Kama kuna mtu ananufaika na huu uhai basi ni huyo aliyetuumba!

Kama kuna mtu ananufaika na huu uhai basi ni huyo aliyetuumba!

Hakuna anayeweza kuthibitisha kuwa MUNGU yupo ama hayupo. Ko tuishi Kwa Imani tu, Wala huwezi pungukiwa kitu ukiamini tu MUNGU yupo, ila kama una mashaka na huamini basi usitukane maana sasa kwann utukane kitu ambacho hakipoo🤔?. Kamwe usitukane Imani za watu, usimtukane mtume Muhammad Wala yesu kristo . Yani ni Bora usiwaamini kuliko kutukana . Ni sawa katka maisha yetu ya kawaida kutukana sio jambo jema
 
Uhai ni mmoja, sisi ni wamoja na roho ni moja inayojidhihirisha katika maumbile tofauti ya miili. Mauti maana yake ni roho inajitenga na mwili. Kiroho wewe na mimi tulikuwepo, tupo na tunaendelea kuwepo. Imagine tungeishi miaka mia tano au mia tisa ingekuwaje? Unadhani maisha yangekuwa mazuri? La hasha! Nafikiri maisha yangekuwa bored sana.
 
Hakuna anayeweza kuthibitisha kuwa MUNGU yupo ama hayupo. Ko tuishi Kwa Imani tu, Wala huwezi pungukiwa kitu ukiamini tu MUNGU yupo, ila kama una mashaka na huamini basi usitukane maana sasa kwann utukane kitu ambacho hakipoo🤔?. Kamwe usitukane Imani za watu, usimtukane mtume Muhammad Wala yesu kristo
Hakuna anayeweza kuthibitisha kuwa MUNGU yupo ama hayupo. Ko tuishi Kwa Imani tu, Wala huwezi pungukiwa kitu ukiamini tu MUNGU yupo, ila kama una mashaka na huamini basi usitukane maana sasa kwann utukane kitu ambacho hakipoo🤔?. Kamwe usitukane Imani za watu, usimtukane mtume Muhammad Wala yesu kristo . Yani ni Bora usiwaamini kuliko kutukana . Ni sawa katka maisha yetu ya kawaida kutukana sio jambo jema

. Yani ni Bora usiwaamini kuliko kutukana . Ni sawa katka maisha yetu ya kawaida kutukana sio jambo jema
Hakuna !! Ķweli ama wewe ndio huwezi Acha nithibitishe mungu yupo
 
Nakwambia hivi Huyo Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

What you have is fear of unknown.
umejikuta upo kwenye Dunia, una facilities zote. Hewa, maji, matunda, ardhi ambayo ukilima mazao yanaota,

sense zote unacho kiona, ndo unachokigusa kukinusa, wote mnakiona hicho

kila kitu kilifanywa kua in place kiasi hicho na nani ?

fikiria mfugaji, ana Ng'ombe, amewatengenezea zizi, sehemu ya kuwawekea chakula maji etc.

Ng'ombe anaweza akawa haelewu kama zizi sehemu ya chakula na mazingira yote yamewekwa na anaemtunza

nawe pia una hiyo mind.

vitu vingine hata Sayansi haiwezi kuelezea

MUNGU YUPO
 
Kuna uzi uliwekwa humu kuhusu mambo mema ambayo wametendewa na Mungu, cha kushangaza wengi walianza kushukuru kwa kupewa uhai.

Mimi kwa mtazamo wangu sidhani kama uhai una faida yeyote kwa aliyeumbwa na kupewa kinachoitwa uhai. Hata ingetokea asingepewa huo uhai hakuna hasara yeyote angepata. Hivyo basi makusudi na faida za uhai anazijua mwenyewe aliyetoa huo uhai. Mbaya zaidi hakuna hata aliyeulizwa ikiwa anahitaji huo uhai ama lah!

Hii dunia inabidi turelax tu, ila hakuna anayejua makusudi ya kuumba binadamu, huu unaoitwa uhai kushukuru ni wendawazimu maana hata usipokufa leo utakufa kesho!

Suleiman alishasema kila kitu hapa duniani ni ubatili.

Nafikiri umeungana naye,

Anayejua maana na faida ya maisha ni mmiliki wa haya maisha
 
umejikuta upo kwenye Dunia, una facilities zote. Hewa, maji, matunda, ardhi ambayo ukilima mazao yanaota,

sense zote unacho kiona, ndo unachokigusa kukinusa, wote mnakiona hicho

kila kitu kilifanywa kua in place kiasi hicho na nani ?

fikiria mfugaji, ana Ng'ombe, amewatengenezea zizi, sehemu ya kuwawekea chakula maji etc.

Ng'ombe anaweza akawa haelewu kama zizi sehemu ya chakula na mazingira yote yamewekwa na anaemtunza

nawe pia una hiyo mind.

vitu vingine hata Sayansi haiwezi kuelezea

MUNGU YUPO
Huyo Mungu alifanywa na nani?

Unalazimisha ulimwengu uwe umetengenezwa halafu una amini huyo Mungu alitokea tu from no where.

Kama haiwezekani ulimwengu kujiumba wenyewe, Pia hata huyo Mungu haiwezekani awepo tu mwenyewe pasipo muumbaji.

Kwa hiyo lazima uthibitishe huyo Mungu alikuwa wapi kabla ya kuumba mbingu na dunia.

Na huko alikokuwa kulitoka wapi na kuumbwa na nani?
 
Back
Top Bottom