Ukitazama upinzani unakosa kuona mbadala wa CCM.
They have nothing new to offer.
Ufisadi, ubinafsi , matumizi mabaya ya madaraka, makundi
Yamo huko upinzani kifupi kama nchi tunakosa mbadala wa mawazo na matendo ambayo yako chanya na niya kizalendo sio ya kipigaji.