Kama kuna kaya hata moja hapa nchini iliyoondokana na umaskini kupitia TASAF, basi nipigwe radi!

Kama kuna kaya hata moja hapa nchini iliyoondokana na umaskini kupitia TASAF, basi nipigwe radi!

TASAF ..... usalama .... namna ya kufika kazi za chini kabisa waliko maskini kiofisi.... yaani OFFICIALLY masikini wanafikiwa kuchekiwa kwa maana ta usalama wa taifa bila wao wenyewe kuona wanafuatwa... mliosoma na walioko TASAF mnalijua au mnahisi hili
Kuna dalili za kukuelewa. Hebu fafanua zaidi.
 
Kama kuna ulaghai uliotukuka na uliopitiliza ni huu upuuzi wa kuaminisha watu kuna kaya imeondoa umasikini kwa bakshishi ya TASAF? Mtumishi wa serikali anayesambaza fedha za maskini hawa analipwa 50,000 kwa siku, na anatumia siku 3 hadi 4 na kutengeneza 150000 - 200000/-, Maskini yeye anapokea 24,000 hadi 36,000/. Nani kapunguza umaskini kati yao?

Sent using Jamii Forums mobile app
Makonda imemsaidia mbona
 
Literally nashindwa kuona how a sane person anaweza kuamini kwamba kumpa mtu shs. 2,000= , 3,000/= ..nk. kwa mwezi inaweza kumuondolea umasikini huyo mpokeaji wa hizo monthly handouts, nisaidieni, how mtu huyu anaondokana na umasikini? HOW?
Lengo la TASAF ni nini hasa??!!

Mkuu

Usikae uamini hayo majinga mkuu!
 
[emoji3][emoji3][emoji3] Jembe -Tshs 10,000/=
Shoka Tshs. 10,000/=
Basikeli used. Tshs 15,000/=
Hii baskeli sijui ina hali gani
Hawa walevi wa JF hata usipoteze muda nao, wanashinda hapo Mlimani City kupata MB za bure watusumbue humu jukwaani na Chit Chat zao. Wanajifanya kuidharau 35,000/= wakati wao wanaishi kwa Shemeji zao. Kwa maisha ya Umaskini wa kupindukia kupewa hiyo elf 35 kwake yeye ni kiasi kikubwa kwa mipango yake ma maisha yake. Atanunua jembe la mkono, shoka au baiskeli used na Historia yake ya maisha itaanzia hapo kubadilika. Tembeeeni Vijijini mjifunze Vijana, acheni upuuuzi wa Kuiga tabia za dadazenu ona sasa Mnabeba Mikoba mgongoni, Suruari za kubana, mnaramba midomo, kuongea kwa kubana pua, kupiga magoti mkivisha pete na sasa HATA UMBEA kama huu wa TASAF mmekuwa mahiri kweli kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TASAF kiukweli haijawasaidia sana walengwa zaidi ya kuwatajirisha waajiriwa wake. wafanyakazi wa tasaf wanaiba sana hizi pesa
 
Tanzania nchi ya vituko,mradi huu ni mzuri sana na malengo yake ni safi,again maandalizi yake na utekelezaji wake ni sifuri,inaonekana ni mradi wa wanasiasa kuutumia kwa malengo yao,UPE ilipoanza nayo ilikuwa kama mradi huu,lengo lilikuwa ni zuri mno ila maandalizi yetu yalikuwa duni,kabla ya kujenga kwanza shule bora zenye vifaa bora vya kufundishia,kabla ya train waalimu bora kwanza ,our pithole politicians wakalazimisha watoto waende shule na matokeo yake ndio tunayaona humu,mtu aliyemaliza std 7 arudi afundishe watu wa level yake ili waende form 1!!,kama hii inafanana na social grants tulitakiwa kwanza tuweke mfumo wa utekelezaji,yaani walengwa watambulike ,wapewe special cards ili kwa wakati wao wakachukue grants zao kwenye mabenki,maduka makubwa,post office etc etc.inasikitisha mno hii nchi yetu inakokwenda please anayejua tunapelekwa wapi naomba anijuze.
 
