Kinyume na hapo watakua wanaendeleza unafiki wao ule ule wa sitaki nataka na tamaa za uongozi. Asubuhi anautaka umakamu, jioni anautaka uenyekiti kamili.
Na safari hii hakuna makapi kutoka CCM, uadilifu na uzoefu ndio msingi wa uongozi wa nchi kuelekea 2030π
Soma:Breaking News: - Uchaguzi 2025 - CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025
Mungu Ibariki Tanazania
Nchi mmeifanya Mali ya Koo zenu chini majeshi pambaf.automatic Tz president come 2030π
Tafuta kazi ya kufanyakazi kubwa ni kuhakikisha wazalendo na waadilifu wa kitafa wanaungwa mkono na vyama vyote vya siasa nchini bila mihemko wala makasiriko gentleman π
Tafuta kazi ya kufanyamihemko itakupasua moyo gentleman π€£
vibwengo na vibaraka wa mabwenyenye ya Magharibi hawana nafasi Tanzania gentleman π