Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiite Hamidu ulambe Teuzi we ng'aza tu kukaza Fuvu.mtaisoma namba taratibu gentleman 🐒
Huyu si makamu tu? Huyu hana effect yoyote.Kinyume na hapo watakua wanaendeleza unafiki wao ule ule wa sitaki nataka na tamaa za uongozi. Asubuhi anautaka umakamu, jioni anautaka uenyekiti kamili.
Na safari hii hakuna makapi kutoka CCM, uadilifu na uzoefu ndio msingi wa uongozi wa nchi kuelekea 2030🐒
Soma:Breaking News: - Uchaguzi 2025 - CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025
Mungu Ibariki Tanazania
Mabega hayawezi kuzidi kichwaKinyume na hapo watakua wanaendeleza unafiki wao ule ule wa sitaki nataka na tamaa za uongozi. Asubuhi anautaka umakamu, jioni anautaka uenyekiti kamili.
Na safari hii hakuna makapi kutoka CCM, uadilifu na uzoefu ndio msingi wa uongozi wa nchi kuelekea 2030🐒
Soma:Breaking News: - Uchaguzi 2025 - CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025
Mungu Ibariki Tanazania
Huyu si makamu tu? Huyu hana effect yoyote.
Adam Kimbisa, Dr. Emanuel Nchimbi na Dr.Samia Suluhu Hassan 2015 lengo lao lilikua moja japo halikufanikiwa, na sasa wanepata fursa na wanalitimiza IPASAVYO 🐒Dr Nchimbi, mwanasiasa mbobevu haswaa. Leo watu wamepigwa na kitu kizito baada ya mwamba huyu kupenya no. 2
Kuna mtu tupo ft 6 chini ila kwa namna alivyokuwa na timu smart ni kama ndio kiongozi wa taifa hili kwa sasa. Kuna uwezekano waziri mkuu naye akatokea upande wa ule ushirika. A very good calculated move. Wenyewe wanasema, "Agenda 2030"Adam Kimbisa, Dr. Emanuel Nchimbi na Dr.Samia Suluhu Hassan 2015 lengo lao lilikua moja japo halikufanikiwa, na sasa wanepata fursa na wanalitimiza IPASAVYO 🐒
Kuna mtu tupo ft 6 chini ila kwa namna alivyokuwa na timu smart ni kama ndio kiongozi wa taifa hili kwa sasa. Kuna uwezekano waziri mkuu naye akatokea upande wa ule ushirika. A very good calculated move. Wenyewe wanasema, "Agenda 2030"
Hakika ulikuwa sahihi. Kwenye hii post mimi nilicomment post no. 2 siti ya mbele kabisa ha haDr. Emmanuel Nchimbi is a significant national agenda come 2030
The emergence Dr. Emmanuel Nchimbi, the CCM National SG has changed political equations of some young Presidential hopefully come 2030 completely, and that situation forced them to go back to their drawing tables again for thier planBz options... Do you think Dr.Emmanuel Nchimbi will be...www.jamiiforums.com
niliandika haya Sept 2024 kumuhusu Nchimbi baada ya Kimbisa kua mwenekiti wa CCM Dodoma, huku Nchimbi akiteuliwa kua SG wa CCM kutoka ubalozi 🐒