au ni usahaulifu wa binadamu.
Madaraka kupita kiasi hulevya kupita kiasi walisema wahenga. Wanaompenda Kagame wamuonye asichokoze simba waliolala. Ukiangalia anaowapia vijembe yaani Tanzania na Afrika ya Kusini, unashangaa nini kimempata.
Je ni mwanzo wa mwisho wa Kagame? Je Kagame aliyeishi kwa upanga anakaribia kufa kwa upanga? Ni mpumbavu gani anaweza kuilinganisha Tanzania kivita hata kama inaongozwa na mama? Je mwanzo wa mwisho wa Kagame umefika au ni mwisho wa mwanzo wa Kagame?
Tupe stor zako za kishujas za nchin mwako wewe. Sisi watz hatujachoka na hilo, maana damu za askari wetu zilizomwagika haziwez kusahaulika.Tumewachoka na habari za kumpiga Iddi Amin. Mtu mwenyewe alikuwa na matatizo ya akili.
Kinachonishangaza zaidi ni kuitishia Africa kusini, ajue ni taifa kubwa lenye jeshi la kisasa. Kagame huenda anaumwa, hajui asemalo.
View: https://www.youtube.com/watch?v=VSeLKOuuolI&t=729s
Ukimsikiliza vizuri na kwa utuo imla wa Rwanda, Paul Kagame anavyoongea kwa kujiamini huku akipiga vijembe kuwa wanaomtisha ni maputo yanayoweza kutobolewa kwa sindano, unashangaa anapata wapi jeuri au ni usahaulifu wa binadamu.
Madaraka kupita kiasi hulevya kupita kiasi walisema wahenga. Wanaompenda Kagame wamuonye asichokoze simba waliolala. Ukiangalia anaowapia vijembe yaani Tanzania na Afrika ya Kusini, unashangaa nini kimempata.
Je ni mwanzo wa mwisho wa Kagame? Je Kagame aliyeishi kwa upanga anakaribia kufa kwa upanga? Ni mpumbavu gani anaweza kuilinganisha Tanzania kivita hata kama inaongozwa na mama? Je mwanzo wa mwisho wa Kagame umefika au ni mwisho wa mwanzo wa Kagame?
Dunia haiishi maajabu kwa nini kila yanapojadiliwa mambo yanaendelea ktk ukanda huu wa maziwa makuu kuna watu wanalazimisha kuiingiza Tanzania?? Au mjinga mmoja kuona kuwa anaiwakilisha TZ/watanzania?? I don't get it!Kwa hyo unataka nchi iingie vitani na diwani wa kata ya Rwanda?