Kama kijana mdogo angekuja kuniuliza kuwa ni mhusika gani kwenye Biblia awe role model wake, mimi ningemchagulia mhusika huyu

Kama kijana mdogo angekuja kuniuliza kuwa ni mhusika gani kwenye Biblia awe role model wake, mimi ningemchagulia mhusika huyu

Unajua maana ya andiko hili?
Basi kaa ukijua kwamba Ibrahim ni mtoto mdogo sana kwa YESU KRISTO iwe kihekima, Kiuchumi, kijemadari wa vita, kibiashara na mambo yote unayoyahisi Ibrahim aliyatenda vyema.

Yohana 8:54-58
[54]Yesu akajibu, Nikijitukuza mwenyewe, utukufu wangu si kitu; anitukuzaye ni Baba yangu, ambaye ninyi mwanena kuwa ni Mungu wenu.
[55]Wala ninyi hamkumjua; lakini mimi namjua. Nikisema ya kwamba simjui, nitakuwa mwongo kama ninyi; lakini namjua, na neno lake nalishika.
[56]Ibrahimu, baba yenu, alishangilia kwa vile atakavyoiona siku yangu; naye akaiona, akafurahi.
[57]Basi Wayahudi wakamwambia, Wewe hujapata bado miaka hamsini, nawe umemwona Ibrahimu?

[58]Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.

Àndiko hilo nalielewa. Lakini halibadilishi ukweli kuwa CV ya Ibrahim na huyo Yesu NI Mbingu na Ardhi.

Maelezo NI mengi kuliko vitendo, Wakati Ibrahim vitendo NI vingi kuliko maelezo.

Labda kijana anayetaka kuwa Mchungaji Hapo Sawa anaweza kumchagua Yesu kama Role model wake
Lakini kijana wa sekta zingine thubutu!
Maisha yatamburuza mapema Sana
Kwa sababu hata falsafa za Yesu katika Maisha halisi siô relevant
 
Wote wanajifunza kwake kitu kimoja alichosema ndilo jambo kuu nalo ni upendo
Kijana mwenye familia anahitaji upendo kupenda familia yake ile vizuri,I've vizuri iishi vizuri na hayo kuwezekana anahitaji upendo wa kupenda kazi yake inayompa kipato cha kutunza familia

Kwa mwanasiasa inabidi awe upendo na wanachama wake na wapiga kura wake na awe na upendo wa dhati wa aliyoahidi kuwatimizia kwenye ahadi zake za kisiasa

Kwa mfanyabiashara lazima awe na upendo wa biashara yake asifanye ili mradi sababu ndio inampa kipato na awe na upendo kwa wateja wake vinginevyo watamtoroka
Hapo cha kujifunza kwa Yesu ni UPENDO

MTU àmbaye Hana familia atawezaje kuwa Role model Kwa weñye familia?

Au Mtu àmbaye hajawahi kupigana vita, atakuwaje role model Kwa wapiganaji?
 
MTU àmbaye Hana familia atawezaje kuwa Role model Kwa weñye familia?

Au Mtu àmbaye hajawahi kupigana vita, atakuwaje role model Kwa wapiganaji?
Yesu ni Mungu aliyeumba vyote na mtunza vyote wakiwamo wake na waume ndiye mwanzilishi wa ndoa bustani ya Eden aliyeagiza watu waoane

Hayo ya mke na mume na familia ayajua sana tu

Wewe uoe yeye ni Role model kwako dume zima kukaa bila mke una matatizo gani usioe kama yanatibika
 
Yesu ni Mungu aliyeumba vyote na mtunza vyote wakiwamo wake na waume ndiye mwanzilishi wa ndoa bustani ya Eden aliyeagiza watu waoane

Hayo ya mke na mume na familia ayajua sana tu

Wewe uoe yeye ni Role model kwako dume zima kukaa bila mke una matatizo gani usioe kama yanatibika

Hata Ng'ombe NI Mungu pia Kwa Mujibu wa Imani za Watu ila kiuhalisia siô.

Kumfanya kiumbe kilichozaliwa kuwa Mungu Kwa Imani na Mapenzi ya Mtu au Watu au yako haikifanyi kiumbe hicho kuwa Mungu
 
Unajua maana ya andiko hili?
Basi kaa ukijua kwamba Ibrahim ni mtoto mdogo sana kwa YESU KRISTO iwe kihekima, Kiuchumi, kijemadari wa vita, kibiashara na mambo yote unayoyahisi Ibrahim aliyatenda vyema.

Yohana 8:54-58
[54]Yesu akajibu, Nikijitukuza mwenyewe, utukufu wangu si kitu; anitukuzaye ni Baba yangu, ambaye ninyi mwanena kuwa ni Mungu wenu.
[55]Wala ninyi hamkumjua; lakini mimi namjua. Nikisema ya kwamba simjui, nitakuwa mwongo kama ninyi; lakini namjua, na neno lake nalishika.
[56]Ibrahimu, baba yenu, alishangilia kwa vile atakavyoiona siku yangu; naye akaiona, akafurahi.
[57]Basi Wayahudi wakamwambia, Wewe hujapata bado miaka hamsini, nawe umemwona Ibrahimu?

[58]Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.
Baas wewe umemaliza,Taikon akiluka na hapa sijuiii
 
Hakusema ukweli Mwingine lakini alisema ukweli mmoja hivyo inabaki kuwa hakusema uongo.

Alafu wale waliuliza swali ambalo liko wazi.
Mfano umuulize Samia Suluhu wewe NI Rais wa Tanzania, alafu yeye akujibu Hapana Mimi NI Mamaake Abdul
Ishu ni kwamba Ibrahim hakujitetea , alikaa kimya kuonyesha kuwa alidanganya.
 
Kila kitu ni batili,ni fikra tu za mwanadamu zinakuwa zinamtuma kuwa ni wa maana.
Imagine 100 yrs to come,kila kitu kitakuwa badaye tunachokifanya.
 
Mimi dogo akiniomba nimchagulie role model kwenye biblia, bila kusita sita nitamchagulia YESU KRISTO huyo ni kubwa la kila aina ya vifungo na laana. Yesu anatufundisha tuwe watu tulio nyooka kama baba yake alivyo. Kwa Yesu hakuna ujanja ujanja. Kwa Yesu mafanikio unayaona duniani huku ukiwa na tumaini la kuufikia ufalme wa Mungu mbinguni.
Baba yake Yesu unamjua?
 
Back
Top Bottom