Mawazo yako umpe MO we yamekuingizia pesa ngapi?Hamna kitu nmeumia kama kuona taarifa Instagram za wachambuzi wa soka bongo kuwa chama tayari kashapigwa bei na picha ikimwonesha yupo na Tuisila Kisinda kwenye uzi wa waarabu. Mo sijui umetutendea haki, nmetoa chozi langu kumshtaki Mo kwa mwenyezi Mungu kama hili jambo likiwa kweli. Moo ulituahidi kuwa bado unajenga timu ya ushindani ndani na nje ya Africa kumbe upo kimasilahi. Sikuamini tena Moo Dewji, mbona hujatuuliza wana Simba ili tukupe mawazo, wewe umejichukulia uwamuzi. Asante kwa haya maumivu ulotupa wana simba aisee
Kwenye kazi usitangulize maswala la utaifa ilihali impact haionekani, hivi Chama ni wa kumlinganisha na Ajib?Kwahiyo hukutaka Ajib, mtanzania mwenzako apate ajira?
Sijui kama hii comment yako imelenga kutukejeli mashabiki wa Simba Sc,ila tukiachana na swala la kujua kama wachezaji wameuzwa sidhani kama tutakuja kujua hata wameuzwa kwa bei gani.Timu ni yake yeye na Barbra msimpangie cha kufanya! Ila daaa kawadharau sana yaani hata taarifa!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta historia yoyote humu inayothibitisha kuwa mimi ni Shabiki wa Yanga, mimi ni Shabiki wa Simba Sc pengine hata kabla haujajitambua.Kwa taarifa yako Clatous Chama yuko Morocco na wenzake wanajifua tayari kwa msimu ujao. We endelea kuchafukwa nyongo kwa unazi wa kijinga wa Utopolo.
Mwaka jana tulioneshwa picha kavaa jezi ya vyura...
Mtu kuuza Mali yake ni kosa? Atauza Miq, atauza Laly, atauza Mugalu nk. Mchezaji pekee wa kigeni anayemilikiwa na Simba ni MK14.Hamna kitu nmeumia kama kuona taarifa Instagram za wachambuzi wa soka bongo kuwa chama tayari kashapigwa bei na picha ikimwonesha yupo na Tuisila Kisinda kwenye uzi wa waarabu. Mo sijui umetutendea haki, nmetoa chozi langu kumshtaki Mo kwa mwenyezi Mungu kama hili jambo likiwa kweli. Moo ulituahidi kuwa bado unajenga timu ya ushindani ndani na nje ya Africa kumbe upo kimasilahi. Sikuamini tena Moo Dewji, mbona hujatuuliza wana Simba ili tukupe mawazo, wewe umejichukulia uwamuzi. Asante kwa haya maumivu ulotupa wana simba aisee
Nawapenda sana mashabiki wanaojitambua kama wewe. Eti kusema uongozi wa Simba au wa Yanga unakosea hiki na hiki ni dhambi kwa timu hizi? Tunaona mashabiki wa timu kubwa ulaya hadi wanaandamana kupinga wawekezaji kama Kraonke na Glazer.Tafuta historia yoyote humu inayothibitisha kuwa mimi ni Shabiki wa Yanga, mimi ni Shabiki wa Simba Sc pengine hata kabla haujajitambua.
Upuuzi ni kuamini kwamba kila shabiki wa Simba hatakiwi kuleta criticism yoyote kwenye club ya Simba Sc.
Ok, wewe shabiki unaejielewa endelea kuamini kuwa Chama na Miquisone bado ni wachezaji wa Simba Sc.
Mkuu shida kubwa inayowakabili mashabiki wengi wa kitanzania hasa wa hizi team kubwa ni elimu ndogo na wengi wao ni wapumbavu tu kama yule alyewapa Yanga jina la utopolo.Na hii shida unaenda mpaka kwa viongozi wetu wa soka.Nawapenda sana mashabiki wanaojitambua kama wewe. Eti kusema uongozi wa Simba au wa Yanga unakosea hiki na hiki ni dhambi kwa timu hizi? Tunaona mashabiki wa timu kubwa ulaya hadi wanaandamana kupinga wawekezaji kama Kraonke na Glazer.
Sipati faida na ndio maana tumeamua tuendelee kupata hasara kwenye uendeshaji wa timu ya simba, na hatujawahi kupata faida kwasababu kila siku ni hasara tuSimba ikipata faida, wewe binafsi unanufaika na chochote?
Unaposema Ajib ni mbadala wa Chama ndipo nilipokushangaa. Maana Chama akiwepo, Ajib pia alikuwepo. Ingekuwa vyema unaulizia mbadala wa Chama ni nani badala ya kushangaa Ajibu kubatizwa Simba wakati Chama ameuzwa...Kwenye kazi usitangulize maswala la utaifa ilihali impact haionekani, hivi Chama ni wa kumlinganisha na Ajib?
Sijaulewa hoja yako, unaamanisha kwenye soka la ushindani tuangalie quality au utaifa? Mbona sijawataja akina Zimbwe,Manula,Kapombe na Nyoni?
Ni kweli inashangaza sana, yaani 1.27bil tuliyopata hapo Boss Mo anachukua 49% ya hiyo pesa.Inashangaza sana....
Nilijua tu ataondoka hata mimi nisingemwacha huyoChama kaondoka aisee,pia dharau za Mo kwny Instagram Ile siku ukute imechangia pia Chama kuondoka.