M.Rutabo
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 1,031
- 2,647
Nimekuwa nashindwa kuielewa serikali yangu kama kuna field ambayo ni muhimu kuitilia mkazo basi ni field ya uwekezaji.
Kwa kulitambua ilo ndo maana waliamua kuitenga wizara ya fedha na mipango na kutengeneza wizara mpya ya mipango na uwekezaji. Ila hajabu ukienda halmashauri, Manispaa na majiji hakuna idara yoyote inayo usiana na uwekezaji. Sasa uwa najiuliza uwekezaji unaanzia uko juu tu uku chini hakuna umuhimu wowote.
Na watu waliosoma finance and investment planning hawaajiriki halmashauri na ngazi zote za serikali za mitaa?
Kwa kulitambua ilo ndo maana waliamua kuitenga wizara ya fedha na mipango na kutengeneza wizara mpya ya mipango na uwekezaji. Ila hajabu ukienda halmashauri, Manispaa na majiji hakuna idara yoyote inayo usiana na uwekezaji. Sasa uwa najiuliza uwekezaji unaanzia uko juu tu uku chini hakuna umuhimu wowote.
Na watu waliosoma finance and investment planning hawaajiriki halmashauri na ngazi zote za serikali za mitaa?