Kama kutamani tu ni dhambi, kuna mwanaume ataenda mbinguni kweli?

Kama kutamani tu ni dhambi, kuna mwanaume ataenda mbinguni kweli?

Ukute we ni mzee kikongwe hiyo akili ya kutamani mwanamke utaitoa wapi?
 
Uislam ni mwema sana, unatufundisha kuwa, hatuhukumiwi kwa matamanio yetu, tunahukumiwa kwa vitendo vyetu.
 
Mathayo 5: 28

Lakini mimi nawaambia kwamba, yeyote amtazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.

MY TAKE:
Kuna mwanaume ataenda mbinguni kweli? Labda awe kipofu, huku kukicha mizigo huku na kule humo.
Kila mtu atahukumiwa kwa matendo yake mkuu, hapo Yesu alikuwa anamaanisha dhambi inaanzia moyoni, kabla hata ya mwilini. Kwani wewe kila mwanamke unayemtazama unatamani ukalale naye?
 
Mathayo 5: 28

Lakini mimi nawaambia kwamba, yeyote amtazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.

MY TAKE:
Kuna mwanaume ataenda mbinguni kweli? Labda awe kipofu, huku kukicha mizigo huku na kule humo.
Na wanawake wanaowataman wanaume wanapewa adhabu gn? Hali imebadilika utakuta jike linakukodolea macho
 
Ama kweli biblia imetungwa na wahuni ambao hawakutaka wake zao masela wawa mende
 
Mathayo 5: 28
Lakini mimi nawaambia kwamba, yeyote amtazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake
Kama kutamani tu ni dhambi, kuna mwanaume ataenda mbinguni kweli?
Jibu ni NDIYO, INAWEZEKANA.
Kuzini au kutamani kuzini ni dhambi, lakini kuwa na dhambi sio kigezo cha kutokwenda mbinguni. Kwa maana hiyo wapo wenye dhambi ambao wapo au watakwenda mbinguni.
Tazama hapa: Yahane 14:6
Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Kwa hiyo neno hilo linatuonyesha kwamba suala la kwenda mbinguni kwa Mungu lipo

Pia tazama hii hapa: Warumi 3:23-25
23 kwa sababu wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu;
24 wanahesabiwa haki bure kwa neema yake, kwa njia ya ukombozi ulio katika Kristo Yesu;
25 ambaye Mungu amekwisha kumweka awe upatanisho

Neno hili linatuonyesha kuwa hakuna mwanadamu asiye mkosefu

Kwa hiyo tukilisoma kwa pamoja neno la Mungu, tutaona kuwa licha ya kuwa na dhambi, lakini wapo wateule wa Mungu watakaokwenda kukaa katika ufalme wake
 
TUtafika tu. Hoja ninkufika uwe na nguvu au umechoka. Ila umefika
 

Attachments

  • downloadfile-46.jpg
    downloadfile-46.jpg
    112.1 KB · Views: 2
  • downloadfile-34.jpg
    downloadfile-34.jpg
    279.1 KB · Views: 2
  • downloadfile-38.jpg
    downloadfile-38.jpg
    99.2 KB · Views: 2
Jibu ni NDIYO, INAWEZEKANA.
Kuzini au kutamani kuzini ni dhambi, lakini kuwa na dhambi sio kigezo cha kutokwenda mbinguni. Kwa maana hiyo wapo wenye dhambi ambao wapo au watakwenda mbinguni.
Tazama hapa: Yahane 14:6
Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Kwa hiyo neno hilo linatuonyesha kwamba suala la kwenda mbinguni kwa Mungu lipo

Pia tazama hii hapa: Warumi 3:23-25
23 kwa sababu wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu;
24 wanahesabiwa haki bure kwa neema yake, kwa njia ya ukombozi ulio katika Kristo Yesu;
25 ambaye Mungu amekwisha kumweka awe upatanisho

Neno hili linatuonyesha kuwa hakuna mwanadamu asiye mkosefu

Kwa hiyo tukilisoma kwa pamoja neno la Mungu, tutaona kuwa licha ya kuwa na dhambi, lakini wapo wateule wa Mungu watakaokwenda kukaa katika ufalme wake
Unaongea kitu halisi?! Ni kweli hujawahi kumtamani mwanamke na hutamani mwanamke hapo ulipo. Au ndio unaongea tu kwa sababu umekunywa maji ya hiyo dini yako
 
Unaongea kitu halisi?! Ni kweli hujawahi kumtamani mwanamke na hutamani mwanamke hapo ulipo. Au ndio unaongea tu kwa sababu umekunywa maji ya hiyo dini yako
Pengine hata hukusoma nilichoandika.
Kwa ufupi (ili usione uvivu tena kusoma), kutamani kuzini ni dhambi, lakini kuwa na dhambi (hata nyingine) hakuzuii mtu kuingia mbinguni, labda uniambie mbinguni hakuna hata mwanadamu mmoja.

Kwa ufafanuzi zaidi, soma tena ile post uliyonijibu
 
Back
Top Bottom