Hivi Mungu kweli unaweza kumuita role model wako. Jitafakari!Yesu ni Mungu aliyeumba vyote na mtunza vyote wakiwamo wake na waume ndiye mwanzilishi wa ndoa bustani ya Eden aliyeagiza watu waoane
Hayo ya mke na mume na familia ayajua sana tu
Wewe uoe yeye ni Role model kwako dume zima kukaa bila mke una matatizo gani usioe kama yanatibika
Ni nini hiki?Wewe unamjua?
Mbona umecheka sana sweetheart...Umetishaaa
Santo sana kwa mwongozo
Uvomtaja Lameck. 😁Mbona umecheka sana sweetheart...
Hahaha kasome bibilia utamjua alifanya nini...Uvomtaja Lameck. 😁
Hivi Lameck kwenye kitabu tukufu ndo alikuaje vileee 😁🤭??
Naombapo historia yake kiduchu 😄
🤣🤣🤣!Hahaha kasome bibilia utamjua alifanya nini...
Kuna Uwezekano hujamsoma YesuYesu anatukuzwa na Watu na msingi wa kutukuzwa kwàke ni miujiza, Kisha na kufa na kufufuka, Kisha kuzaliwa pasipo Baba. Basi.
Lakini kwèñye Life Kama Life àmbalo linajumuisha mambo mengi Yesu hatoboi Kwa mitume na Manabii wengi.
Kwèñye Field ya Unabii na utume yupo middle weight na hajafika level za Heavyweight
Yesu alikuwa fundi seremala mpaka alipofikisha umri wa miaka 30 ndio alianza huduma yake kwa miaka mitatu tu.Yesu hakuwahi kuwa na Familia
Hakuwahi kuendesha mradi wowote wa kuzalisha Mali
Yesu hawezi Mafunzo yoyote ya Watu weñye umri kuanzia Miaka 45
Yàani Watu wazima na Wazee Hawana chochote cha kujifunza Kwa Yesu.
Ibrahim alifanikiwa maeneo mengi yàani Kwa asilimia 90%.
Kiimani ✔️
Kiuchumi✔️
Kifamilia ✔️
Kiuongozi na ûtawala ✔️
Ibrahim alishashinda vita dhidi ya Mfalme Nimrodi akatoboa, alishwahi kuwekwa kwèñye Tanuru la Moto akatoboa.
Yesu hayupo kundi la ma- Legend Kihistoria
Yesu alikuwa fundi seremala mpaka alipofikisha umri wa miaka 30 ndio alianza huduma yake kwa miaka mitatu tu.
Lipo la kujifunza kwa Yesu hasa wachungaji wawe na shughuri za kuwaingizia pesa wasitegemee sadaka.
Kuna Uwezekano hujamsoma Yesu
Kwani Yesu alipojaribiwa na shetani jangwani alitumwa na nani?Mimi Dogolasi na Dogolai ntawaambia wajifunze kwa mtu mzima Ayubu maana Ayubu aliishi past, present & future na kufungua na kufunua kila kilichomo humo haya mateknoloji ukisoma Ayubu unakuta ukirudi past kipindi cha dainasoo ukisoma Ayubu yametajwa mule na kipindi chake mengi yameelezwa mule, Ila kuna watu wanapinga kitu kimoja tu kuhusu Habari ya Ayubu ni kwamba MUNGU hawezi kupiga story na Shetani maana tunaambiwa Shetani mbaya alimuudhi MUNGU sasa iweje MUNGU huyo huyo aliemtimua Shetani apige nae story Shetani amjaribu Ayubu?
Mimi Nina role model wawili. Roho ya Mussa ya unyenyekevu na kuombea wengine na Roho ya Daudi ya kutubu. Ni vitu viwili ambavyo Mungu anirehemu anipe.