Kama kazi yako nitaitaja hapa chini, nakushauri fanya toba ili kizazi chako kisilaaniwe

Kama kazi yako nitaitaja hapa chini, nakushauri fanya toba ili kizazi chako kisilaaniwe

Laana ni nini?
Laana ni zao la maneno ya haki yanayotamkwa katika hali ya uchungu. Yaani si kila jambo linalotamkwa kwa uchungu kwamba linaweza kuleta laana Bali ni uchungu wenye haki ndani yake.
Pia hata damu iliyomwagwa huweza kutamka maneno ya uchungu na kupelekea laana kwa mwagaji na kizazi chake.

Nini matokeo ya laana au nini dalili za laana?
Dalili za laana ni pamoja na;
(A) Ulemavu wa kudumu
(B) Magonjwa ya kudumu
(C) Kufa mapema
(D) Kuhangahika, mtu mwenye laana pia anaweza kuwa muhangahikaji sana. Hatulii
(E) Kutokufanikiwa (kufikia malengo)
(F) Kutokuzaa
(G) Kufanyiwa kitendo sawia na kile ulichokifanya kwa mtu aliyelia n.k
Sisemi muache kazi, fanyeni hizi kazi lakini hakikisheni mnafanya kwa misingi ya Kimungu, msimwonee mtu. Kama huwezi kufanya kwa haki ni vyema uache kabisa maana matokeo utakayopata ni makubwa kuliko ile dhuluma uliyoifanya.
1. Police, hii kazi katika kutekeleza majukumu ya kila siku lazima utasababisha machozi kwa watu wengine.
Hakuna chozi la mtu lisilotoa majibu. Tubu ili kizazi chako kisiishi katika laana.
Matokeo ya laana ni kuanzia kizazi cha 1 mpaka cha 4.
Matokeo yanaweza yakatoka naadaye huku wewe umeshakufa na kusahaulika.
2.Mkusanya mapato
Biashara za watu zimekufa, watu wengine wamefilisika kwasababu ya ukandamizi wa wakusanya mapato, wanalia vitandani mwao, watoto wanalia kwa njaa kwasababu yako wewe mkusanya mapato.
Tubu, chozi la mtu halitoki bila matokeo.
3. Askari magereza
Kuna watu hawana hatia, Kuna watu wametumia mamlaka zao kuwasukumia watu magerezani. Wake zao wanalia, watoto wanalia, meza haina chakula. Haijalishi wewe unatimiza wajibu wako lakini kitendo cha wewe kumshikilia mtu asiye na hatia ni laana kwa kizazi chako.
4. Trafiki
Watu wengi wametoa machozi kwasababu yao .
Kizazi chako kinalaaniwa.
5.Anayedhulumu haki ya mnyonge au mtu mwingine.
6. Mtu yeyote mwenye mamlaka anayetumia mamlaka yake kutoa machozi wengine.
Mtu huyo anapeleka laana kwa kizazi chake.
Tofauti ya namba 1 na 4 ni nini? Navyojua mimi wote hao na maafisa wa polisi kama walivyo FFU...
 
Laana ni nini?
Laana ni zao la maneno ya haki yanayotamkwa katika hali ya uchungu. Yaani si kila jambo linalotamkwa kwa uchungu kwamba linaweza kuleta laana Bali ni uchungu wenye haki ndani yake.
Pia hata damu iliyomwagwa huweza kutamka maneno ya uchungu na kupelekea laana kwa mwagaji na kizazi chake.

