Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba hii mada niiongelee kwa mtazamo wa kihistoria,
Sababu iliyo fanya mataifa kuwepo kutokana na historia ndio sababu itakayopelekea serikali moja
kuwepo nadhani ukifuatilia sababu ya kuzaliwa kwa mataifa hutapinga uwezekanao wa kuzaliwa kwa serikalimoja
kwa hoja tu za kihistoria,
Tena bila hata kuingiza mambo ya kiimani wala consipirancy.
Kwenye ule mkutano wa majuzi yule mama((Mia Mottley, Prime Minister of Barbados)) aliyeshangiliwa sana mpaka na boris johnson kuna sentensi aliisema,
"kama kunataifa linadhani linaweza kusurvive bila mataifa mengine, litakuwa halijajifunza kutokana na korona"
kwa tafsiri isiyo ya moja kwa moja .
New world order nadhani sio lazima dunia iwe taifa moja kama wengi wanavyodhani ila nadhani kunaenda kutokea umoja(chombo)
utakao kuwa na nguvu ya kuamrisha/kudhibiti mataifa yote bila pingamizi lakukataa makubaliano yeyote yatakayofikiwa na umoja huo.
Na probably inaweza kuondoa uhasama wa mataifa kadhaa yaliyonayo na kudhalisha system mpya au uhasama mpya.
Unapopinga uwezekano wa Serikali moja ya dunia haiwezi kuwepo wakati huo huo miaka michache iliyopita Tanzania haikuwepo
wala babu wa mababu zetu hawakuamini wala kufikiri kama makabila hasimu yataunda taifa moja na kushirikiana
unanifanya nifkiri zaidi.
Darwin aliwahi kusema kuwa"evolution never jumps", kila kitu kinafanyika kwa mpangilio/hatua maalum.
Na naamini kuwa warning comes before destruction.
NWO lazima itokee sababu mwanadamu alisha pewa tahadhari na maandiko ya dini zote .Biblia na Quran zote zimeeleza kuhusu kuja kwa mpinga Kristo.Hao walioandika hiyo paper na waliowatuma kufanya hiyo kazi ni evil people.Na nakushangaa,mbona na we we wanakuathiri.Why don't we join hands in exposing them,in the hope that wanadamu wengi watajua uovu wao and eventually turn against them.Mimi nashangaa sana watu kama ninyi frankly.
Mkuu I am sorry, lakini mimi mtu akisha ingiza mambo ya conspiracy theories namuona yuko mind controlled na hana independent thinking.Equally Darwinism.Evolution sio science mkuu,it's fake science,because it cannot be proved through experimentation.Species zote kaumba Mungu,there is no question of evolution.Kama evolution ni real,kwa nini Sokwe leo hawa badiliki kuwa watu,acheni kuamini ujinga jamani.Theories hizi ni demonic kabisa na zina nia ya kuwafanya Wanadamu wamuasi Mungu.So again, ni purely demonic.
Mkuu, sina affiliation na mambo ya kidini,
Na huwa mara nyingi siamin conspirancy lakini sizipuuzi pia.
Kitu kinacho shangaza ni watu kupinga vitu bila kufanya research/facts kwa kigezo hawajawahi kusikia vikiongelewa public
au kukubaliwa na wengi.
Niwaombe hawa watu wajaribu kuwa empty minded wanapo kuwa kwenye mada kama hizi ili kuona uhalisia zaidi(clarity)
jinsi vitu vilivyo badala ya jinsi walivyo .
Siwaalamu wanaopinga kwa sababu najua process ya kuwa enlightment(to see things with clarity ) inachukua zaidi ya bidii
na juhudi.
Hawa watu hawampingi mtoa mada ila wanajaribu kutetea/ku-defend kile wanachokiamini kuwa ni ukweli
ambao ukiwauliza facts wanazo tumia kuamini kuwa huo ni kweli na sio propaganda pia hawana.
mwisho: mtoa mada inabidi hivi vitu viandikwe kwa lugha nyepesi ili hawa watu wasio elewa wapate mwanga kidogo.
Kama unaamini dunia inajiendea tu basi unaweza kupuuza hizi habari lakini kama una mashaka kama mimi
kuwa kuna master-mind katika kila kitu hapa duniani basi hizi mada zinakuwafikirishi sana.
I bealive everything until it proved wrong.
NWO lazima itokee sababu mwanadamu alisha pewa tahadhari na maandiko ya dini zote .Biblia na Quran zote zimeeleza kuhusu kuja kwa mpinga Kristo.
In short.
MUNGU hawezi kujipinga mwenyewe alishaandika na lazima itokee otherwise Manabii na mitume wake wataokena ni waongo kwa kutabiri vitu visivyotokea na vitabu vya Dini vitaonekana kama Story za Abunuas.
