BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Hakika...Uzinzi ni maamuzi siyo Sawa na kula chakula kwamba utavunga lakini lazima baadae utakula.Inawezekana japo yahitaji jitihadaHujaamua tu mwamba. Siku ukiamua uzinzi hauwezi kukushinda nguvu
Ukimwamini Yesu, ukahudhuria mafundisho bila kukosa, ukafanya maombi na sara mara kwa mara, kiu ya kufanya mabaya inapungua na unaweza kuuamlisha mwili wako ulimi, na fikira zako hata kama kuna vishawishi.Hakika...Uzinzi ni maamuzi siyo Sawa na kula chakula kwamba utavunga lakini lazima baadae utakula.Inawezekana japo yahitaji jitihada
HakikaUkimwamini Yesu, ukahudhuria mafundisho bila kukosa, ukafanya maombi na sara mara kwa mara, kiu ya kufanya mabaya inapungua na unaweza kuuamlisha mwili wako ulimi, na fikira zako hata kama kuna vishawishi.
Kuna wakati unafika unatamani kuishi katika misingi ya imani lakini ujana ni kama unakwamisha.
Changomoto kubwa ni vishawishi vya uzinzi na ulevi nawazaga sana vijana waliokoka wanawezaje kushindana na dhambi ya uzinzi na ulevi tena katika mji ambao wanawake wanavaa vimini na suruali za kubana mji ambao kuna baa kila kona katika dunia ambayo TV na Social network zimejaa content za ngono.
It's not easy.
mkuuKuna wakati unafika unatamani kuishi katika misingi ya imani lakini ujana ni kama unakwamisha.
Changomoto kubwa ni vishawishi vya uzinzi na ulevi nawazaga sana vijana waliokoka wanawezaje kushindana na dhambi ya uzinzi na ulevi tena katika mji ambao wanawake wanavaa vimini na suruali za kubana mji ambao kuna baa kila kona katika dunia ambayo TV na Social network zimejaa content za ngono.
It's not easy.
UWATA ni wakina nani?BabaMorgan
mkuu Kama umeamua kweli, una hitaji kuacha hizo dha mbi, basi TAFUTA WATU WANAITWA UWATA .
Mungu akubariki kwa kuleta uzi huu. kuna watu wameokoka toka wakiwa na miaka 10 na wengine 12 na wameishi bila kuzini wala kulewa. unaweza kuwahukumu kwa makosa mengine ya kibinadamu kwasababu wanadamu wote ni wadhaifu ila Mungu amewasaidia kuishi katika utakatifu na kujitakasa pale wanapokosea.Kuna wakati unafika unatamani kuishi katika misingi ya imani lakini ujana ni kama unakwamisha.
Changomoto kubwa ni vishawishi vya uzinzi na ulevi nawazaga sana vijana waliokoka wanawezaje kushindana na dhambi ya uzinzi na ulevi tena katika mji ambao wanawake wanavaa vimini na suruali za kubana mji ambao kuna baa kila kona katika dunia ambayo TV na Social network zimejaa content za ngono.
It's not easy.
Asante kwa huu ujumbe.Mungu akubariki kwa kuleta uzi huu. kuna watu wameokoka toka wakiwa na miaka 10 na wengine 12 na wameishi bila kuzini wala kulewa. unaweza kuwahukumu kwa makosa mengine ya kibinadamu kwasababu wanadamu wote ni wadhaifu ila Mungu amewasaidia kuishi katika utakatifu na kujitakasa pale wanapokosea.
cha kufanya, Wewe mpe Yesu maisha yako, yeye atakupa uwezo wa kushinda dhambi, kwasababu kwa nguvu zako hata ungekariri Biblia yote, vifungu vikae kichwani kama ndugu zangu wasabato, hauwezi kushinda dhambi, inahitaji roho yako iokolewe kutoka kwenye utumwa wa dhambi na utakuwa huru, hautasumbuliwa na uzinzi wala ulevi wala ugomvi.
Ukiokola, Mungu huwa anakupatia Roho Mtakatifu ambaye Yesu alisema bila yeye hamuwezi kufanya chochote na atatuongoza na kututia kwenye kweli yote. huyu ndiye Roho ambaye ukiwa naye, mtu anaweza kuja kukutukana matusi yote ya nguoni mbele za watu, na wewe moyo wako usighadhibike wala usimjibu vibaya, ukamsamehe na maisha yakaendelea. huyu ndiye Roho ambaye ukikutana na incident ya uzinzi unahisi umekutana na kinyesi cha mbwa kabisa, ulevi wala dhambi yeyote unahisi kabisa moyoni kwamba hilo ni chukizo na unajisikia vibaya hata kuiwaza. utatenda dhambi pale tu utakapoiruhusu wewe mwenyewe ila Roho Mtakatifu anakuwa ameshakuelekeza hapo fanya hapo usifanye rohoni mwako kwasababu yeye ndiye anaihukumi mioyo yetu nini ufanye na nini usifanye.
Huu ni ukweli mtupu.Mungu akubariki kwa kuleta uzi huu. kuna watu wameokoka toka wakiwa na miaka 10 na wengine 12 na wameishi bila kuzini wala kulewa. unaweza kuwahukumu kwa makosa mengine ya kibinadamu kwasababu wanadamu wote ni wadhaifu ila Mungu amewasaidia kuishi katika utakatifu na kujitakasa pale wanapokosea.
cha kufanya, Wewe mpe Yesu maisha yako, yeye atakupa uwezo wa kushinda dhambi, kwasababu kwa nguvu zako hata ungekariri Biblia yote, vifungu vikae kichwani kama ndugu zangu wasabato, hauwezi kushinda dhambi, inahitaji roho yako iokolewe kutoka kwenye utumwa wa dhambi na utakuwa huru, hautasumbuliwa na uzinzi wala ulevi wala ugomvi.
Ukiokola, Mungu huwa anakupatia Roho Mtakatifu ambaye Yesu alisema bila yeye hamuwezi kufanya chochote na atatuongoza na kututia kwenye kweli yote. huyu ndiye Roho ambaye ukiwa naye, mtu anaweza kuja kukutukana matusi yote ya nguoni mbele za watu, na wewe moyo wako usighadhibike wala usimjibu vibaya, ukamsamehe na maisha yakaendelea. huyu ndiye Roho ambaye ukikutana na incident ya uzinzi unahisi umekutana na kinyesi cha mbwa kabisa, ulevi wala dhambi yeyote unahisi kabisa moyoni kwamba hilo ni chukizo na unajisikia vibaya hata kuiwaza. utatenda dhambi pale tu utakapoiruhusu wewe mwenyewe ila Roho Mtakatifu anakuwa ameshakuelekeza hapo fanya hapo usifanye rohoni mwako kwasababu yeye ndiye anaihukumi mioyo yetu nini ufanye na nini usifanye.