Nini matokeo ya laana au nini dalili za laana?
Dalili za laana ni pamoja na;
(A) Ulemavu wa kudumu
(B) Magonjwa ya kudumu
(C) Kufa mapema
(D) Kuhangahika, mtu mwenye laana pia anaweza kuwa muhangahikaji sana. Hatulii
(E) Kutokufanikiwa (kufikia malengo)
(F) Kutokuzaa
(G) Kufanyiwa kitendo sawia na kile ulichokifanya kwa mtu aliyelia n.k
Sisemi muache kazi, fanyeni hizi kazi lakini hakikisheni mnafanya kwa misingi ya Kimungu, msimwonee mtu. Kama huwezi kufanya kwa haki ni vyema uache kabisa maana matokeo utakayopata ni makubwa kuliko ile dhuluma uliyoifanya.
1. Police, hii kazi katika kutekeleza majukumu ya kila siku lazima utasababisha machozi kwa watu wengine.
Hakuna chozi la mtu lisilotoa majibu. Tubu ili kizazi chako kisiishi katika laana.
Matokeo ya laana ni kuanzia kizazi cha 1 mpaka cha 4.
Matokeo yanaweza yakatoka naadaye huku wewe umeshakufa na kusahaulika.
2.Mkusanya mapato
Biashara za watu zimekufa, watu wengine wamefilisika kwasababu ya ukandamizi wa wakusanya mapato, wanalia vitandani mwao, watoto wanalia kwa njaa kwasababu yako wewe mkusanya mapato.
Tubu, chozi la mtu halitoki bila matokeo.
3. Askari magereza
Kuna watu hawana hatia, Kuna watu wametumia mamlaka zao kuwasukumia watu magerezani. Wake zao wanalia, watoto wanalia, meza haina chakula. Haijalishi wewe unatimiza wajibu wako lakini kitendo cha wewe kumshikilia mtu asiye na hatia ni laana kwa kizazi chako.
4. Trafiki
Watu wengi wametoa machozi kwasababu yao .
Kizazi chako kinalaaniwa.
5.Anayedhulumu haki ya mnyonge au mtu mwingine.
6. Mtu yeyote mwenye mamlaka anayetumia mamlaka yake kutoa machozi wengine.
Mtu huyo anapeleka laana kwa kizazi chake.
8. Internal Auditors ndiyo wanoko wa kwanza kabla hata CAG hajacheki mafaili
9. Wafanyakazi wote wa TAKUKURU mpaka Receptionist. Yaani ukifika Ofisi zao wote wanakuona na kukutendea kama MHALIFU
 
Laana ni nini?
Laana ni zao la maneno ya haki yanayotamkwa katika hali ya uchungu. Yaani si kila jambo linalotamkwa kwa uchungu kwamba linaweza kuleta laana Bali ni uchungu wenye haki ndani yake.
Pia hata damu iliyomwagwa huweza kutamka maneno ya uchungu na kupelekea laana kwa mwagaji na kizazi chake.

Nini matokeo ya laana au nini dalili za laana?
Dalili za laana ni pamoja na;
(A) Ulemavu wa kudumu
(B) Magonjwa ya kudumu
(C) Kufa mapema
(D) Kuhangahika, mtu mwenye laana pia anaweza kuwa muhangahikaji sana. Hatulii
(E) Kutokufanikiwa (kufikia malengo)
(F) Kutokuzaa
(G) Kufanyiwa kitendo sawia na kile ulichokifanya kwa mtu aliyelia n.k
Sisemi muache kazi, fanyeni hizi kazi lakini hakikisheni mnafanya kwa misingi ya Kimungu, msimwonee mtu. Kama huwezi kufanya kwa haki ni vyema uache kabisa maana matokeo utakayopata ni makubwa kuliko ile dhuluma uliyoifanya.
1. Police, hii kazi katika kutekeleza majukumu ya kila siku lazima utasababisha machozi kwa watu wengine.
Hakuna chozi la mtu lisilotoa majibu. Tubu ili kizazi chako kisiishi katika laana.
Matokeo ya laana ni kuanzia kizazi cha 1 mpaka cha 4.
Matokeo yanaweza yakatoka naadaye huku wewe umeshakufa na kusahaulika.
2.Mkusanya mapato
Biashara za watu zimekufa, watu wengine wamefilisika kwasababu ya ukandamizi wa wakusanya mapato, wanalia vitandani mwao, watoto wanalia kwa njaa kwasababu yako wewe mkusanya mapato.
Tubu, chozi la mtu halitoki bila matokeo.
3. Askari magereza
Kuna watu hawana hatia, Kuna watu wametumia mamlaka zao kuwasukumia watu magerezani. Wake zao wanalia, watoto wanalia, meza haina chakula. Haijalishi wewe unatimiza wajibu wako lakini kitendo cha wewe kumshikilia mtu asiye na hatia ni laana kwa kizazi chako.
4. Trafiki
Watu wengi wametoa machozi kwasababu yao .
Kizazi chako kinalaaniwa.
5.Anayedhulumu haki ya mnyonge au mtu mwingine.
6. Mtu yeyote mwenye mamlaka anayetumia mamlaka yake kutoa machozi wengine.
Mtu huyo anapeleka laana kwa kizazi chake.
Yule mkuu wa malaika from chattle hatoboi humo
 
