likalalulisimula
Member
- Oct 10, 2022
- 30
- 23
wamekariri hawaelewi kuwa uislamu sio jinaππππ€£π€£π Kwa sababu Kila unaemuona anaenda Kwa mwamposa. Anaitwa SULEIMAN,JUMA, AISHA,HADIJA basi akili Yako yote inakutuma kama hao ni Muslims
Mbona povu mkuuUngesema umejisalimisha kwa Mungu au kwa Yesu ningekuona wa maana.
Lakini umeenda jisalimisha kwa mwAposa, umedhihirisha ujinga wako, upumbavu wako na jinsi ulivyokuwa na matope kichwan
Mlango wa Ukristo ni kubatizwa! Wote wale wapo pale kufata uponyaji kama wanavyohangaika kwa waganga. Tafiti wangapi wanabatizwa?Kama hilo nyomi la wamama wa kiislam na waume zao tunaloliona kwenye TV yake ni la kweli, basi baada ya miaka 5 Dar itakuwa na wakristo tupu.
Kuna povu hapo?Mbona povu mkuu
Sijakufahamu umeandika nini,. Unatakiwa ujue kuwa Injili sio Biblia hivi ni vitabu viwili tafauti.Kama hukuwai kusoma injili huna nafasi ya kulipinga ilo mana vitabu vyote vya agano jipya vimeliweka wazi hilo...acha maneno ya kuambiwa kasome injili iko wazi sana.
Hayo mambo wakristo hawajajitungia tu.
#MaendeleoHayanaChama
Tulikuona hata kwenye kikombe cha BabuMbona mimi nilikuwa swala tano lkn nimejisalimisha kwa Mwamposa.
Ulitaka ayaamini anayoyaona wapi?Usiamini kila unachokiona kwenye TV za hawa wanaojiita manabii
πππ kazi kweliKama hilo nyomi la wamama wa kiislam na waume zao tunaloliona kwenye TV yake ni la kweli, basi baada ya miaka 5 Dar itakuwa na wakristo tupu.