Kama kweli CHADEMA walihitaji kiongozi safi, muadilifu na anaechukia rushwa, bilashaka sasa watamuunga mkono Dr.Emmanul Nchimbi

Kama kweli CHADEMA walihitaji kiongozi safi, muadilifu na anaechukia rushwa, bilashaka sasa watamuunga mkono Dr.Emmanul Nchimbi

Kinyume na hapo watakua wanaendeleza unafiki wao ule ule wa sitaki nataka na tamaa za uongozi. Asubuhi anautaka umakamu, jioni anautaka uenyekiti kamili.

Na safari hii hakuna makapi kutoka CCM, uadilifu na uzoefu ndio msingi wa uongozi wa nchi kuelekea 2030🐒

Soma:Breaking News: - Uchaguzi 2025 - CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025

Mungu Ibariki Tanazania
nakumbuka akiwa waziri wa mambo ya ndani mwandishi wa habari mwangosi alitolewa utumbo mchana kweupe damu ya mwangosi itamlilia daima mpaka umauti wake Mungu yupo.
 
nakumbuka akiwa waziri wa mambo ya ndani mwandishi wa habari mwangosi alitolewa utumbo mchana kweupe damu ya mwangosi itamlilia daima mpaka umauti wake Mungu yupo.
yaani muuane huko kwa hila, uhasama na viburi vyenu huko, halafu damu imlilie asie husika,

huo si ushirikina gentleman? 🐒
 
Huyu aliyekula na kuua mradi wa mabasi ya wanafunzi? Ulikua mtoto nini wakati huo? Hamna msafi na anayechukia rushwa ccm kaka, ni sanaa tu
 
Kinyume na hapo watakua wanaendeleza unafiki wao ule ule wa sitaki nataka na tamaa za uongozi. Asubuhi anautaka umakamu, jioni anautaka uenyekiti kamili.

Na safari hii hakuna makapi kutoka CCM, uadilifu na uzoefu ndio msingi wa uongozi wa nchi kuelekea 2030🐒

Soma:Breaking News: - Uchaguzi 2025 - CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025

Mungu Ibariki Tanazania
Chadema siyo chama cha siasa ni kikundi Cha shinikizo, (pressure group)
 
Kinyume na hapo watakua wanaendeleza unafiki wao ule ule wa sitaki nataka na tamaa za uongozi. Asubuhi anautaka umakamu, jioni anautaka uenyekiti kamili.

Na safari hii hakuna makapi kutoka CCM, uadilifu na uzoefu ndio msingi wa uongozi wa nchi kuelekea 2030🐒

Soma:Breaking News: - Uchaguzi 2025 - CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025

Mungu Ibariki Tanazania
Muda unaoutumia kuitaja Chadema, ungetumika kuijenga CCM yetu ingekuwa Bora. Kadri unavyoisema vyema au vibaya ndivyo unavyowapa Chadema kujulikana na kutangazwa.
 
Muda unaoutumia kuitaja Chadema, ungetumika kuijenga CCM yetu ingekuwa Bora. Kadri unavyoisema vyema au vibaya ndivyo unavyowapa Chadema kujulikana na kutangazwa.
infact,
hakunaga kipimo cha muda au nguvu kusema ukweli gentleman,

Yes,
chadema inajulikana kwa chuki, uhasama wa viongozi wake wakuu na imegawanyika.

Ni muhimu hili likajulikana na kutangazwa zaidi kwa sababu hila miongoni mwa wanachadema ni za kweli gentleman 🐒
 
infact,
hakunaga kipimo cha muda au nguvu kusema ukweli gentleman,

Yes,
chadema inajulikana kwa chuki, uhasama wa viongozi wake wakuu na imegawanyika.

Ni muhimu hili likajulikana na kutangazwa zaidi kwa sababu hila miongoni mwa wanachadema ni za kweli gentleman 🐒
No comment
 
Back
Top Bottom