Mengi ni uongo mtupu. Laana inakuja pindi ukitumia madaraka yako vibaya na sio kutekeleza majukumu.
Askari magereza au mkuu wa gereza hana hatia hata kama mfungwa alisingiziwa kwa asilimia mia moja. Laana wataipata wale waliohusika kwa makusudi au kwa uzembe kwa namna moja ama nyengine hadi ikapelekea mtuhumiwa kuwa mfungwa. Na askari magereza atapata laana akiwafanyia vibaya wafungwa na sio kwa kuwa amekuwa askari magereza.
nimetolea mfano askari magereza tu, ila kazi nyengine zote ni namna kama hio.

Na hata kazi unayoona ni ya maana na ni takatifu, unaweza ukapata laana kwa kazi hio endapo ukawaumiza watu. Mfano wa kazi hizo hata hizi za dini baadhi ya mashehe na wachungaji.
Na hata wafanyabiashara, na watoa huduma mbalimbali wanaweza wakapata laana kwa matumizi mabaya ya madaraka. Usidharau kazi za watu.
Hii kitufe ya Like nimeibonyeza kwa nguvu zote, umeongea ukweli kabisa.
 
Laana ni nini?
Laana ni zao la maneno ya haki yanayotamkwa katika hali ya uchungu. Yaani si kila jambo linalotamkwa kwa uchungu kwamba linaweza kuleta laana Bali ni uchungu wenye haki ndani yake.
Pia hata damu iliyomwagwa huweza kutamka maneno ya uchungu na kupelekea laana kwa mwagaji na kizazi chake.

Nini matokeo ya laana au nini dalili za laana?
Dalili za laana ni pamoja na;
(A) Ulemavu wa kudumu
(B) Magonjwa ya kudumu
(C) Kufa mapema
(D) Kuhangahika, mtu mwenye laana pia anaweza kuwa muhangahikaji sana. Hatulii
(E) Kutokufanikiwa (kufikia malengo)
(F) Kutokuzaa
(G) Kufanyiwa kitendo sawia na kile ulichokifanya kwa mtu aliyelia n.k
Sisemi muache kazi, fanyeni hizi kazi lakini hakikisheni mnafanya kwa misingi ya Kimungu, msimwonee mtu. Kama huwezi kufanya kwa haki ni vyema uache kabisa maana matokeo utakayopata ni makubwa kuliko ile dhuluma uliyoifanya.
1. Police, hii kazi katika kutekeleza majukumu ya kila siku lazima utasababisha machozi kwa watu wengine.
Hakuna chozi la mtu lisilotoa majibu. Tubu ili kizazi chako kisiishi katika laana.
Matokeo ya laana ni kuanzia kizazi cha 1 mpaka cha 4.
Matokeo yanaweza yakatoka naadaye huku wewe umeshakufa na kusahaulika.
2.Mkusanya mapato
Biashara za watu zimekufa, watu wengine wamefilisika kwasababu ya ukandamizi wa wakusanya mapato, wanalia vitandani mwao, watoto wanalia kwa njaa kwasababu yako wewe mkusanya mapato.
Tubu, chozi la mtu halitoki bila matokeo.
3. Askari magereza
Kuna watu hawana hatia, Kuna watu wametumia mamlaka zao kuwasukumia watu magerezani. Wake zao wanalia, watoto wanalia, meza haina chakula. Haijalishi wewe unatimiza wajibu wako lakini kitendo cha wewe kumshikilia mtu asiye na hatia ni laana kwa kizazi chako.
4. Trafiki
Watu wengi wametoa machozi kwasababu yao .
Kizazi chako kinalaaniwa.
5.Anayedhulumu haki ya mnyonge au mtu mwingine.
6. Mtu yeyote mwenye mamlaka anayetumia mamlaka yake kutoa machozi wengine.
Mtu huyo anapeleka laana kwa kizazi chake.
Nakuunga mkono kwenye hivyp viashiria vya Laana. Ila hizo fani ulizotaja sina hakika kama ziko kwenye Risk.
Kwenye maandiko Matakatifu Mungu amesema Bwana Hupatiliza wana wa uovu kuanzia kizazi cha kwanza hadi cha nne.

