Kama Katiba Mpya ni kikwazo, iliyopo ifanyiwe marekebisho ili kukidhi mahitaji ya sasa

Kama Katiba Mpya ni kikwazo, iliyopo ifanyiwe marekebisho ili kukidhi mahitaji ya sasa

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
Katiba ndio chombo pekee ambacho kinawapa wananchi mamlaka ya kujitawala. Katiba ni mali ya wananchi na sio mali ya watawala wanaowekwa na wanachi kwa njia ya kura.

Hakuna kificho kuwa tangu mwaka 1977 ilipotungwa katiba ya JMT taifa letu limepata mabadilijo makubwa. Na kadiri mabadadiliko yanapotokea ndio na hii sheria yetu mama pia inahitaji mabadiliko. Mfano ni miaka ya 1980's watanzania walihitaji haki za binadamu ziwekwe kwenye katiba yetu na zikawekwa.

Yapata miaka 44 tangu katiba ya sasa itungwe tena na kupitia kamati ya wanaCcm ishirini. Taifa letu limepata mabadiliko makubwa, hivyo hii katiba inahitaji mabadiliko makubwa sana.

Mfano kuna matukio mengi ya wananchi kupigwa, kupoteza maisha na kupata ulemavu wa kudumu wakiwa mikononi mwa vyombo vya dola. Wananchi wanataka kuwa na haki ya kulinda uhai wao na wa ndugu zao. Wananchi wanataka wawe na na mamlaka ya kufungua kesi mahakamani ili kudai haki za ndugu zao wanaopotea bila maelezo wakiwa mikononi mwa vyombo vya dola. Maana matukio mengi yanalipotiwa lakini majibu inakuwa ni uchunguzi usio na mwisho.

Hivyo basi kama kwa sasa kikwazo ni pesa ya kuweka bunge la katiba kama lile la mwaka 2014 lililopoteza pesa za walipa kodi bila mafanikio, basi hii katiba ya sasa ifanyiwe marekebisho ili ikidhi mahitaji ya wananchi na hali ya sasa ya kisiasa.
 
Kwani katiba ya marekani inasemaje polisi kuuwa raia kila siku naona tukaazime ile tu!
 
Katiba ndio chombo pekee ambacho kinawapa wananchi mamlaka ya kujitawala. Katiba ni mali ya wananchi na sio mali ya watawala wanaowekwa na wanachi kwa njia ya kura.

Hakuna kificho kuwa tangu mwaka 1977 ilipotungwa katiba ya JMT taifa letu limepata mabadilijo makubwa. Na kadiri mabadadiliko yanapotokea ndio na hii sheria yetu mama pia inahitaji mabadiliko. Mfano ni miaka ya 1980's watanzania walihitaji haki za binadamu ziwekwe kwenye katiba yetu na zikawekwa.

Yapata miaka 44 tangu katiba ya sasa itungwe tena na kupitia kamati ya wanaCcm ishirini. Taifa letu limepata mabadiliko makubwa, hivyo hii katiba inahitaji mabadiliko makubwa sana.

Mfano kuna matukio mengi ya wananchi kupigwa, kupoteza maisha na kupata ulemavu wa kudumu wakiwa mikononi mwa vyombo vya dola. Wananchi wanataka kuwa na haki ya kulinda uhai wao na wa ndugu zao. Wananchi wanataka wawe na na mamlaka ya kufungua kesi mahakamani ili kudai haki za ndugu zao wanaopotea bila maelezo wakiwa mikononi mwa vyombo vya dola. Maana matukio mengi yanalipotiwa lakini majibu inakuwa ni uchunguzi usio na mwisho.

Hivyo basi kama kwa sasa kikwazo ni pesa ya kuweka bunge la katiba kama lile la mwaka 2014 lililopoteza pesa za walipa kodi bila mafanikio, basi hii katiba ya sasa ifanyiwe marekebisho ili ikidhi mahitaji ya wananchi na hali ya sasa ya kisiasa.
Katiba gani yenye manufaa ikajadiliwa na watu zaidi ya wajumbe 500.
Walevi wenyewe umoja wao una kikomo
 
Hata hii mbovu tulionayo nayohaifuatwi na wenye meno,wamejigeuza kuwa katiba wenyewe.

Kinachotakiwa ni katiba mpya ambayo itakujakuwasaidia viongozi watakaokuja kuiheshim katiba kuwasurubisha viongozi waliojigeuza kuwa katiba.
 
Katiba ndio chombo pekee ambacho kinawapa wananchi mamlaka ya kujitawala. Katiba ni mali ya wananchi na sio mali ya watawala wanaowekwa na wanachi kwa njia ya kura.

Hakuna kificho kuwa tangu mwaka 1977 ilipotungwa katiba ya JMT taifa letu limepata mabadilijo makubwa. Na kadiri mabadadiliko yanapotokea ndio na hii sheria yetu mama pia inahitaji mabadiliko. Mfano ni miaka ya 1980's watanzania walihitaji haki za binadamu ziwekwe kwenye katiba yetu na zikawekwa.

Yapata miaka 44 tangu katiba ya sasa itungwe tena na kupitia kamati ya wanaCcm ishirini. Taifa letu limepata mabadiliko makubwa, hivyo hii katiba inahitaji mabadiliko makubwa sana.