Wafanyakazi wa Tasaf wana maghorofa/majumba ya kufa mtu.

Ilipitishwa Auditing hapa katikati wamesimamishwa wengi sana sababu ya kugawa pesa kwenye familia hewa.
Hili ndilo tatizo kubwa la sisi waafrika. Wizi. Ku-minimize wizi bora fedha zingetumika kufanyia vitu vya jumuia eg kununua dawa, vyakula mashuleni au uniform.
 
Literally nashindwa kuona how a sane person anaweza kuamini kwamba kumpa mtu shs. 2,000= , 3,000/= ..nk. kwa mwezi inaweza kumuondolea umasikini huyo mpokeaji wa hizo monthly handouts, nisaidieni, how mtu huyu anaondokana na umasikini? HOW?
Lengo la TASAF ni nini hasa??!!
Hizo trillion moja na ushehe “zilizopotezwa” tasaf tungeweza kufanya nazo mapinduzi ya kijani nchi nzima. Tunabaki tunaimba kilimo kwanza...
 
Literally nashindwa kuona how a sane person anaweza kuamini kwamba kumpa mtu shs. 2,000= , 3,000/= ..nk. kwa mwezi inaweza kumuondolea umasikini huyo mpokeaji wa hizo monthly handouts, nisaidieni, how mtu huyu anaondokana na umasikini? HOW?
Lengo la TASAF ni nini hasa??!!
Mkuu. Hua sipendi maoni yako lkn kwa hili nakuunga mkono kwa %100. Jana pale kwenye uzinduzi kuna watu walikua wamwkula breakfast ya 20,000. Peacock hotel nadhani breakfast bado ni 20 thou.
Watu hao hao wanaisifia tasaf eti imepunguza umaskini kwa kuzipa kaya 20 thou. Sio mtu. Kaya. Halafu kuna director wa takwimu anasema bila kupepesa kwamba uchumi unakua. Akija mtu kufanya utafiti wanamfungulia mashtaka. Yaani hawataki mtu mwinginr afanye utafiti wakati wao wanaongea upuuzi.
Ni Tanzania tu ambapo bei zikipanda na uchumi ndio unavyokua stable.
 
Mkuu. Hua sipendi maoni yako lkn kwa hili nakuunga mkono kwa %100. Jana pale kwenye uzinduzi kuna watu walikua wamwkula breakfast ya 20,000. Peacock hotel nadhani breakfast bado ni 20 thou.
Watu hao hao wanaisifia tasaf eti imepunguza umaskini kwa kuzipa kaya 20 thou. Sio mtu. Kaya. Halafu kuna director wa takwimu anasema bila kupepesa kwamba uchumi unakua. Akija mtu kufanya utafiti wanamfungulia mashtaka. Yaani hawataki mtu mwinginr afanye utafiti wakati wao wanaongea upuuzi.
Ni Tanzania tu ambapo bei zikipanda na uchumi ndio unavyokua stable.
Wameimba wimbo aupendao mwanakondoo,ngoja niendelee kuangalia kishindo cha awamu hapa Chanel pendwa
 
Kama kuna ulaghai uliotukuka na uliopitiliza ni huu upuuzi wa kuaminisha watu kuna kaya imeondoa umasikini kwa bakshishi ya TASAF? Mtumishi wa serikali anayesambaza fedha za maskini hawa analipwa 50,000 kwa siku, na anatumia siku 3 hadi 4 na kutengeneza 150000 - 200000/-, Maskini yeye anapokea 24,000 hadi 36,000/. Nani kapunguza umaskini kati yao?

Sent using Jamii Forums mobile app
Msambaza buku 3
 
Back
Top Bottom