1. Wakati Onani alipomuua Ndugu yake Eri Mungu alimwambia asikosw mtu mwenye ulemavu au laana juu ya kitendo hicho ktk uzao wake.

2. Ktk Kitabu cha Samweli Mwenyezi Mungu anamlaani Yoabu kwa kumuua Abneri na kumtamkia laana tatu ambazo ni a) Magonjwa ya kudumu 2) Umaskini 3) Ulemavu. Anatamka kwa maneno makali sana ktk uzao wa Baba yake Yoabu na ndugu yake Asaheli.

Tukija huku kwenye jamii na hali halisi ni kweli kabisa 100%. Sitatoa mifano maana sitaki kuwa shahidi
 
Laana ni nini?
Laana ni zao la maneno ya haki yanayotamkwa katika hali ya uchungu. Yaani si kila jambo linalotamkwa kwa uchungu kwamba linaweza kuleta laana Bali ni uchungu wenye haki ndani yake.
Pia hata damu iliyomwagwa huweza kutamka maneno ya uchungu na kupelekea laana kwa mwagaji na kizazi chake.

Nini matokeo ya laana au nini dalili za laana?
Dalili za laana ni pamoja na;
(A) Ulemavu wa kudumu
(B) Magonjwa ya kudumu
(C) Kufa mapema
(D) Kuhangahika, mtu mwenye laana pia anaweza kuwa muhangahikaji sana. Hatulii
(E) Kutokufanikiwa (kufikia malengo)
(F) Kutokuzaa
(G) Kufanyiwa kitendo sawia na kile ulichokifanya kwa mtu aliyelia n.k
Sisemi muache kazi, fanyeni hizi kazi lakini hakikisheni mnafanya kwa misingi ya Kimungu, msimwonee mtu. Kama huwezi kufanya kwa haki ni vyema uache kabisa maana matokeo utakayopata ni makubwa kuliko ile dhuluma uliyoifanya.
1. Police, hii kazi katika kutekeleza majukumu ya kila siku lazima utasababisha machozi kwa watu wengine.
Hakuna chozi la mtu lisilotoa majibu. Tubu ili kizazi chako kisiishi katika laana.
Matokeo ya laana ni kuanzia kizazi cha 1 mpaka cha 4.
Matokeo yanaweza yakatoka naadaye huku wewe umeshakufa na kusahaulika.
2.Mkusanya mapato
Biashara za watu zimekufa, watu wengine wamefilisika kwasababu ya ukandamizi wa wakusanya mapato, wanalia vitandani mwao, watoto wanalia kwa njaa kwasababu yako wewe mkusanya mapato.
Tubu, chozi la mtu halitoki bila matokeo.
3. Askari magereza
Kuna watu hawana hatia, Kuna watu wametumia mamlaka zao kuwasukumia watu magerezani. Wake zao wanalia, watoto wanalia, meza haina chakula. Haijalishi wewe unatimiza wajibu wako lakini kitendo cha wewe kumshikilia mtu asiye na hatia ni laana kwa kizazi chako.
4. Trafiki
Watu wengi wametoa machozi kwasababu yao .
Kizazi chako kinalaaniwa.
5.Anayedhulumu haki ya mnyonge au mtu mwingine.
6. Mtu yeyote mwenye mamlaka anayetumia mamlaka yake kutoa machozi wengine.
Mtu huyo anapeleka laana kwa kizazi chake.
Hakimu/Jaji
 
Laana ni nini?
Laana ni zao la maneno ya haki yanayotamkwa katika hali ya uchungu. Yaani si kila jambo linalotamkwa kwa uchungu kwamba linaweza kuleta laana Bali ni uchungu wenye haki ndani yake.
Pia hata damu iliyomwagwa huweza kutamka maneno ya uchungu na kupelekea laana kwa mwagaji na kizazi chake.

