Kama kusoma hamjui na picha pia hamuoni?TFF rudieni kuangalia tena na tena hii mechi ya leo mtagundua kitu

Kama kusoma hamjui na picha pia hamuoni?TFF rudieni kuangalia tena na tena hii mechi ya leo mtagundua kitu

Sio kwamba Mashujaa ana udhamini wa GSM ?
Au umebadilisha msimamo wako
Kumbe? Basi kama ni hivyo najua hii ratiba ya harusi iliangalia mbali saaana. Nilidhani mechi za mipango zinaisha leo ila harusi yenyewe bado kwa hiyo mwendo ule ule.
 
Kumbe? Basi kama ni hivyo najua hii ratiba ya harusi iliangalia mbali saaana. Nilidhani mechi za mipango zinaisha leo ila harusi yenyewe bado kwa hiyo mwendo ule ule.
Hapo sawa
 
Kumbe? Basi kama ni hivyo najua hii ratiba ya harusi iliangalia mbali saaana. Nilidhani mechi za mipango zinaisha leo ila harusi yenyewe bado kwa hiyo mwendo ule ule.
Sasa inakuwaje ndugu zangu nyinyi hamko kwenye udhamini wa GSM lakini mara 4 mfululizo mlichezea kichapo! Na mpaka mpaka muda huu dalili zinaonesha na tarehe 8 pia mtakichezea kichapo kingine cha 5 mfululizo!
 
Ni kati ya mechi za hovyo sana kuwahi kushuhudia kwenye ligi yetu.Timu inaongozwa 2:1,dakika zimeisha,mnapata faulo mnapoteza muda nyie wenyewe?.Pale wangekuwa wanacheza na Simba Singida wote wangejazana golini kwa Simba ile faulo apige Golikipa,tena wangekuwa na haraka ya hatari,lakini ndio kwanza wanasubiri refa amalize mpira.Anyways ipo siku mtaunbuka tu.
Wivu unateseka ukiwa wapi mkuu 🤣
 
Hizi kelele tumeanza kusikia mechi Ken gold, Fountain Gates, KMC na Leo Singida!

Ni kweli Yanga anapanga matokeo mechi zote hizo? Mbona Simba alifungwa?

Mbona Simba iliifunga Singida pale kwake hapakuwa na nongwa?
 
Ni kati ya mechi za hovyo sana kuwahi kushuhudia kwenye ligi yetu.Timu inaongozwa 2:1,dakika zimeisha,mnapata faulo mnapoteza muda nyie wenyewe?.Pale wangekuwa wanacheza na Simba Singida wote wangejazana golini kwa Simba ile faulo apige Golikipa,tena wangekuwa na haraka ya hatari,lakini ndio kwanza wanasubiri refa amalize mpira.Anyways ipo siku mtaunbuka tu.
Nenda kale kwanza ukimaliza nenda pale tff Kuna sanduku la maoni alisema Msemaji wenu baada ya kuwa mmepora ushindi wa Dodoma Jiji sisi hapa atuna cha kukusaidia
 
TFF warudie tena kuangalia ile match 5imba anakojolewa bao 5 na Yanga
💩🤣💩 5imba anapigwa bao 5 wachezaji hata hawanuni ndio kwanza wanapongezana na wachezaji wa Yanga
 
TFF warudie tena kuangalia ile match 5imba anakojolewa bao 5 na Yanga
💩🤣💩 5imba anapigwa bao 5 wachezaji hata hawanuni ndio kwanza wanapongezana na wachezaji wa Yanga
Yalinunuliwa yale ndo yamekuja huko kwenu chama...baleke..mkude..
 
Back
Top Bottom