Kama kawaida, Yanga wameanza kutembelea madrasa kuelekea marudiano na El Merreikh

Thibitisha huo ushirikina wanaofanya.
 
Thibitisha huo ushirikina wanaofanya.
Haya mambo ya "thibitisha" ushirikina uliofanyika ndo yalipelekea Mahakama za zetu zisisikilize kesi zinazohusiana na mambo hayo, japo haimaanishi hayapo. Ila kule Malawi kuna Mahakama za Wachawi.

Aisha, uthibitisho ni kwamba hata sisi wengine tulishaenda kwa waganga na tukaambiwa tufanye kitu hicho hicho wanachokifanya Yanga.
 
Bila kuthibitisha naweza kusema wewe mwanga umemuua ndugu yangu na ikawa hivyo
 
Wewe lofa tafta kazi acha mambo ya watu
 
Aahaaaaaa
 
Unataka wakapasue NAZI au kuwasha moto uwanjani?
 
Mbona simba , waliiga kutoa damu..waliposhawishiwa kutoa damu tu.walitoa hadi vijijini kabisa waliitikia wito wa kutoa damu ambako hata vifaa vya kuwekea damu kwenyewe hauna.
 
Huu mpango kuna siku utashtukiwa tu, nyie kila mnapokuwa na mechi ngumu mnakimbilia kusaidia yatima au kutoa misaada kwenye madrasa, lengo ni kutafuta ushindi tarehe 30.

Dah kazi ipo!
shida moja ya yanga na simba, ni vielements vya udini, ni kama ni timu za kiislam. kuanzia wasemaji wao wote, kwanza wana utterances nyingi sana ambazo ni biased. angalia kale kasemaji ka yanga, ahmed ally wa simba, na manara, na wengine, maneno wanayoongea ni kwasababu tu hizo timu tulikuwa tunazishabikia tangu tukiwa watoto ila kama tusingekuwa hivyo tungeshaacha kitambo sana kwasababu zinaonekana kama ni za dini fulani hata kama wachezaji mle ndani ni wa dini zote. huu ndio ukweli,wanatakiwa kujua kwamba wao kama wasemaji wa timu wanawakilisha mashabiki wenye dini tofauti tofauti/zote na wasio na dini, wazuge hata kuzuga tu basi kuwa neutral, isionekane kuanzia maneno, utani na ujinga wooote ni kama wapo msikitini.
 
Jerry Muro hujamuweka kwenye list
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…