The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
- Thread starter
-
- #21
Akishika huyu maji mtaita mmaaa maana atashindwa ku balance Kati ya Uchumi na siasa ataegemea zaidi kwenye uchumi na kanuni zake sasa mtasugua meno zaidi..Ikishindana wamjaribu Dr.Kimei maana chama dola viongozi wake ni wa kutest test.
Nyonoko mama yako
Wale ndio walikuwa engine ya Chadomo kwenye masuala ya Uchumi,baada ya kuwasusa kumebakia akina mdude 😆😆😆
NdioKumbe waume zako ndo maana unawawewesekea sana
Chadomo mna wivu mbaya sana 😬😬Mtoa mada hana akili hata kidogo. Tumpuuze.
Kama italazimu kupata Waziri mwingine wa Fedha badala ya Mwigulu Nchemba basi mmja wapo Kati ya David Kafulila almaarufu tumbili au Zito Kabwe wa ACT Wazalendo can make a good choice,huu ni ushauri Wangu tu sio lazima Mh. Rais aufuate.
Sijaona mtu Mwingine yeyote wa kuvaa viatu vya Comrede Dr Mwigulu tofauti na hao.
Japo so far hiyo haja au ulazima sijauona. Uzi tayari.
Lolote lawezekanaKikatiba waziri ni lazima atokane na wabunge, hao uliopendekeza hakuna mbunge na Rais ameshamaliza viti vyake.
Mr. Hamnazo yuko kazini.Kama italazimu kupata Waziri mwingine wa Fedha badala ya Mwigulu Nchemba basi mmja wapo Kati ya David Kafulila almaarufu tumbili au Zito Kabwe wa ACT Wazalendo can make a good choice,huu ni ushauri Wangu tu sio lazima Mh. Rais aufuate.
Sijaona mtu Mwingine yeyote wa kuvaa viatu vya Comrede Dr Mwigulu tofauti na hao.
Japo so far hiyo haja au ulazima sijauona. Uzi tayari.
Mama yako ndio nyonoko na munio kabisaShosti nyanoko ukoo wako
Hapo angetakwa Mbowe ungeunga mkono 😁😁Mr. Hamnazo yuko kazini.
Zitto kabwe ni bonge la kifaa,hiyo ndio wizara inayomfaaKama italazimu kupata Waziri mwingine wa Fedha badala ya Mwigulu Nchemba basi mmja wapo Kati ya David Kafulila almaarufu tumbili au Zito Kabwe wa ACT Wazalendo can make a good choice,huu ni ushauri Wangu tu sio lazima Mh. Rais aufuate.
Sijaona mtu Mwingine yeyote wa kuvaa viatu vya Comrede Dr Mwigulu tofauti na hao.
Japo so far hiyo haja au ulazima sijauona. Uzi tayari.
Ila Madelu unajua kuwachezea watu akili [emoji119]Kama italazimu kupata Waziri mwingine wa Fedha badala ya Mwigulu Nchemba basi mmja wapo Kati ya David Kafulila almaarufu tumbili au Zito Kabwe wa ACT Wazalendo can make a good choice,huu ni ushauri Wangu tu sio lazima Mh. Rais aufuate.
Sijaona mtu Mwingine yeyote wa kuvaa viatu vya Comrede Dr Mwigulu tofauti na hao.
Japo so far hiyo haja au ulazima sijauona. Uzi tayari.
Kwakuwa umevaa miwani ya mbao hutaweza mwona mwingine 🚶Kama italazimu kupata Waziri mwingine wa Fedha badala ya Mwigulu Nchemba basi mmja wapo Kati ya David Kafulila almaarufu tumbili au Zito Kabwe wa ACT Wazalendo can make a good choice,huu ni ushauri Wangu tu sio lazima Mh. Rais aufuate.
Sijaona mtu Mwingine yeyote wa kuvaa viatu vya Comrede Dr Mwigulu tofauti na hao.
Japo so far hiyo haja au ulazima sijauona. Uzi tayari.
Sema Kwa sauti lete Mdhunguuu🏃Tutamleta mzungu tu sahizi, hao wezi hawawezi kupewa wizara nyeti hivyo.