Kwa hiyo binadamu tujuwe ama tusijuwe lazima NWO itakuja sababu MUNGU alisha ruhusu itokee.HATA TUFANYE MAOMBI kiasi gani lazima itakuja tu.
*Hata YESU aliomba KIKOMBE HIKI kimuepuke lakini hakusikilizwa na akatumiwa Roho kumfariji tu. Sababu ilishatabiriwa Kuwa Masihi atakuja anasurubiwa na siku ya 3 atafufuka.
USA kwa sasa anahangaika kuhamia Mars sababu anajua yajayo yanafurahisha
Vatican ndio kiongozi hasa, muwezeshaji mkuu akiwa US, ikifuatiwa na Britain, Germany, Urusi na China. Wengine wanaburuzwa tu. Usipokuwa mdadisi unaweza kudhani kwamba Urusi na China hawahusiki, lakini hizi ni harakati tu za kuihadaa Dunia na Wanadamu.
Hata kama watu 2 wataamini dunia nzima hilo halizuii maandiko kutimia.Hakuna ukilaza zaidi ya huu wa kujenga hoja kwa kusema Biblia na Quran zote zimeeleza jambo fulani. Kwanza fahamu zaidi ya watu biliion tatu au nusu ya dunia sio waumini dini hizo mbili, pili fahamu kwamba ni nadra kwa vitabu vyote viwili kwa pamoja kuwa sahihi katika jambo lolote lenye umuhimu kwa dini hizo.
Ni kweli watu wanatoka kwenye kuamini wanaenda kwenye kujua.Hata kama watu 2 wataamini dunia nzima hilo halizuii maandiko kutimia.
In future idadi ya watu wanaoamini watazidi kupungua zaidi .
Lakin haitabadilisha maana ya maandiko kutimia .
Dunia haijiendei tu na hakuna binadamu master-mind wanaoiendesha dunia zaidi ya wanasiasa, wavumbuzi, wanasayanzi, wafanyabiashara, matukio ya asili, milipuko ya magonjwa, njaa, vita, masoko n.k
Nahisi wew ndyo umepuuza mkuu you are not jamii forum spokesmanHuyo mwamba ni muumini wa kaji "sect"fulani cha dini chenye kuamini wao kuwa ni victims wa persecution. Vi "sects" vya namna hii ni maarufu sana Mbeya na pia Canada [emoji16][emoji16].
Bahati mbaya ni kuwa wako hollow kuliko maelezo.
Anajiita daktari, ki-u-kamili - virologist.
Kapambana na Corona na chanjo weee kajikuta amepuuzwa. Alipo bila shaka keshapata AstraZeneca.
Hivi hapa kaja kivingine kama kingwendu tu [emoji16][emoji16].
Mtu anamzungumzia shetani ukimsidia kukemea pepo kuna taabu gani?
Au nasema uongo ndugu yangu?
Sasa Kama wana ajenda moja why dhen they are in serious conflicts/war economically, politically e.g the issue of Taiwan & technologically e.g space exploration issues, nuclear weapons issues etc au unataka kuniambia all these are staged propaganda???Kama Ni hivyo basi nna safari ndefu Sana yakujifunza na kuyatambua haya mambo.Vatican ndio kiongozi hasa, muwezeshaji mkuu akiwa US, ikifuatiwa na Britain, Germany, Urusi na China. Wengine wanaburuzwa tu. Usipokuwa mdadisi unaweza kudhani kwamba Urusi na China hawahusiki, lakini hizi ni harakati tu za kuihadaa Dunia na Wanadamu.
Vatican hawana power yoyote in the world stage economically or technologically how come they have those muscles to be the nwo bossVatican ndio kiongozi hasa, muwezeshaji mkuu akiwa US, ikifuatiwa na Britain, Germany, Urusi na China. Wengine wanaburuzwa tu. Usipokuwa mdadisi unaweza kudhani kwamba Urusi na China hawahusiki, lakini hizi ni harakati tu za kuihadaa Dunia na Wanadamu.
Mkuu usifadhaishwe na those devils No way they exist they existed and they will exist Dunia siyo mahala salama Sana we are in the fightpamoja na maelezo yote hayo, bado kuna wapumbavu watakupinga bila sababu za msingi.
kila siku huwa tunasema humu hii dunia si sehemu salama kabisa, maana kuna baazi ya watu wanafanya kila njia waweze kuicontrol dunia ktk kila nyanja za uchumi, siasa, na kijamii.
na hawa watu wako ktk makundi mengi ya siri na yasiyo ya siri, na mipango yao hufanya kimikakati zaid na ubobevu mkubwa il kuleta matokeo chanya.
na yeyote yule anayekwamisha jitihada zao, humfanya kuwa adui wa dunia, kwa kumfanya aonekane mpinzan na mtu wa ajabu anaefanya mambo ya tofaut na wafanyavyo watu wengine dunian(mfano ni nchi ya North korea) hapa nazan mnaelewa, pia kuna mifano mingi sana ambayo hakuna haja kuongea.