Nini matokeo ya laana au nini dalili za laana?
Dalili za laana ni pamoja na;
(A) Ulemavu wa kudumu
(B) Magonjwa ya kudumu
(C) Kufa mapema
(D) Kuhangahika, mtu mwenye laana pia anaweza kuwa muhangahikaji sana. Hatulii
(E) Kutokufanikiwa (kufikia malengo)
(F) Kutokuzaa
(G) Kufanyiwa kitendo sawia na kile ulichokifanya kwa mtu aliyelia n.k
Sisemi muache kazi, fanyeni hizi kazi lakini hakikisheni mnafanya kwa misingi ya Kimungu, msimwonee mtu. Kama huwezi kufanya kwa haki ni vyema uache kabisa maana matokeo utakayopata ni makubwa kuliko ile dhuluma uliyoifanya.
1. Police, hii kazi katika kutekeleza majukumu ya kila siku lazima utasababisha machozi kwa watu wengine.
Hakuna chozi la mtu lisilotoa majibu. Tubu ili kizazi chako kisiishi katika laana.
Matokeo ya laana ni kuanzia kizazi cha 1 mpaka cha 4.
Matokeo yanaweza yakatoka naadaye huku wewe umeshakufa na kusahaulika.
2.Mkusanya mapato
Biashara za watu zimekufa, watu wengine wamefilisika kwasababu ya ukandamizi wa wakusanya mapato, wanalia vitandani mwao, watoto wanalia kwa njaa kwasababu yako wewe mkusanya mapato.
Tubu, chozi la mtu halitoki bila matokeo.
3. Askari magereza
Kuna watu hawana hatia, Kuna watu wametumia mamlaka zao kuwasukumia watu magerezani. Wake zao wanalia, watoto wanalia, meza haina chakula. Haijalishi wewe unatimiza wajibu wako lakini kitendo cha wewe kumshikilia mtu asiye na hatia ni laana kwa kizazi chako.
4. Trafiki
Watu wengi wametoa machozi kwasababu yao .
Kizazi chako kinalaaniwa.
5.Anayedhulumu haki ya mnyonge au mtu mwingine.
6. Mtu yeyote mwenye mamlaka anayetumia mamlaka yake kutoa machozi wengine.
Mtu huyo anapeleka laana kwa kizazi chake.
Anayetengeneza Pombe na vilevi
Anayetengeneza,
Anayeuza,
Anayenunua
Anayesafirisha,
Anayebeba na kushusha n.k

Mtiririko huu mzima ni mtiririko wa laana
 
Pia ifahamike kuwa laana ni strictly kwa muhusika tu.

Mungu sio dhalimu , Mtoto hahukumiwi kwa makosa ya mzazi wake wala mzazi hahukumiwi kwa makosa ya mtoto wake.

Kila mtu atabeba furushi lake siku hiyo
 
Vipi laana za wazazi?je,ni kweli mzazi ana haki ya kufanya jambo lolote baya (kama kutowahudumia) juu ya mtoto/watoto wake?

Mtoto/watoto wakipinga vitendo hivyo wanaweza kupewa hiyo laana na wazazi?

Maana Kuna wazazi wanajificha kwenye tobo hilo wanawatendea uovu watoto na kuwatishia laana.
 
Laana ni nini?

Laana ni zao la maneno ya haki yanayotamkwa katika hali ya uchungu. Yaani si kila jambo linalotamkwa kwa uchungu kwamba linaweza kuleta laana Bali ni uchungu wenye haki ndani yake.

Pia hata damu iliyomwagwa huweza kutamka maneno ya uchungu na kupelekea laana kwa mwagaji na kizazi chake.

