Kuna dalili za kukuelewa. Hebu fafanua zaidi.TASAF ..... usalama .... namna ya kufika kazi za chini kabisa waliko maskini kiofisi.... yaani OFFICIALLY masikini wanafikiwa kuchekiwa kwa maana ta usalama wa taifa bila wao wenyewe kuona wanafuatwa... mliosoma na walioko TASAF mnalijua au mnahisi hili
Kuna kaya zimefanikiwa kuanzisha miradi ya ng'ombe wa maziwa,mbuzi wa maziwa,kuku wa kienyeji na nguruwe
Acheni kupotoshana
Makonda imemsaidia mbonaKama kuna ulaghai uliotukuka na uliopitiliza ni huu upuuzi wa kuaminisha watu kuna kaya imeondoa umasikini kwa bakshishi ya TASAF? Mtumishi wa serikali anayesambaza fedha za maskini hawa analipwa 50,000 kwa siku, na anatumia siku 3 hadi 4 na kutengeneza 150000 - 200000/-, Maskini yeye anapokea 24,000 hadi 36,000/. Nani kapunguza umaskini kati yao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Literally nashindwa kuona how a sane person anaweza kuamini kwamba kumpa mtu shs. 2,000= , 3,000/= ..nk. kwa mwezi inaweza kumuondolea umasikini huyo mpokeaji wa hizo monthly handouts, nisaidieni, how mtu huyu anaondokana na umasikini? HOW?
Lengo la TASAF ni nini hasa??!!
Hawa walevi wa JF hata usipoteze muda nao, wanashinda hapo Mlimani City kupata MB za bure watusumbue humu jukwaani na Chit Chat zao. Wanajifanya kuidharau 35,000/= wakati wao wanaishi kwa Shemeji zao. Kwa maisha ya Umaskini wa kupindukia kupewa hiyo elf 35 kwake yeye ni kiasi kikubwa kwa mipango yake ma maisha yake. Atanunua jembe la mkono, shoka au baiskeli used na Historia yake ya maisha itaanzia hapo kubadilika. Tembeeeni Vijijini mjifunze Vijana, acheni upuuuzi wa Kuiga tabia za dadazenu ona sasa Mnabeba Mikoba mgongoni, Suruari za kubana, mnaramba midomo, kuongea kwa kubana pua, kupiga magoti mkivisha pete na sasa HATA UMBEA kama huu wa TASAF mmekuwa mahiri kweli kweli.
Hizo kwa singida vijijini unapata mpaka kuku 10 wa kienyeji
Hili ndilo tatizo kubwa la sisi waafrika. Wizi. Ku-minimize wizi bora fedha zingetumika kufanyia vitu vya jumuia eg kununua dawa, vyakula mashuleni au uniform.Wafanyakazi wa Tasaf wana maghorofa/majumba ya kufa mtu.
Ilipitishwa Auditing hapa katikati wamesimamishwa wengi sana sababu ya kugawa pesa kwenye familia hewa.
Hizo kwa singida vijijini unapata mpaka kuku 10 wa kienyeji
Hizo trillion moja na ushehe “zilizopotezwa” tasaf tungeweza kufanya nazo mapinduzi ya kijani nchi nzima. Tunabaki tunaimba kilimo kwanza...Literally nashindwa kuona how a sane person anaweza kuamini kwamba kumpa mtu shs. 2,000= , 3,000/= ..nk. kwa mwezi inaweza kumuondolea umasikini huyo mpokeaji wa hizo monthly handouts, nisaidieni, how mtu huyu anaondokana na umasikini? HOW?
Lengo la TASAF ni nini hasa??!!
Mkuu. Hua sipendi maoni yako lkn kwa hili nakuunga mkono kwa %100. Jana pale kwenye uzinduzi kuna watu walikua wamwkula breakfast ya 20,000. Peacock hotel nadhani breakfast bado ni 20 thou.Literally nashindwa kuona how a sane person anaweza kuamini kwamba kumpa mtu shs. 2,000= , 3,000/= ..nk. kwa mwezi inaweza kumuondolea umasikini huyo mpokeaji wa hizo monthly handouts, nisaidieni, how mtu huyu anaondokana na umasikini? HOW?
Lengo la TASAF ni nini hasa??!!
Soma kitabu kiitwacho "How ccm underdevelope Tanzania" utaelewa kama umasikini imepungua au laCCM wamezoea kauli za ulaghai.
Wameimba wimbo aupendao mwanakondoo,ngoja niendelee kuangalia kishindo cha awamu hapa Chanel pendwaMkuu. Hua sipendi maoni yako lkn kwa hili nakuunga mkono kwa %100. Jana pale kwenye uzinduzi kuna watu walikua wamwkula breakfast ya 20,000. Peacock hotel nadhani breakfast bado ni 20 thou.
Watu hao hao wanaisifia tasaf eti imepunguza umaskini kwa kuzipa kaya 20 thou. Sio mtu. Kaya. Halafu kuna director wa takwimu anasema bila kupepesa kwamba uchumi unakua. Akija mtu kufanya utafiti wanamfungulia mashtaka. Yaani hawataki mtu mwinginr afanye utafiti wakati wao wanaongea upuuzi.
Ni Tanzania tu ambapo bei zikipanda na uchumi ndio unavyokua stable.
Msambaza buku 3Kama kuna ulaghai uliotukuka na uliopitiliza ni huu upuuzi wa kuaminisha watu kuna kaya imeondoa umasikini kwa bakshishi ya TASAF? Mtumishi wa serikali anayesambaza fedha za maskini hawa analipwa 50,000 kwa siku, na anatumia siku 3 hadi 4 na kutengeneza 150000 - 200000/-, Maskini yeye anapokea 24,000 hadi 36,000/. Nani kapunguza umaskini kati yao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Una softcopy hapo ?Soma kitabu kiitwacho "How ccm underdevelope Tanzania" utaelewa kama umasikini imepungua au la
3,000/= x kaya hewa 73,000 unapata kiasi gani?Kwa hiyo hata hao wakubwa wanapochomeka majina yao nao wanapokea hiyo 2,000/= na 3,000/=? Mbona aibu.