Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa Mkuu, Nami Namsubri Hapa Atoe JibuAjibu hili swali ili tuufunge mjadala, tusichoshane
Heheheh Kwani Simba Imeshinda Makombe Mangapi Huko Kimataifa Ambapo Nyie Mshakomaa Kama Unavodai.Mechi ya leo inaonyesha yanga kucheza competition bado sana bado sana komaeni na league ila kimataifa mtaenda kuaibika kwa mpira ule.
Mnajua mpira ni slogan eti the return of the champions ila manara mjanja anajua kuwakamata masikio nyie kwa mpira ule wachezaji hawana pumzi wale utachukuaje kombe bila kushiriki nyinyi kwani mpo hatua gani kimataifa baada ya kumaliza mechi yenu na Somalia mnacheza lini tena.Heheheh Kwani Simba Imeshinda Makombe Mangapi Huko Kimataifa Ambapo Nyie Mshakomaa Kama Unavodai.
Mbona Unaleta Stori Za Shangazi Yako Tena, Mi Nimekuuliza Nyie Mliokomaa Huko Kimataifa Mmeshinda Makombe Mangapi?Mnajua mpira ni slogan eti the return of the champions ila manara mjanja anajua kuwakamata masikio nyie kwa mpira ule wachezaji hawana pumzi wale utachukuaje kombe bila kushiriki nyinyi kwani mpo hatua gani kimataifa baada ya kumaliza mechi yenu na Somalia mnacheza lini tena.
Umesahau goli la Mauya yule jamaa alitolea mpira ndaniKama kubebwa Geita ndio walio bebwa kwenye build up ya shambulizi lililo zaa goli la Geita, Geita walimfanyia faulo mchezaji wa Yanga Saido Ntibazonkiza lakini Cha kushangaza mwamuzi aliwapa advantage Geita wakapata goli.
Penalty waliyopewa Yanga ni halali baada ya mchezaji wa Geita ku ushika mpira akiwa pekeyake akiwa ndani ya 18 ya lango lake. Ni matokeo ya ku ukamia mpira ili aubutue akiwa amen'gata meno na hii ni Hali ya kukosa utulivu na kutokujiamini aka igharimu timuyake ya Geita.
Nyie huko kimataifa mmefanya lipi la ajabu kuizidi Yanga?Mechi ya leo inaonyesha yanga kucheza competition bado sana bado sana komaeni na league ila kimataifa mtaenda kuaibika kwa mpira ule.
Msamehe tu huyo!😂😂Unataka Kusema Kwamba Yule Mchezaji Wa Geita Hakushika Mpira Ama?
Unateseka ukiwa wapi?Kwa mujibu washeria namba 13 ya soka utopolo wamebebwa na isingekuwa hivyo walishaaga mashindano
View attachment 2183388
Timu ya mpira wa miguu wamesajiliwa "manyani"!Utopolo ndio nini?
Ww yako na Polisi ndo inaonyesha ubora wako wa kushinda kombe huko KimataifaMechi ya leo inaonyesha yanga kucheza competition bado sana bado sana komaeni na league ila kimataifa mtaenda kuaibika kwa mpira ule.
mechi ya Simba na Prison ile penalty ilikua aje?Kwa mujibu washeria namba 13 ya soka utopolo wamebebwa na isingekuwa hivyo walishaaga mashindano
View attachment 2183388
Tumepata 1.4 B kutoka CAF unaona hela ndogo hyo wwNyie huko kimataifa mmefanya lipi la ajabu kuizidi Yanga?View attachment 2183216
Pitch mbovu unakuwa kama hujaangalia mpira vile we huoni uwanja ulivyokuwa.Ww yako na Polisi ndo inaonyesha ubora wako wa kushinda kombe huko Kimataifa
Watabisha hadi watokwe na jasho makwapani.Nimefurahi hawa utopolo kubebwa tena kama walivyobebwa Premier.
Acha hawa kamati ya mapokezi mwaka huu wafurahi kidogo