Nini matokeo ya laana au nini dalili za laana?
Dalili za laana ni pamoja na;
(A) Ulemavu wa kudumu
(B) Magonjwa ya kudumu
(C) Kufa mapema
(D) Kuhangahika, mtu mwenye laana pia anaweza kuwa muhangahikaji sana. Hatulii
(E) Kutokufanikiwa (kufikia malengo)
(F) Kutokuzaa
(G) Kufanyiwa kitendo sawia na kile ulichokifanya kwa mtu aliyelia n.k.

Sisemi muache kazi, fanyeni hizi kazi lakini hakikisheni mnafanya kwa misingi ya Kimungu, msimwonee mtu.

Kama huwezi kufanya kwa haki ni vyema uache kabisa maana matokeo utakayopata ni makubwa kuliko ile dhuluma uliyoifanya.

1. Police, hii kazi katika kutekeleza majukumu ya kila siku lazima utasababisha machozi kwa watu wengine.
Hakuna chozi la mtu lisilotoa majibu. Tubu ili kizazi chako kisiishi katika laana.

Matokeo ya laana ni kuanzia kizazi cha 1 mpaka cha 4.

Matokeo yanaweza yakatoka naadaye huku wewe umeshakufa na kusahaulika.

2. Mkusanya mapato
Biashara za watu zimekufa, watu wengine wamefilisika kwasababu ya ukandamizi wa wakusanya mapato, wanalia vitandani mwao, watoto wanalia kwa njaa kwasababu yako wewe mkusanya mapato.

Tubu, chozi la mtu halitoki bila matokeo.

3. Askari magereza
Kuna watu hawana hatia, kuna watu wametumia mamlaka zao kuwasukumia watu magerezani. Wake zao wanalia, watoto wanalia, meza haina chakula. Haijalishi wewe unatimiza wajibu wako lakini kitendo cha wewe kumshikilia mtu asiye na hatia ni laana kwa kizazi chako.

4. Trafiki
Watu wengi wametoa machozi kwasababu yao. Kizazi chako kinalaaniwa.

5.Anayedhulumu haki ya mnyonge au mtu mwingine.

6. Mtu yeyote mwenye mamlaka anayetumia mamlaka yake kutoa machozi wengine.

Mtu huyo anapeleka laana kwa kizazi chake.
Kwa mfano umemdhulumu mtu haki yake na hajui kuwakadhulumiwa, laana utapataje?
Mfano, umemla mke wa mtu na mwenyewe hajui kabisa na wala hajawahi kuhisi.
 
Laana ni nini?

Laana ni zao la maneno ya haki yanayotamkwa katika hali ya uchungu. Yaani si kila jambo linalotamkwa kwa uchungu kwamba linaweza kuleta laana Bali ni uchungu wenye haki ndani yake.

Pia hata damu iliyomwagwa huweza kutamka maneno ya uchungu na kupelekea laana kwa mwagaji na kizazi chake.

Nini matokeo ya laana au nini dalili za laana?
Dalili za laana ni pamoja na;
(A) Ulemavu wa kudumu
(B) Magonjwa ya kudumu
(C) Kufa mapema
(D) Kuhangahika, mtu mwenye laana pia anaweza kuwa muhangahikaji sana. Hatulii
(E) Kutokufanikiwa (kufikia malengo)
(F) Kutokuzaa
(G) Kufanyiwa kitendo sawia na kile ulichokifanya kwa mtu aliyelia n.k.

Sisemi muache kazi, fanyeni hizi kazi lakini hakikisheni mnafanya kwa misingi ya Kimungu, msimwonee mtu.

Kama huwezi kufanya kwa haki ni vyema uache kabisa maana matokeo utakayopata ni makubwa kuliko ile dhuluma uliyoifanya.

1. Police, hii kazi katika kutekeleza majukumu ya kila siku lazima utasababisha machozi kwa watu wengine.
Hakuna chozi la mtu lisilotoa majibu. Tubu ili kizazi chako kisiishi katika laana.

Matokeo ya laana ni kuanzia kizazi cha 1 mpaka cha 4.

Matokeo yanaweza yakatoka naadaye huku wewe umeshakufa na kusahaulika.

2. Mkusanya mapato
Biashara za watu zimekufa, watu wengine wamefilisika kwasababu ya ukandamizi wa wakusanya mapato, wanalia vitandani mwao, watoto wanalia kwa njaa kwasababu yako wewe mkusanya mapato.

