Yoda,
Kifo si mapenzi ya Mungu.
Ntakupa maandiko kama matatu hivi ambazo zinasema kifo si mapenzi ya Mungu
1- Ezekiel 33:11 Waambie, ‘“Kwa hakika kama ninavyoishi,” asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, “Mimi sifurahishwi na kifo cha mwovu, bali kwamba mtu mwovu abadili njia yake na kuendelea kuishi. Geukeni, geukeni mziache njia zenu mbaya, kwa nini mfe, enyi watu wa nyumba ya Israeli?”
2- Ezekieli 18:23 Je, ninafurahia hata kidogo kifo chamtu mwovu?’ asema Bwana Mwenye EnziKuu Yehova. ‘Je, sipendelei kwambaaziache njia zake naye aendelee kuishi?’
3- 2petro 3:9 Yehova hakawii kuhusiana na ahadiyake, kama watu fulani wanavyodhani,bali ni mwenye subira kwenu kwa sababuhataki yeyote aangamizwe bali hutakawote wafikie toba.
Ntafurahi sana kuendelesha haya mazungmuzo ki privet
Asante