Kama kungekuwa na simu mbinguni ungempigia nani kumsalimia?

Kama kungekuwa na simu mbinguni ungempigia nani kumsalimia?

1708244426281.png
1708244426281.png
 
My mom and daddy..
Ningewaambia I'm just doing great, na nimekuwa mkubwa na ninafamilia!!
 
Kama kungekuwa na simu mbinguni ungempigia nani kumsalimia .?

If there's a phone in heaven , I could be in touch with my Grand-father ili kumjulisha kuwa yale mashamba yake makubwa tumeyauza na kujenga visima vya maji Kama alivyoacha ametuambia.
Baba yangu...i miss him so much
 
Sir God nimwambie anipe miaka buku.....
 
Back
Top Bottom