Mfano kuna matukio mengi ya wananchi kupigwa, kupoteza maisha na kupata ulemavu wa kudumu wakiwa mikononi mwa vyombo vya dola. Wananchi wanataka kuwa na haki ya kulinda uhai wao na wa ndugu zao. Wananchi wanataka wawe na na mamlaka ya kufungua kesi mahakamani ili kudai haki za ndugu zao wanaopotea bila maelezo wakiwa mikononi mwa vyombo vya dola. Maana matukio mengi yanalipotiwa lakini majibu inakuwa ni uchunguzi usio na mwisho.

Hivyo basi kama kwa sasa kikwazo ni pesa ya kuweka bunge la katiba kama lile la mwaka 2014 lililopoteza pesa za walipa kodi bila mafanikio, basi hii katiba ya sasa ifanyiwe marekebisho ili ikidhi mahitaji ya wananchi na hali ya sasa ya kisiasa.
Rasm ya Walioba ilishafika pazuri , sio lazima bunge la katiba ,inaweza kuundwa sample ndogo na kumalizia KAZI , viraka hatutaki tunataka kitu kipyaaaaaaaaaaaaa

Nifikishieni ujumbe KWa SSH, kwamba no way ,kitu kipyaaaaaa kupitia rasim ya Walioba ni lazima
 
Katiba ndio chombo pekee ambacho kinawapa wananchi mamlaka ya kujitawala. Katiba ni mali ya wananchi na sio mali ya watawala wanaowekwa na wanachi kwa njia ya kura.

Hakuna kificho kuwa tangu mwaka 1977 ilipotungwa katiba ya JMT taifa letu limepata mabadilijo makubwa. Na kadiri mabadadiliko yanapotokea ndio na hii sheria yetu mama pia inahitaji mabadiliko. Mfano ni miaka ya 1980's watanzania walihitaji haki za binadamu ziwekwe kwenye katiba yetu na zikawekwa.

Yapata miaka 44 tangu katiba ya sasa itungwe tena na kupitia kamati ya wanaCcm ishirini. Taifa letu limepata mabadiliko makubwa, hivyo hii katiba inahitaji mabadiliko makubwa sana.

Mfano kuna matukio mengi ya wananchi kupigwa, kupoteza maisha na kupata ulemavu wa kudumu wakiwa mikononi mwa vyombo vya dola. Wananchi wanataka kuwa na haki ya kulinda uhai wao na wa ndugu zao. Wananchi wanataka wawe na na mamlaka ya kufungua kesi mahakamani ili kudai haki za ndugu zao wanaopotea bila maelezo wakiwa mikononi mwa vyombo vya dola. Maana matukio mengi yanalipotiwa lakini majibu inakuwa ni uchunguzi usio na mwisho.

Hivyo basi kama kwa sasa kikwazo ni pesa ya kuweka bunge la katiba kama lile la mwaka 2014 lililopoteza pesa za walipa kodi bila mafanikio, basi hii katiba ya sasa ifanyiwe marekebisho ili ikidhi mahitaji ya wananchi na hali ya sasa ya kisiasa.
Wewe si hutaki katiba mpya na wataka katiba unawaona ni maadui. Umekumbwa na nini sasa?
 
Ukitaka kuwaudhi CCM we watajie suala la KATIBA lolote lile mbali na lile la kwao lakutaka kuongeza urefu wa muhula wa kutawala toka 5 hadi 7 - wananua hao.
 
Katiba ndio chombo pekee ambacho kinawapa wananchi mamlaka ya kujitawala. Katiba ni mali ya wananchi na sio mali ya watawala wanaowekwa na wanachi kwa njia ya kura.

Hakuna kificho kuwa tangu mwaka 1977 ilipotungwa katiba ya JMT taifa letu limepata mabadilijo makubwa. Na kadiri mabadadiliko yanapotokea ndio na hii sheria yetu mama pia inahitaji mabadiliko. Mfano ni miaka ya 1980's watanzania walihitaji haki za binadamu ziwekwe kwenye katiba yetu na zikawekwa.

Yapata miaka 44 tangu katiba ya sasa itungwe tena na kupitia kamati ya wanaCcm ishirini. Taifa letu limepata mabadiliko makubwa, hivyo hii katiba inahitaji mabadiliko makubwa sana.

Mfano kuna matukio mengi ya wananchi kupigwa, kupoteza maisha na kupata ulemavu wa kudumu wakiwa mikononi mwa vyombo vya dola. Wananchi wanataka kuwa na haki ya kulinda uhai wao na wa ndugu zao. Wananchi wanataka wawe na na mamlaka ya kufungua kesi mahakamani ili kudai haki za ndugu zao wanaopotea bila maelezo wakiwa mikononi mwa vyombo vya dola. Maana matukio mengi yanalipotiwa lakini majibu inakuwa ni uchunguzi usio na mwisho.

Hivyo basi kama kwa sasa kikwazo ni pesa ya kuweka bunge la katiba kama lile la mwaka 2014 lililopoteza pesa za walipa kodi bila mafanikio, basi hii katiba ya sasa ifanyiwe marekebisho ili ikidhi mahitaji ya wananchi na hali ya sasa ya kisiasa.
Chadema ilishasema iko tayari kuchangisha pesa kwa ajili ya mchakato wa Katiba mpya , acheni visingizio vya kichovu
 
Back
Top Bottom