Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
Ubinafsi huo πNitampanga anipe teuzi hata kama ya yule Profesa Janabi.
Ila siku hizi vitu vingi vya kilimo si Kuna ruzukuAtuondolee kodi kwenye pembejeo za kilimo.
Wafute mfumo wa vyama vingi, tubaki na chama kimoja tuWana JF, hebu tuweke mawazo mezani. Fikiria upo chumba kimoja na Rais Samia Suluhu Hassan na Dk. Hussein Mwinyi kwa dakika 3. Kama kijana chini ya miaka 35, unapata nafasi ya kushauri jambo moja tu, na wanakuhakikishia litatekelezwa kwa asilimia 100!
Ukipewa hii nafasi, ungewashauri nini? Tupe mawazo yako!
Mkuu unafanya kilimo?Ila siku hizi vitu vingi vya kilimo si Kuna ruzuku
Mkuu nimewekeza kwenye hii sektaMkuu unafanya kilimo?
Why hakutakuwa na usawa kusipo kuwa na demokrasiaWafute mfumo wa vyama vingi, tubaki na chama kimoja tu
Chama cha Demokrasia na Maendeleo.
Mkuu umenena!!!Katiba mpya katiba mpya katiba mpya
πππNa wewe utapeli serekaliNitawashauri wanipachike kwenye kanyadhifa fln hata mimi nataka kula kama wao.lazima nijipe priority kwanza
Binafsi nijuavyo baadhi ya vijana walivyokosa adabu/utii na weledi watamtongozaWana JF, hebu tuweke mawazo mezani. Fikiria upo chumba kimoja na Rais Samia Suluhu Hassan na Dk. Hussein Mwinyi kwa dakika 3.
Kama kijana chini ya miaka 35, unapata nafasi ya kushauri jambo moja tu, na wanakuhakikishia litatekelezwa kwa asilimia 100
Ukipewa hii nafasi, ungewashauri nini? Tupe mawazo yako!
π Yule ni bibiBinafsi nijuavyo baadhi ya vijana walivyokosa adabu/utii na weledi watamtongoza
Mkuu Mimi siyo kijana hivyo naomba tuheshimiane kidogo.Wana JF, hebu tuweke mawazo mezani. Fikiria upo chumba kimoja na Rais Samia Suluhu Hassan na Dk. Hussein Mwinyi kwa dakika 3.
Kama kijana chini ya miaka 35, unapata nafasi ya kushauri jambo moja tu, na wanakuhakikishia litatekelezwa kwa asilimia 100
Ukipewa hii nafasi, ungewashauri nini? Tupe mawazo yako!
Mwenye nguvu ndio mwelevu zaidiπππNa wewe utapeli serekali