Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Simba kuwapa watu dozi nzito ni kawaida yake, kama kuna timu yeyeto hapa bongo haijawahi kufungwa goli sita upite mbele.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AahaaaaaKweli maisha yanaenda kasi sana.
Wakati Yanga anawaza hesabu za namna gani acheze nusu fainali, kuna timu inajipapatua kutafuta tiketi ya kucheza robo fainali.
Wakati Yanga msimu huu ikiona ni kawaida kushinda magoli mengi hasa kwa timu kubwa zulizopo ligi kuu hadi klabu bingwa, kuna timu leo inafurahia kuifunga timu daraja la kwanza nagoli mengi.
TRA haipo daraja la kwanza, ni timu ya daraja la pili. Simba iliyocheza Leo Haina uwezo wa kuifunga timu yoyote ya daraja la kwanza goli 6.Kweli maisha yanaenda kasi sana.
Wakati Yanga anawaza hesabu za namna gani acheze nusu fainali, kuna timu inajipapatua kutafuta tiketi ya kucheza robo fainali.
Wakati Yanga msimu huu ikiona ni kawaida kushinda magoli mengi hasa kwa timu kubwa zulizopo ligi kuu hadi klabu bingwa, kuna timu leo inafurahia kuifunga timu daraja la kwanza nagoli mengi.
Kumbe ni la pili, asante kwa kuniweka sawaTRA haipo daraja la kwanza, ni timu ya daraja la pili.
Nduguzetu mbumbumbu Fc wanakazi kubwa mbeleni.
Rudi shule huu ulionao ni ujinga kiwango cha lami.Simba kuwapa watu dozi nzito ni kawaida yake, kama kuna timu yeyeto hapa bongo haijawahi kufungwa goli sita upite mbele.
View attachment 2919385
HahahaaYaani wenzio machungu hayajapoa wewe unakuja kuyafufua
Pole hawatokuja kukusapoti
Kuna watu mna roho ngumu.Kwa hiyo hapo unajiona una timu?🤣🤣🤣Simba kuwapa watu dozi nzito ni kawaida yake, kama kuna timu yeyeto hapa bongo haijawahi kufungwa goli sita upite mbele.
View attachment 2919385