Pre GE2025 Kama kweli CCM ingekuwa inabebwa na Tume Huru ya Uchaguzi, tungeshuhudia...

Pre GE2025 Kama kweli CCM ingekuwa inabebwa na Tume Huru ya Uchaguzi, tungeshuhudia...

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
2,789
Reaction score
4,951
Kwa kuwa tume huru ya Taifa ya Uchaguzi ndio yenye jukumu la kuratibu na kusimamia zoezi la Uchaguzi Tanzania basi kwa mamlaka iyonayo kama kweli ingekuwa inaibeba CCM, tungeshuhudia :

  1. Tusingeshuhudia mahali popote upinzani wakishinda kwenye sehemu yoyote lakini kwa sababu tunaona ushindi wa upinzani sehemu mbalimbali basi ni dhahiri CCM haibebwi kwa namna yoyote.
  2. CCM ikibweteka bila kufanya lolote ikitegemea mbeleko ya tume lakini kwa kuwa mbeleko hiyo haipo tunaona ni jitihada za namna gani zinazotumiwa na CCM ili kupambana kushinda.
  3. CCM ikijitangaza wameshinda kabla ya pambano lakini kwa sababu mshindi anatangazwa na tume, CCM wanatangazwa na tume.
 
Kwa kuwa tume huru ya Taifa ya Uchaguzi ndio yenye jukumu la kuratibu na kusimamia zoezi la Uchaguzi Tanzania basi kwa mamlaka iyonayo kama kweli ingekuwa inaibeba CCM, tungeshuhudia :

  1. Tusingeshuhudia mahali popote upinzani wakishinda kwenye sehemu yoyote lakini kwa sababu tunaona ushindi wa upinzani sehemu mbalimbali basi ni dhahiri CCM haibebwi kwa namna yoyote.
  2. CCM ikibweteka bila kufanya lolote ikitegemea mbeleko ya tume lakini kwa kuwa mbeleko hiyo haipo tunaona ni jitihada za namna gani zinazotumiwa na CCM ili kupambana kushinda.
  3. CCM ikijitangaza wameshinda kabla ya pambano lakini kwa sababu mshindi anatangazwa na tume, CCM wanatangazwa na tume.
Comments reserved
 
Kwa kuwa tume huru ya Taifa ya Uchaguzi ndio yenye jukumu la kuratibu na kusimamia zoezi la Uchaguzi Tanzania basi kwa mamlaka iliyonayo kama kweli ingekuwa inaibeba CCM, tungeshuhudia :

  1. Tusingeshuhudia mahali popote upinzani wakishinda kwenye sehemu yoyote lakini kwa sababu tunaona ushindi wa upinzani sehemu mbalimbali basi ni dhahiri CCM haibebwi kwa namna yoyote.
  2. CCM ikibweteka bila kufanya lolote ikitegemea mbeleko ya tume lakini kwa kuwa mbeleko hiyo haipo tunaona ni jitihada za namna gani zinazotumiwa na CCM ili kupambana kushinda.
  3. CCM ikijitangaza wameshinda kabla ya pambano lakini kwa sababu mshindi anatangazwa na tume, CCM wanatangazwa na tume.
 
Haihitaji hata kuwa na degree ya kwanza kujua kuwa CCM inabebwa na vyombo vyote vya dola kwenye chaguzi zote.
 

Attachments

  • JamiiForums-979014263.jpeg
    JamiiForums-979014263.jpeg
    63 KB · Views: 5
Kwa kuwa tume huru ya Taifa ya Uchaguzi ndio yenye jukumu la kuratibu na kusimamia zoezi la Uchaguzi Tanzania basi kwa mamlaka iyonayo kama kweli ingekuwa inaibeba CCM, tungeshuhudia :

  1. Tusingeshuhudia mahali popote upinzani wakishinda kwenye sehemu yoyote lakini kwa sababu tunaona ushindi wa upinzani sehemu mbalimbali basi ni dhahiri CCM haibebwi kwa namna yoyote.
  2. CCM ikibweteka bila kufanya lolote ikitegemea mbeleko ya tume lakini kwa kuwa mbeleko hiyo haipo tunaona ni jitihada za namna gani zinazotumiwa na CCM ili kupambana kushinda.
  3. CCM ikijitangaza wameshinda kabla ya pambano lakini kwa sababu mshindi anatangazwa na tume, CCM wanatangazwa na tume.
Hii nchi inavilaza wa kutoka
 
Wapinzani wanatangazwa washindi baadhi ya maeneo ili CCM kuficha aibu yao ya wizi wa kura ili ionekane uchaguzi ni huru na haki.

