Kama kijana ukipata nafasi ya kukutana na Rais Samia na Rais Mwinyi ndani ya dakika 3 utatoa ushauri gani?

Davidmmarista

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2024
Posts
1,367
Reaction score
2,451
Wana JF, hebu tuweke mawazo mezani. Fikiria upo chumba kimoja na Rais Samia Suluhu Hassan na Dk. Hussein Mwinyi kwa dakika 3.

Kama kijana chini ya miaka 35, unapata nafasi ya kushauri jambo moja tu, na wanakuhakikishia litatekelezwa kwa asilimia 100

Ukipewa hii nafasi, ungewashauri nini? Tupe mawazo yako!
 
Atuondolee kodi kwenye pembejeo za kilimo.
 
Wafute mfumo wa vyama vingi, tubaki na chama kimoja tu
Chama cha Demokrasia na Maendeleo.
 
Nitawashauri wanipachike kwenye kanyadhifa fln hata mimi nataka kula kama wao.lazima nijipe priority kwanza
 
Binafsi nijuavyo baadhi ya vijana walivyokosa adabu/utii na weledi watamtongoza
 
Ningewaambia wajiuzulu watu wanatekwa na kuuwawa wao wapo hakuna hatua wanachukua..
Mbaya zaidi hata maiti zao hazionekani wapendwa wao wakawazika.
 
Mkuu Mimi siyo kijana hivyo naomba tuheshimiane kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…