Pre GE2025 Kama kweli CCM ingekuwa inabebwa na Tume Huru ya Uchaguzi, tungeshuhudia...

Pre GE2025 Kama kweli CCM ingekuwa inabebwa na Tume Huru ya Uchaguzi, tungeshuhudia...

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chama kinapitia wakati mgumu sana. Hapa anaona ametoa bonge la hoja.

Basi tujibu na hii, Kwanini CCM wanapinga mabadiliko ya katiba na tume huru ya uchaguzi kama kweli wanashinda kihali?
 
Ni aibu
 

Attachments

  • images.jpg
    images.jpg
    28.2 KB · Views: 2
Wananchi wameacha kujitokeza kujiandikisha kwenye huo upuuzi uitwao uchaguzi, nadhani mmeona idadi ya wanaccm ilivyo ndogo. Mtapika sana idadi ya wapiga kura maana safari hii wale mnaowaibiaga wamepuuza huo uchaguzi.

Na mwendo ni huu huu hata uchaguzi mkuu tutashusha idadi ya wapiga kura ili tuwaonyeshe ni kwa kiwango gani tumewachoka. Shirikianeni na hiyo tume na vyombo vya dola kutengeneza kura fake, na viongozi wenu huku mtaani hatuwapi ushirkiano maana hatujawachagua.
Mtaani kwetu nimewaona Vijana wa Chadema wakifanya kampeni ya uchaguz wa mwenykt wa mtaa
 
Kwa kuwa tume huru ya Taifa ya Uchaguzi ndio yenye jukumu la kuratibu na kusimamia zoezi la Uchaguzi Tanzania basi kwa mamlaka iyonayo kama kweli ingekuwa inaibeba CCM, tungeshuhudia :

  1. Tusingeshuhudia mahali popote upinzani wakishinda kwenye sehemu yoyote lakini kwa sababu tunaona ushindi wa upinzani sehemu mbalimbali basi ni dhahiri CCM haibebwi kwa namna yoyote.
  2. CCM ikibweteka bila kufanya lolote ikitegemea mbeleko ya tume lakini kwa kuwa mbeleko hiyo haipo tunaona ni jitihada za namna gani zinazotumiwa na CCM ili kupambana kushinda.
  3. CCM ikijitangaza wameshinda kabla ya pambano lakini kwa sababu mshindi anatangazwa na tume, CCM wanatangazwa na tume.
Hoja ya kipumbavu kabisa hii
 
Hiyo inaitwa uma na kupuliza. Ccm haiwezi kutoboa kwa Hawa Genz wa 2000 .
 
Back
Top Bottom