Mimi Dogolasi na Dogolai ntawaambia wajifunze kwa mtu mzima Ayubu maana Ayubu aliishi past, present & future na kufungua na kufunua kila kilichomo humo haya mateknoloji ukisoma Ayubu unakuta ukirudi past kipindi cha dainasoo ukisoma Ayubu yametajwa mule na kipindi chake mengi yameelezwa mule, Ila kuna watu wanapinga kitu kimoja tu kuhusu Habari ya Ayubu ni kwamba MUNGU hawezi kupiga story na Shetani maana tunaambiwa Shetani mbaya alimuudhi MUNGU sasa iweje MUNGU huyo huyo aliemtimua Shetani apige nae story Shetani amjaribu Ayubu?