Tubu, chozi la mtu halitoki bila matokeo.

3. Askari magereza
Kuna watu hawana hatia, kuna watu wametumia mamlaka zao kuwasukumia watu magerezani. Wake zao wanalia, watoto wanalia, meza haina chakula. Haijalishi wewe unatimiza wajibu wako lakini kitendo cha wewe kumshikilia mtu asiye na hatia ni laana kwa kizazi chako.

4. Trafiki
Watu wengi wametoa machozi kwasababu yao. Kizazi chako kinalaaniwa.

5.Anayedhulumu haki ya mnyonge au mtu mwingine.

6. Mtu yeyote mwenye mamlaka anayetumia mamlaka yake kutoa machozi wengine.

Mtu huyo anapeleka laana kwa kizazi chake.
Hapo kwa askari magereza umebugi. Askaria magereza amepewa tu mfungwa akae naye. Sio yeye aliyemhukumu. Kosa lake nini?

Labda useme mahakimu na majaji.
 
Laana ni nini?

Laana ni zao la maneno ya haki yanayotamkwa katika hali ya uchungu. Yaani si kila jambo linalotamkwa kwa uchungu kwamba linaweza kuleta laana Bali ni uchungu wenye haki ndani yake.

Pia hata damu iliyomwagwa huweza kutamka maneno ya uchungu na kupelekea laana kwa mwagaji na kizazi chake.

Nini matokeo ya laana au nini dalili za laana?
Dalili za laana ni pamoja na;
(A) Ulemavu wa kudumu
(B) Magonjwa ya kudumu
(C) Kufa mapema
(D) Kuhangahika, mtu mwenye laana pia anaweza kuwa muhangahikaji sana. Hatulii
(E) Kutokufanikiwa (kufikia malengo)
(F) Kutokuzaa
(G) Kufanyiwa kitendo sawia na kile ulichokifanya kwa mtu aliyelia n.k.

Sisemi muache kazi, fanyeni hizi kazi lakini hakikisheni mnafanya kwa misingi ya Kimungu, msimwonee mtu.

Kama huwezi kufanya kwa haki ni vyema uache kabisa maana matokeo utakayopata ni makubwa kuliko ile dhuluma uliyoifanya.

1. Police, hii kazi katika kutekeleza majukumu ya kila siku lazima utasababisha machozi kwa watu wengine.
Hakuna chozi la mtu lisilotoa majibu. Tubu ili kizazi chako kisiishi katika laana.

Matokeo ya laana ni kuanzia kizazi cha 1 mpaka cha 4.

Matokeo yanaweza yakatoka naadaye huku wewe umeshakufa na kusahaulika.

2. Mkusanya mapato
Biashara za watu zimekufa, watu wengine wamefilisika kwasababu ya ukandamizi wa wakusanya mapato, wanalia vitandani mwao, watoto wanalia kwa njaa kwasababu yako wewe mkusanya mapato.

Tubu, chozi la mtu halitoki bila matokeo.

3. Askari magereza
Kuna watu hawana hatia, kuna watu wametumia mamlaka zao kuwasukumia watu magerezani. Wake zao wanalia, watoto wanalia, meza haina chakula. Haijalishi wewe unatimiza wajibu wako lakini kitendo cha wewe kumshikilia mtu asiye na hatia ni laana kwa kizazi chako.

4. Trafiki
Watu wengi wametoa machozi kwasababu yao. Kizazi chako kinalaaniwa.

5.Anayedhulumu haki ya mnyonge au mtu mwingine.

6. Mtu yeyote mwenye mamlaka anayetumia mamlaka yake kutoa machozi wengine.

Mtu huyo anapeleka laana kwa kizazi chake.
Fafanua vizuri laana inafukiziaje vizazi visivyo kuwa na hatia Inamaanisha Babu azingue mimi kilembwe nije kulipia makosa yake so sad sana lakin me naona Kam ukiamua kua mtu mwema tofauti na wazaz au mababu zako hii laana aikupati
 
Back
Top Bottom