Kama kuna mtu ananufaika na huu uhai basi ni huyo aliyetuumba!

Kama kuna mtu ananufaika na huu uhai basi ni huyo aliyetuumba!

Hakuna anayeweza kuthibitisha kuwa MUNGU yupo ama hayupo. Ko tuishi Kwa Imani tu, Wala huwezi pungukiwa kitu ukiamini tu MUNGU yupo, ila kama una mashaka na huamini basi usitukane maana sasa kwann utukane kitu ambacho hakipoo🤔?. Kamwe usitukane Imani za watu, usimtukane mtume Muhammad Wala yesu kristo . Yani ni Bora usiwaamini kuliko kutukana . Ni sawa katka maisha yetu ya kawaida kutukana sio jambo jema
Kwan ukiwatukana shida ni nn
 
Back
Top Bottom