..wapinzani hutangazwa kama HATUA YA MWISHO baada ya jitihada zote za kuwanyima haki kushindikana.

..mamlaka zikiona kunaweza kutokea vurugu, na hazina uwezo wa kudhibiti vurugu hizo, ndipo wapinzani hutangazwa washindi.
 
Kwa kuwa tume huru ya Taifa ya Uchaguzi ndio yenye jukumu la kuratibu na kusimamia zoezi la Uchaguzi Tanzania basi kwa mamlaka iyonayo kama kweli ingekuwa inaibeba CCM, tungeshuhudia :

  1. Tusingeshuhudia mahali popote upinzani wakishinda kwenye sehemu yoyote lakini kwa sababu tunaona ushindi wa upinzani sehemu mbalimbali basi ni dhahiri CCM haibebwi kwa namna yoyote.
  2. CCM ikibweteka bila kufanya lolote ikitegemea mbeleko ya tume lakini kwa kuwa mbeleko hiyo haipo tunaona ni jitihada za namna gani zinazotumiwa na CCM ili kupambana kushinda.
  3. CCM ikijitangaza wameshinda kabla ya pambano lakini kwa sababu mshindi anatangazwa na tume, CCM wanatangazwa na tume.

..basi tuseme Tume ndio inayobebwa na Ccm.

..nadhani Ccm mtaridhika tukisema hivyo.
 
..wapinzani hutangazwa kama HATUA YA MWISHO baada ya jitihada zote za kuwanyima haki kushindikana.

..mamlaka zikiona kunaweza kutokea vurugu, na hazina uwezo wa kudhibiti vurugu hizo, ndipo wapinzani hutangazwa washindi.
Upo sahihi.
 
Kwa kuwa tume huru ya Taifa ya Uchaguzi ndio yenye jukumu la kuratibu na kusimamia zoezi la Uchaguzi Tanzania basi kwa mamlaka iyonayo kama kweli ingekuwa inaibeba CCM, tungeshuhudia :

  1. Tusingeshuhudia mahali popote upinzani wakishinda kwenye sehemu yoyote lakini kwa sababu tunaona ushindi wa upinzani sehemu mbalimbali basi ni dhahiri CCM haibebwi kwa namna yoyote.
  2. CCM ikibweteka bila kufanya lolote ikitegemea mbeleko ya tume lakini kwa kuwa mbeleko hiyo haipo tunaona ni jitihada za namna gani zinazotumiwa na CCM ili kupambana kushinda.
  3. CCM ikijitangaza wameshinda kabla ya pambano lakini kwa sababu mshindi anatangazwa na tume, CCM wanatangazwa na tume.
Wananchi wameacha kujitokeza kujiandikisha kwenye huo upuuzi uitwao uchaguzi, nadhani mmeona idadi ya wanaccm ilivyo ndogo. Mtapika sana idadi ya wapiga kura maana safari hii wale mnaowaibiaga wamepuuza huo uchaguzi.

Na mwendo ni huu huu hata uchaguzi mkuu tutashusha idadi ya wapiga kura ili tuwaonyeshe ni kwa kiwango gani tumewachoka. Shirikianeni na hiyo tume na vyombo vya dola kutengeneza kura fake, na viongozi wenu huku mtaani hatuwapi ushirkiano maana hatujawachagua.
 
Kwa kuwa tume huru ya Taifa ya Uchaguzi ndio yenye jukumu la kuratibu na kusimamia zoezi la Uchaguzi Tanzania basi kwa mamlaka iyonayo kama kweli ingekuwa inaibeba CCM, tungeshuhudia :

  1. Tusingeshuhudia mahali popote upinzani wakishinda kwenye sehemu yoyote lakini kwa sababu tunaona ushindi wa upinzani sehemu mbalimbali basi ni dhahiri CCM haibebwi kwa namna yoyote.
  2. CCM ikibweteka bila kufanya lolote ikitegemea mbeleko ya tume lakini kwa kuwa mbeleko hiyo haipo tunaona ni jitihada za namna gani zinazotumiwa na CCM ili kupambana kushinda.
  3. CCM ikijitangaza wameshinda kabla ya pambano lakini kwa sababu mshindi anatangazwa na tume, CCM wanatangazwa na tume.
Kwani kila mtu lazima ajibiwe? Tuwe tunaangalia hoja zenye akili za kujibu. Zenye kutanua ufahamu na kujenga taifa imara na penye Amani siyo hz pumba. Aliyeandika naamini anajitambua
 
Back
Top Bottom