Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Hi hata elon musk ili mkuta, ali kuwa na lala saa 1 tu.Noma sana madhara yake hadi utendaji kazi unakua siyo mzuri maana unashindwa kuishi ndani ya wakati
Hahahahahha mie mkubwa kwako dogo,Afu nani dogo[emoji849], mlonda ni nini??
wengine usiku wa manane๐ฅน๐ฅน๐ฟLeo hujalia , sio kila kazi ni ya kuamka saa 1 asubuhi, wengine tunaanza usiku
Tulia we pimbi, shada una ijua๐wengine usiku wa manane๐ฅน๐ฅน๐ฟ
Usha lala ๐, man dhania kuwa macho mchezo ๐คHizo tano ni nyingi sana mkuu ,
Mrs mlonda amka sasa, ni 03:10Wewe hapo. We dogo mlonda.
Unajua maumivu ya jino??Mrs mlonda amka sasa, ni 03:10
Nayajua vizuri mno, Kali toe sass๐.Unajua maumivu ya jino??
Mapengo yapo ya kutosha mtu wangu,Nayajua vizuri mno, Kali toe sass[emoji1].
[emoji117]Au una ogopa kuwa na pengo[emoji1]
Meza Vivian asubui, mchana na jioni.Mapengo yapo ya kutosha mtu wangu,
Nimeanza toa meno tokea nikiwa darasa la pili,
La mwisho nimetoa mwaka juzi tandika lilikuwa la 6,lilinisumbua kidonda,
hapa linaninyima usingizi kishenzi,
HahahahahahahMeza Vivian asubui, mchana na jioni.
[emoji117]U will be fine tu, ila nioneshe mapengo[emoji1][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Acha uchoyo, onesha bhana๐Hahahahahahah
๐๐sio shada tu mpka makushabuTulia we pimbi, shada una ijua๐
Dah๐๐๐คฃ๐๐sio shada tu mpka makushabu