Nasema Uongo Ndugu Zangu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 279
- 779
Zitto huyu huyu kibaka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadomo watanuna 😆😆Zitto kabwe ni bonge la kifaa,hiyo ndio wizara inayomfaa
Ndio huyu huyu,wewe ukitaka awe nani? Mbowe au?Zitto huyu huyu kibaka?
Mlamba asali wa kisiasa!!Hapo angetakwa Mbowe ungeunga mkono 😁😁
Kwa maana hiyo Tanznaia yetu imeishiwa kabisha wasomi na vipaji .......!!Kama italazimu kupata Waziri mwingine wa Fedha badala ya Mwigulu Nchemba basi mmja wapo Kati ya David Kafulila almaarufu tumbili au Zito Kabwe wa ACT Wazalendo can make a good choice,huu ni ushauri Wangu tu sio lazima Mh. Rais aufuate.
Sijaona mtu Mwingine yeyote wa kuvaa viatu vya Comrede Dr Mwigulu tofauti na hao.
Japo so far hiyo haja au ulazima sijauona. Uzi tayari.
Kikatiba inamruhusu kumchomoa ktk aliowateua na kupachika mwingine ref. Mh possi.Kikatiba waziri ni lazima atokane na wabunge, hao uliopendekeza hakuna mbunge na Rais ameshamaliza viti vyake.
Hahaaa, hoja ya kubadili ujaiona na unapendekeza mbadala, umelewa??Kama italazimu kupata Waziri mwingine wa Fedha badala ya Mwigulu Nchemba basi mmja wapo Kati ya David Kafulila almaarufu tumbili au Zito Kabwe wa ACT Wazalendo can make a good choice,huu ni ushauri Wangu tu sio lazima Mh. Rais aufuate.
Sijaona mtu Mwingine yeyote wa kuvaa viatu vya Comrede Dr Mwigulu tofauti na hao.
Japo so far hiyo haja au ulazima sijauona. Uzi tayari.
Kimei maji mtaita mmaaa 😁😁😁😁.Hahaaa, hoja ya kubadili ujaiona na unapendekeza mbadala, umelewa??
Anyway, Iko time saa mbovu husema Kweli,
Waziri fedha ni either KIMEI or KAFULILA.
Kwa sababu gani?Kwa maana hiyo Tanznaia yetu imeishiwa kabisha wasomi na vipaji .......!!
Wewe kumbehuwajui wanaofaa hakuna kama Hussein bashe jamaa anajuwa sana lakini nchi kunakauzitoKama italazimu kupata Waziri mwingine wa Fedha badala ya Mwigulu Nchemba basi mmja wapo Kati ya David Kafulila almaarufu tumbili au Zito Kabwe wa ACT Wazalendo can make a good choice,huu ni ushauri Wangu tu sio lazima Mh. Rais aufuate.
Sijaona mtu Mwingine yeyote wa kuvaa viatu vya Comrede Dr Mwigulu tofauti na hao.
Japo so far hiyo haja au ulazima sijauona. Uzi tayari.
Kimei maji mtaita mmaaa 😁😁😁😁.
Kafulila sijamsoma msimamo wake kweyu uchumi maana huwa anaongea maneno meengi ya kiuchambuzi..
Mwisho unaweza kuishia kuwa na wishful thinking ila Mwigulu hatokinleo Wala kesho Kisa makelele yenu ya kijinga
Hahaaa, mmechanganyikiwa,.Kimei maji mtaita mmaaa 😁😁😁😁.
Kafulila sijamsoma msimamo wake kweyu uchumi maana huwa anaongea maneno meengi ya kiuchambuzi..
Mwisho unaweza kuishia kuwa na wishful thinking ila Mwigulu hatokinleo Wala kesho Kisa makelele yenu ya kijinga 👇
Acha uzuzu,umtoe Wizara ya Kilimo aje Wizara ya Fedha si itakuwa ni ku underutilize potential yake?Wewe kumbehuwajui wanaofaa hakuna kama Hussein bashe jamaa anajuwa sana lakini nchi kunakauzito
Ngoja tuone bwana akili kubwa,unatoa mda gani wa yeye kuwepo Wizara ya fedha Ili tuweke Kumbukumbu sawa?H
Hahaaa, mmechanganyikiwa,.
Akili ndogo anatabia ya kuelewa jambo baada ya kukaripiwa na kupigiwa kelele masikioni ndipo yanazibuka.
Nilisema, tozo ya miamala ya kibank ni ya mwisho Kwa mwigu kutoza akiwa waziri.
Tunza hiyo.
Verry soon, nikitaja muda, pressure itakumaliza chawa we!!!Ngoja tuone bwana akili kubwa,unatoa mda gani wa yeye kuwepo Wizara ya fedha Ili tuweke Kumbukumbu sawa?
Wewe funza kweli, pressure inipate mimi Kwa mambo ya Mwigulu na SSH?..Berry soon, nikitaja muda, pressure itakumaliza chawa we!!!
Bt tuache utani, KIMEI akikaa pale na akamsikiliza Mpango, watamshauri Kiongozi wetu vizuri sana.
ZZK ni Snitch mkubwaKama italazimu kupata Waziri mwingine wa Fedha badala ya Mwigulu Nchemba basi mmja wapo Kati ya David Kafulila almaarufu tumbili au Zito Kabwe wa ACT Wazalendo can make a good choice,huu ni ushauri Wangu tu sio lazima Mh. Rais aufuate.
Sijaona mtu Mwingine yeyote wa kuvaa viatu vya Comrede Dr Mwigulu tofauti na hao.
Japo so far hiyo haja au ulazima sijauona. Uzi tayari.
Kwani Vijana ndio wanapanga safu ya utawala? 😁😁😁😁.ZZK ni Snitch mkubwa
Kwa sasa vichwani mwa vijana ashatoka,, haaminiki tena yule hafai
Kwani Vijana ndio wanapanga safu ya utawala? 😁😁😁😁.ZZK ni Snitch mkubwa
Kwa sasa vichwani mwa vijana ashatoka,, haaminiki tena yule hafai