Kama kuvaa nusu uchi ni kinyume na maadili ya Kitanzania mbona wamasai wanavaa lakini hawakamatwi?

Kama kuvaa nusu uchi ni kinyume na maadili ya Kitanzania mbona wamasai wanavaa lakini hawakamatwi?

Unajichanganya sana,kama umesema asili yenu ilikuwa kuvaa magome ya miti au ngozi,kwanini tuliyaacha hayo mavazi tukavamia nguo za wazungu?

Ili ubaki kwenye uasili wako sharti utumie vitu vya asili vilivyotumiwa na tamaduni zenu,ukishaasha mavazi ya asili tayari umeenda kinyume na utamaduni,sasa wewe uvae chupi tena ile yenye inayopita katikati ya makalio halafu useme kwamba ndio asili yetu?

Kwa taarifa yako bado yapo makabila yanafunika sehemu nyeti tu na hata mengine wanaacha matiti wazi lakini husikii wakilaumiwa sababu ndio asili yao,mfano wamasai,wahadzabe nk.
 
Unajichanganya sana,kama umesema asili yenu ilikuwa kuvaa magome ya miti au ngozi,kwanini tuliyaacha hayo mavazi tukavamia nguo za wazungu?

Ili ubaki kwenye uasili wako sharti utumie vitu vya asili vilivyotumiwa na tamaduni zenu,ukishaasha mavazi ya asili tayari umeenda kinyume na utamaduni,sasa wewe uvae chupi tena ile yenye inayopita katikati ya makalio halafu useme kwamba ndio asili yetu?

Kwa taarifa yako bado yapo makabila yanafunika sehemu nyeti tu na hata mengine wanaacha matiti wazi lakini husikii wakilaumiwa sababu ndio asili yao,mfano wamasai,wahadzabe nk.
 
Unajichanganya sana,kama umesema asili yenu ilikuwa kuvaa magome ya miti au ngozi,kwanini tuliyaacha hayo mavazi tukavamia nguo za wazungu?

Ili ubaki kwenye uasili wako sharti utumie vitu vya asili vilivyotumiwa na tamaduni zenu,ukishaasha mavazi ya asili tayari umeenda kinyume na utamaduni,sasa wewe uvae chupi tena ile yenye inayopita katikati ya makalio halafu useme kwamba ndio asili yetu?

Kwa taarifa yako bado yapo makabila yanafunika sehemu nyeti tu na hata mengine wanaacha matiti wazi lakini husikii wakilaumiwa sababu ndio asili yao,mfano wamasai,wahadzabe nk.
 
Hivi hayo maadili yako wapi, yameandikwa wapi, ni mstari upi umeandika ni lazima binadamu avae nguo ilhali mtoto anazaliwa uchi bila nguo? Wanaozaliwa wangekua wanazaliwa na nguo basi hayo maadili yangekua na logic.
 
Back
Top Bottom