Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Nakuhurumia sana mtapata msongo wa mawazo, Utabebwaje kama ubebeki? Marefa wanawabeba wanaobebeka awawezi kupoteza muda kuibeba timu isiyobebeka ndo maana kila mkinusa pua zenu mnakanyagwa sasa sijui mbeleko iyo uwa inawaonea nyie tu ama vipiNdio kwanza mzunguko wa Tatu kinyesi kimeshaanza kuziba tundu. Tulia hii ni marathon. Halafu wewe wawazie zalan washaingia mjini hakuna kamisheni ya matefa kule wakubebe kama Walivokubeba Jana kwa azam.
Bado wanakuambia Yanga mbovu,mzee rage akukosea kuwaita hawa jamaa mbu3Kwa mara ya kwanza almanusura kmc ichukue point zote 3 mbele ya timu ambayo mashabiki wake wanajinasibu wanayo timu bora, Unaokota point 1 mbele ya timu ambayo ni ya kawaida tena kwenye uwanja ambao unaweza kupanga mbinu zako na zikakubali, Kmc aijawai kuchukua point kwa simba zaidi ya kipigo lakini leo wameondoka na alama moja pia wakiwa wamecheza mpira safi sana, Unapodondosha alama nyumbani kwako tena kwenye mechi kama ya kmc inatakiwa ufikilie itakuwaje ukikutana na Yanga, au Azam? Na hapo bado ujatoka nje ya dar kwenda kucheza kwenye viwanja korofi? Simba kuna kazi ya ziada wanatakiwa wafanye vinginevyo miluzi mingi ilimpoteza mbwa!
Tengenezeni timu acheni habari za kwenye kahawa, kaduguda ndo aliwahujuma msisajili namba 6? Kaduguda ndio aliwahujumu msisajili namba 9? Kaduguda ndiye anaewafukuza makocha kila siku? Kaduguda ndiye anaefanya usajili wa wachezaji? Acheni kutafuta visababu vya kipuuziZa ndaaani kabisa Mzee Kaduguda anaihujumu timu ili kuweka shinikizo Barbara apigwe chini,Ila ajue hamkomoi Barbara bali anatukomoa sisi
Nakazia 2Ndio kwanza mzunguko wa Tatu kinyesi kimeshaanza kuziba tundu. Tulia hii ni marathon. Halafu wewe wawazie zalan washaingia mjini hakuna kamisheni ya matefa kule wakubebe kama Walivokubeba Jana kwa azam.
Napenda waungwana kama wewe, Haya sasa waelekeze utopolo wenzio kwamba msimu uliopiota mlibebwa na msimu huu vile vile.Nakuhurumia sana mtapata msongo wa mawazo, Utabebwaje kama ubebeki? Marefa wanawabeba wanaobebeka awawezi kupoteza muda kuibeba timu isiyobebeka ndo maana kila mkinusa pua zenu mnakanyagwa sasa sijui mbeleko iyo uwa inawaonea nyie tu ama vipi
Wanaotia aibu ndio wanaokupakateni kila mkikutana, na mtaendelea kupakatwa maana amtaki kukubali ubora wa wenzenu ili muufanyie kazi mmebaki kuwa kama wachawi ambao wao wanapoona umetoboa watatumia uchawi kukushusha na sio kupambana kihalali na wao wayafikie mafanikio yako, Mtateseka sanaNibebe fc.
Rudia kuangalia game yenu agaist azam, mnatia aibu.
Timu inayobebwa kila msimu ni nzuri ndio maana ata simba ilibebwa misimu 4 mfululizo kwaiyo sioni dhambi kuimba kupokezanaNapenda waungwana kama wewe, Haya sasa waelekeze utopolo wenzio kwamba msimu uliopiota mlibebwa na msimu huu vile vile.
Umbea hauna poshoZa ndaaani kabisa Mzee Kaduguda anaihujumu timu ili kuweka shinikizo Barbara apigwe chini,Ila ajue hamkomoi Barbara bali anatukomoa sisi.