Kama kuna mifumo ya kurusha wanafunzi wasimalize miaka 7 ya darasa la saba, tujue kuna mifumo ya kuchakachua mahitimu wa Chuo kikuu!

Kama kuna mifumo ya kurusha wanafunzi wasimalize miaka 7 ya darasa la saba, tujue kuna mifumo ya kuchakachua mahitimu wa Chuo kikuu!

Morning_star

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2018
Posts
6,042
Reaction score
17,320
Huko nyuma kabla ya Jiwe JPM, kulikuwa na tabia mbaya ya kitapeli eti unamrusha darasa mwanafunzi. Unakuta mwanafunzi kasoma mpaka darasa la pili alafu unamrusha mpaka darasa la tano au yuko darasa la nne unamrusha darasa la sita.

Nashukuru JPM kwa kutengeneza mfumo ambao ukisajiliwa na mfumo ukakutambua, hakuna jinsi unaweza kuruka darasa na mwisho wa siku ukawa na sifa ya kumaliza darasa la saba kwa sasa mfumo utahesabu miaka! Watanzania tunarudishwa nyuma na mifumo ya wajinga kumiliki mifumo ya nchi.

Mifumo yetu ieshimiwe kwa wanafunzi wote ili mwisho wa skku tuwe na nguvukazi inayojielewa na kusimamia haki kulivusha yaifa. Sasa kama mtoto hajaiva akakomaa kiakili anawezaje kuwa kiongozi?
 
Hata Nyerere alirushwa,mimi pia nirushwa,wanarushwa maginius au waliocheleweshwa shule,bongo lala utarudishwa nyuma
 
Huko nyuma kabla ya Jiwe JPM, kulikuwa na tabia mbaya ya kitapeli eti unamrusha darasa mwanafunzi. Unakuta mwanafunzi kasoma mpaka darasa la pili alafu unamrusha mpaka darasa la tano au yuko darasa la nne unamrusha darasa la sita. Nashukuru JPM kwa kutengeneza mfumo ambao ukisajiliwa na mfumo ukakutambua, hakuna jinsi unaweza kuruka darasa na mwisho wa siku ukawa na sifa ya kumaliza darasa la saba kwa sasa mfumo utahesabu miaka! Watanzania tunarudishwa nyuma na mifumo ya wajinga kumiliki mifumo ya nchi. Mifumo yetu ieshimiwe kwa wanafunzi wote ili mwisho wa skku tuwe na nguvukazi inayojielewa na kusimamia haki kulivusha yaifa. Sasa kama mtoto hajaiva akakomaa kiakili anawezaje kuwa kiongozi????
mambumbumbu ndo hufuata hiyo mifumo genius wanarushwa, case study Nyerere
mtoto kama yupo smart akiwa la tano mrushe aende sekondari
 
Back
Top Bottom