Kama Kagame alimshindwa Habyarimana hadi akamtungua na kuanzisha mauaji ya kimbari na kutwaa madaraka, anaiweza Tanzania iliyomchakaza Amin?

Wapiganaji walioasisi RPF kama vile Fred Rwyigema, walitusaidia kumpiga Amin.

Halafu Amin jeshi lake lilikuwa halina nidhamu, jeshi la Kagame lina nidhamu ya hali ya juu sana.

Tusiwachokoze Rwanda, wanaweza kutuchapa wakachukua Ngara na Kigoma.
Wakitaka wafutike katika ramani ya Dunia ,Rwanda wafanye huu upuuzi
 

mzanzibari anaingiaje hapo wakati watangnyika wanaitawala sasa ni zaidi ya miaka 60 mnaendelea kutuuwa kila uchaguzi huku mkiweka vibaraka wenu na hivi sasa mumeona bora mkamleta mtanganyika mwenzenu atutawale ?
 
Ni kama story za sijui kimbali nayo tumechoka nazo mkiguswa tu mnalialia na kimbari
Na zenyewe zimetuchosha. Baada ya mauaji ya kimbari kuna wacongo 6ml + wamekufa. Zaidi ya mara sita ya waliokufa kwenye mauaji ya kimbari. Kama ni huruma hawa ndiyo wa kuhurumiwa.
 
Nimeona chuki kwa waisrael sana naona chuki nchi Rwanda. Ivi kwanini Paul kagame ametukosea nini. Kwanini Tanzania tujiingize kwenye vita
 
Nani kakudanya wewe acha story za vijiweni na propaganda za wanyarwanda! kila siku wanalia lia na mauji ya kimbari nayo tumechoka nao
Am above on what u reply back to me, najua vzr tu...utaratibu wa kuwaleta vijana jeshini urabitiwe vzr.
 
Sisi Tanzania hatuhusiki na mzozo uliopo. Kama Kagame analoloma basi anawalolomea wengine.
 
mzanzibari anaingiaje hapo wakati watangnyika wanaitawala sasa ni zaidi ya miaka 60 mnaendelea kutuuwa kila uchaguzi huku mkiweka vibaraka wenu na hivi sasa mumeona bora mkamleta mtanganyika mwenzenu atutawale ?
Hii Ngoma nzito,kila upande unaona kero ya muungano,muungano huu ni shida,watu tufanye kazi kwa vidii sio janjajanja,sisi kazi ni sehemu ya maisha yetu,lakini vita sio utamaduni wetu.
 
Hii Ngoma nzito,kila upande unaona kero ya muungano,muungano huu ni shida,watu tufanye kazi kwa vidii sio janjajanja,sisi kazi ni sehemu ya maisha yetu,lakini vita sio utamaduni wetu.
vita sio utamaduni wenu , mnatuuwa kila uchaguzi , hivyo ni nini ??
 
Alexander mkuu akiwa na jeshi dogo lenye uwezo mkubwa kivita aliweza kuitawala dunia. Kwa sasa tz tuna nini cha kujivunia? Silaha zetu za kizaman, mbinu za kizaman na mipango ya kizaman haviwezi kushinda vita ya kisasa.

Vifaa vyote vya kivita lazima vipite bandarini. Sisi tumeuza bandari maana yake kila kinachoingia wanakimonitor. Mwenako usikute anajua mpaka silaha zetu tunaweka wapi n.k


Hatuna mifumo ya ulinzi kama yeye hivo ni rahisi kwake kurusha makombora na yakaleta madhara makubwa.

Me nadhan kagame ametukumbusha kuwa tumejisahau na tumekuwa dhaifu mno. Tumejiweka wazi mno kiasi kwamba ni rahisi mtu kutuzoom na kuona kila kitu. Ndio maana anatudharau.
 
Tumewachoka na habari za kumpiga Iddi Amin. Mtu mwenyewe alikuwa na matatizo ya akili.
Tupe stor zako za kishujas za nchin mwako wewe. Sisi watz hatujachoka na hilo, maana damu za askari wetu zilizomwagika haziwez kusahaulika.
 
Kinachonishangaza zaidi ni kuitishia Africa kusini, ajue ni taifa kubwa lenye jeshi la kisasa. Kagame huenda anaumwa, hajui asemalo.
 
Mtikila Rip SI alisema mipango yote ilipangwa hapo kwetu nyumba nyeupe!!?yaani ilikua sehem ya plan!!

Bila sisi hawezi chocchote huyo!!
 
Kwa hyo unataka nchi iingie vitani na diwani wa kata ya Rwanda?
Dunia haiishi maajabu kwa nini kila yanapojadiliwa mambo yanaendelea ktk ukanda huu wa maziwa makuu kuna watu wanalazimisha kuiingiza Tanzania?? Au mjinga mmoja kuona kuwa anaiwakilisha TZ/watanzania?? I don't get it!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…