Research Consultant JF-Expert Member Joined Dec 29, 2022 Posts 453 Reaction score 772 Apr 19, 2024 #21 Chaliifrancisco said: Mimi nina miaka minne ugenini sinaga mazoea hata na jirani. Na huku nilipo huwa nasikia kuna kitu wanaita ZENGO, ila sijawahi kushiriki. Inaniwia vigumu maana mimi siwezi hayo maisha ya kujuana sana. Click to expand... Hiyo ni MWANZA, lipa hela ya nzengo na michango mingine
Chaliifrancisco said: Mimi nina miaka minne ugenini sinaga mazoea hata na jirani. Na huku nilipo huwa nasikia kuna kitu wanaita ZENGO, ila sijawahi kushiriki. Inaniwia vigumu maana mimi siwezi hayo maisha ya kujuana sana. Click to expand... Hiyo ni MWANZA, lipa hela ya nzengo na michango mingine