haieleweki utaajiliwa wapi? course content ni zile zile za advance mfano utakutana na mechanics, magnetism,heat,wave then hakuna cha field walimu wachache practicals mpaka vifaa vitoke udsm na mta jikuta practical 20 mnafanya kwa wiki moja ili vifaa virudi, nina wambia kwakuwa mimi sikupata nafasi ya kupata ushauri kwasasa nimeona bora nisome diploma pale D.I.T[/QUO
anaweza akawa mwalimu wa physics wa shule za secondary!