Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Baba na Mama YanguKama kungekuwa na simu mbinguni ungempigia nani kumsalimia .?
If there's a phone in heaven , I could be in touch with my Grand-father ili kumjulisha kuwa yale mashamba yake makubwa tumeyauza na kujenga visima vya maji Kama alivyoacha ametuambia.
namba yake ulikua nayo nduguNingempigia John nimueleze yote anayo yafanya Suluhu..😑
Voda walisha mgawia suluhu...😪namba yake ulikua nayo ndugu
Baba yangu...i miss him so muchKama kungekuwa na simu mbinguni ungempigia nani kumsalimia .?
If there's a phone in heaven , I could be in touch with my Grand-father ili kumjulisha kuwa yale mashamba yake makubwa tumeyauza na kujenga visima vya maji Kama alivyoacha ametuambia.
Mzee una zingua🤣😆😆, Afu mean si bado mzima??Ningempigia mwa J mbwa yule aliniambukiza uti grade one...