Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boya wewe wamebebwa kwa lipiNimefurahi hawa utopolo kubebwa tena kama walivyobebwa Premier.
Acha hawa kamati ya mapokezi mwaka huu wafurahi kidogo
Boya wewe wamebebwa kwa lipi
🚮Nimefurahi hawa utopolo kubebwa tena kama walivyobebwa Premier.
Acha hawa kamati ya mapokezi mwaka huu wafurahi kidogo
Kafie mbele uko,,,wanabebwa wanaobebeka vp bado mna matumaini na ubingwa🤣🤣🤣🤣Unaumia kubebwa?
Utakufa wewe na wivu wa kike, kunywa maji utulize wengeMichuano ya kimataifa ndiyo kipimo ya upumbuvu unaoendelea
Mpira ameushika na ni penalty halali, Ninachosema hakua na haja ya ku uma meno wakati anaokoa. Kilicho sababisha aushike ni ku upania mpira wakati alikua na nafasi ya ku uondoa bila maguvu.Unataka Kusema Kwamba Yule Mchezaji Wa Geita Hakushika Mpira Ama?
Ndo Namuuliza Na Kumshangaa Huyo Aliyeanzisha Thread Hapo Juu Akidai Sisi TumebebwaMpira ameushika na ni penalty halali, Ninachosema hakua na haja ya ku uma meno wakati anaokoa. Kilicho sababisha aushike ni ku upania mpira wakati alikua na nafasi ya ku uondoa bila mguvu.
Una ushabiki wa kisengeNimefurahi hawa utopolo kubebwa tena kama walivyobebwa Premier.
Acha hawa kamati ya mapokezi mwaka huu wafurahi kidogo
Halafu pale pale kabla ya kuunawa kwenye replay inaonekana mchezaji wa Yanga amechezewa faulo na mchezaji wa Geita ila mwamuzi kaacha. Kuna tukio lingine mchezaji wa Geita ameushika mpira kwenye 18 mpaka wachezaji wanamshangaa refa lakini refa kauma menoKama kubebwa Geita ndio walio bebwa kwenye build up ya shambulizi lililo zaa goli la Geita, Geita walimfanyia faulo mchezaji wa Yanga Saido Ntibazonkiza lakini Cha kushangaza mwamuzi aliwapa advantage Geita wakapata goli.
Penalty waliyopewa Yanga ni halali baada ya mchezaji wa Geita ku ushika mpira akiwa pekeyake akiwa ndani ya 18 ya lango lake. Ni matokeo ya ku ukamia mpira ili aubutue akiwa amen'gata meno na hii ni Hali ya kukosa utulivu na kutokujiamini aka igharimu timuyake ya Geita.
Msijisumbue kujibizana na kolo limeshavurugwa baada ya kuwekwa korokoroni na maafande wa polisi sasa linatafuta pa kufia, na likichingulia gape la point linavyozidi kuongezeka ndo stress zinaongezeka kabisa, na mpaka sasa ili mikia ipate ubingwa inatakiwa ishinde mechi zote 11 zilizobaki na wakati huo yanga apoteze mechi 4, ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindanoHalafu pale pale kabla ya kuunawa kwenye replay inaonekana mchezaji wa Yanga amechezewa faulo na mchezaji wa Geita ila mwamuzi kaacha. Kuna tukio lingine mchezaji wa Geita ameushika mpira kwenye 18 mpaka wachezaji wanamshangaa refa lakini refa kauma meno
Sasa kama umefurahi furaha yako inatuhusu nini?🤣🤣Nimefurahi hawa utopolo kubebwa tena kama walivyobebwa Premier.
Acha hawa kamati ya mapokezi mwaka huu wafurahi kidogo
Mchezaji Wa Geita Gold Alishika Mpira Au Hakuushika?Mbona mnashinda huku bado mna makasiriko na matusi kama yote?
Tufurahie tu ushindi kwani waamuzi wameamua kupumzika mwaka huu.Bado mechi ya nusu fainali wanawasubiri.
Na sisi tunawasubiri huko wachunga ng'ombe wetu.
Michezo ni furaha.Acheni makasiriko.Kubebwa mmebebwa.Hakuna penalty pale
Ajibu hili swali ili tuufunge mjadala, tusichoshaneMchezaji Wa Geita Gold Alishika Mpira Au Hakuushika?