viongoz wetu wa serkal wanajua haya ndiomaana wanafanya kila wawezalo kujiungamanisha na harakati za hao mabwana wa dunia, ili nchi zetu masikini zibaki salama kwa kuofia kutengwa na dunia, ama kushughurikiwa.
kwa bahat mbaya hakuna mtetezi pale unapojitahidi kupinga hizo harakat za hao mabwana, maana wamejichimbia miziz ktk kila kitu, kuanzia dini, uchumi, elimu na mengineyo,
unapojarbu kuhoji ama kuwachallenge bas ujue litakalo kukuta si zuri yaan mpaka wananchi wako unaowapigania watakusariti kwa kuamin kuwa haupo sahih, kumbe unawapigania wao, na hil mmeona hata ktk nchi yetu jinsi kundi la vilaza fulan walpompinga yule bwana aliesisitiza tujifukize na tukatae madawa yasiyo na uwakika wa tiba, alionekana mjinga kumbe ukwel uko wazi,
mambo haya si yakidini, lkn inashangaza wapuuzi wachache wanapoyahusianisha na dini zao, yaan ukiongelea suala la NWO kuna mitumwa ya akili inakuja kukutusi kuwa wew msabato mala nani sjui unaongelea conspiracy theories, kumbe ndyo ukwel wenyw.
jamii ya watu weusi inahitaj ukomboz mkubwa wa kifikra ili ikubali kujuwa jinsi gani ulimwengu unavyokwenda.
WE ARE NOT SAFE
Hata kama watu 2 wataamini dunia nzima hilo halizuii maandiko kutimia.
In future idadi ya watu wanaoamini watazidi kupungua zaidi .
Lakin haitabadilisha maana ya maandiko kutimia .
Mtoa mada anatuambia hawa NWO ndio mastermind wa hii dunia, hawa wengine wanatumika tu.
Mkuu usifadhaishwe na those devils No way they exist they existed and they will exist Dunia siyo mahala salama Sana we are in the fight
Hakuna Mars hakuna lolote mkuu,wanajiandaa kumleta their fake Messiah ili watu wamuamini instead of the true Messiah ndio maana safari za outerspace zimeongezeka sana.Wangekuwa wanapanga kuishi Mars wasingejenga na underground cities in the USA.Kuishi Mars ni very complicated mkuu na hata kama ingewezekana,ni very unpleasant. Kumbuka hamna maji na hewa,so it is very difficult to do anything to sustain life there.Sisemi ni impossible, it is possible kwa technologies walizo nazo,ila it is much much easier to do it underground na wameshafanya hivyo in the US.NWO lazima itokee sababu mwanadamu alisha pewa tahadhari na maandiko ya dini zote .Biblia na Quran zote zimeeleza kuhusu kuja kwa mpinga Kristo.
In short.
MUNGU hawezi kujipinga mwenyewe alishaandika na lazima itokee otherwise Manabii na mitume wake wataokena ni waongo kwa kutabiri vitu visivyotokea na vitabu vya Dini vitaonekana kama Story za Abunuas.
Kwa hiyo binadamu tujuwe ama tusijuwe lazima NWO itakuja sababu MUNGU alisha ruhusu itokee.HATA TUFANYE MAOMBI kiasi gani lazima itakuja tu.
*Hata YESU aliomba KIKOMBE HIKI kimuepuke lakini hakusikilizwa na akatumiwa Roho kumfariji tu. Sababu ilishatabiriwa Kuwa Masihi atakuja anasurubiwa na siku ya 3 atafufuka.
USA kwa sasa anahangaika kuhamia Mars sababu anajua yajayo yanafurahisha
Vatican wanahusika kabisa mkuu,na infact ndio bosses wa the NWO.Naomba ujielimishe kwa kusikiliza clip hii.Hata hivyo ili uweze kuielewa,ondoa matakataka yote ambayo umeshawahi kusikia huko nyuma,nikiwa na maana kwamba usikilize clip hii with an open mind.Vatican hawana power yoyote in the world stage economically or technologically how come they have those muscles to be the nwo boss
Wala sio safari ndefu.Nia ni ku-confuse humanity ili isijue kwamba there is something sinister going on.Angalia ⬇ hata Pope Francis anavyo zungumzia New World Order,ni kama hana mamlaka vile.Sasa Kama wana ajenda moja why dhen they are in serious conflicts/war economically, politically e.g the issue of Taiwan & technologically e.g space exploration issues, nuclear weapons issues etc au unataka kuniambia all these are staged propaganda???Kama Ni hivyo basi nna safari ndefu Sana yakujifunza na kuyatambua haya mambo.