Kwa Mbowe sipo, Kwa S100 sipo, s.gang sipo, nabaki MTANZANIA saaaf!!!!Wewe funza kweli, pressure inipate mimi Kwa mambo ya Mwigulu na SSH?..
Mimi sishikiwi akili kama Mbowe alivyowashikia huko Ufipa na kama Mwendazake alivyowashikia huko Sukuma Gang?