Kama Kijana nimeamua rasmi kuikumbatia CHADEMA

Kama Kijana nimeamua rasmi kuikumbatia CHADEMA

Nimuda sasa umepita na niwakati wa kuamua na kuifata ndoto yangu ya kuikomboa tanzania kutoka kwenye matatizo zungu nzima

Sasa nimeamua rasmi nitatafuta kadi ya CHADEMA na kuanza kupaza sauti si kwa matusi ila kwa kuonesha kwamba we need development

Hii ji baada ya kukwazika kwa vijana wengi wa chama cha kijani kutoa kauli tata hata kwa mambo ambayo yanahitaji common sense

2025 CHADEMA HAKUNA KUKATA TAMAAA
:ClapHD::ClapHD::ClapHD::ClapHD::ClapHD::ClapHD::ClapHD::ClapHD::ClapHD::ClapHD::ClapHD:
 
Nimuda sasa umepita na niwakati wa kuamua na kuifata ndoto yangu ya kuikomboa tanzania kutoka kwenye matatizo zungu nzima

Sasa nimeamua rasmi nitatafuta kadi ya CHADEMA na kuanza kupaza sauti si kwa matusi ila kwa kuonesha kwamba we need development

Hii ji baada ya kukwazika kwa vijana wengi wa chama cha kijani kutoa kauli tata hata kwa mambo ambayo yanahitaji common sense

2025 CHADEMA HAKUNA KUKATA TAMAAA
Hongera kwa kuliona hilo na wengine wengi karibuni.
 
Nimuda sasa umepita na niwakati wa kuamua na kuifata ndoto yangu ya kuikomboa tanzania kutoka kwenye matatizo zungu nzima

Sasa nimeamua rasmi nitatafuta kadi ya CHADEMA na kuanza kupaza sauti si kwa matusi ila kwa kuonesha kwamba we need development

Hii ji baada ya kukwazika kwa vijana wengi wa chama cha kijani kutoa kauli tata hata kwa mambo ambayo yanahitaji common sense

2025 CHADEMA HAKUNA KUKATA TAMAAA
Nyuki akumbatiwi
 
Mimi nilijua ni masihara vile ulijibu ndoto yako siku ile tulipoulizwa tukiwa class.

Ndoto za wengi zilikua daktari, mwalimu, polisi n.k.

Niwewe pekee ulisema ndoto yako ni kuwa mnazi wa chadema.

Hongera classmate hatimaye umetimiza.
 
Back
Top Bottom