Kama kijana ukipata nafasi ya kukutana na Rais Samia na Rais Mwinyi ndani ya dakika 3 utatoa ushauri gani?

Kama kijana ukipata nafasi ya kukutana na Rais Samia na Rais Mwinyi ndani ya dakika 3 utatoa ushauri gani?

Wana JF, hebu tuweke mawazo mezani. Fikiria upo chumba kimoja na Rais Samia Suluhu Hassan na Dk. Hussein Mwinyi kwa dakika 3.

Kama kijana chini ya miaka 35, unapata nafasi ya kushauri jambo moja tu, na wanakuhakikishia litatekelezwa kwa asilimia 100

Ukipewa hii nafasi, ungewashauri nini? Tupe mawazo yako!
Nitawashauri wajiuzuru with immediate effect.
 
Wajiuzuru, hizo nafasi linahitaji watu zaidi yao.
Wanachoweza kutusaidia kabla ya kujiuzuru NI kuandaa michakato itakayosaidia kupata viongozi wazuri kwa manufaa ya Tanzania.
 
Wajiuzuru, hizo nafasi linahitaji watu zaidi yao.
Wanachoweza kutusaidia kabla ya kujiuzuru NI kuandaa michakato itakayosaidia kupata viongozi wazuri kwa manufaa ya Tanzania.
Dah 15 years parefu mno boss
 
Tujikite katika kilimo cha kimkakati kulingana na kanda , nguvu ielekezwe kwenye kilimo cha umwagiliaji na ruzuku ya mbolea pia mbegu bora ili tuzalishe zaidi katika eneo dogo kwa mwaka mzima
 
Back
Top Bottom