Swali ni je maombi yanaweza kubadilisha mawazo ya mungu? Mungu akikuandikia kua hakupi je ukisali kwa kuomba atakupatia hitaji lako?
Sent using unknown device
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu umenichekesha sana duh.
Haya maisha yamekuwa magumu hadi vichwa vinawaza future impossible tense.
Na unafikiri hata nikisoma maneno hayo yaweza kunifanya nitende mema wakati mimi si mkamilifu?
Unamdhihaki Aliekuumba wewe na watu wako wote waliotangulia kabla yako kila walilolifanya ujue wazi kuwa Mungu ndio mpangaji liwe zuri liwe baya. Kijana Umekula hasara kubwa sana pole kijana, Kumbuka M/Mungu ndie muumba Mbingu na Ardhi, na vilivyomo ndani yake sasa wewe Fanya mzaha.Poleni na majukumu wakuu,. Kama heading inavosema apo kama kweli mungu yupo inabidi aniombe msamaha kwa sababu zifuatazo
Moja: Kama Mungu yupo yupo basi ni wazi kua yeye ndo alopanga maisha ya mwanadam kuanzia kuzaliwa mpaka kufa kwake, hivo basi ata aya magumu ninayopitia ni wazi alipanga yeye iwe hivi aniombe msamaha kwa hili
Mbili:kama kweli yupo basi ni yeye anaeruhusu watu wafe na wengine wazaliwe kwa maana iyo ni yeye ndo aliruhusu ndugu zangu nnaowapenda akiwemo my lovely mother afe, na kwanini aliruhusu afe wakati alijua kua mama angu ndo furaha yangu yeye ndo alienisabaishia hizuni mpaka leo na kwa hili ata aombe msamaha siwezi kumsamehe
Tatu:kwa nini amekua wa kujificha sana au hataki watu wake waujue ukweli kuhusu yeye ina maana mi nnavohangaika kutafuta dini ya kweli yeye hanioni ? aniombe msamaha kwa kweli
Naona hutaki kutoa majibu ya swali langu ety???
Naona na wew unatia swali,
Tufanye hivi mm ndio mwalimu, sasa toa majibu ya swali langu then tuendelee na darasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu swali langu hapo juu tuendelee na darasa.Na unafikiri hata nikisoma maneno hayo yaweza kunifanya nitende mema wakati mimi si mkamilifu?
Unafikiri hata nikisoma yataweza kuondoa kifo au magonjwa pamoja na shida nilizonazo au kuniletea ugali nyumbani? Kama haiwezekani si bora muda huo wakusoma hiyo miandishi niutumie kutafuta pesa ya kunilisha mimi na familia yangu maana yeye kashindwa
Sent using unknown device
Sikuzui mimi hata ukisema tufanye wewe ndiye mungu mwenyewe halafu mimi ndio binadamu napo freshi tuNaona hutaki kutoa majibu ya swali langu ety???
Naona na wew unatia swali,
Tufanye hivi mm ndio mwalimu, sasa toa majibu ya swali langu then tuendelee na darasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikuzui mimi hata ukisema tufanye wewe ndiye mungu mwenyewe halafu mimi ndio binadamu napo freshi tu
Hakuna swali umeuliza sijajibu. Ila wewe hujajibu swali hili
Swali ni je maombi yanaweza kubadilisha mawazo ya mungu? Mungu akikuandikia kua hakupi je ukisali kwa kuomba atakupatia hitaji lako?
Sent using unknown device
Hakuna swali umeuliza sijajibu. Nimejibu ila huna elimu ya kulitambua jibu namimi nakuacha uendelee kuangaika
Hakuna swali umeuliza sijajibu. Nimejibu ila huna elimu ya kulitambua jibu namimi nakuacha uendelee kuangaika
Sent using unknown device
Hili ni swali jipya machoni kwangu kutoka kwako. Umekua ukilalama kua kuna swali umeliuliza kabla yangu sijalitolea majibu nataka nilijue ilo swali ni lipi, au kama ni ili swali ulilokua unalalamika sijalijibu niambie umeliuliza kwenye post namba ngapi?Nimekuuliza hivi...
UNAAMINI MUNGU YUPO AU HAYUPO???
NA KAMA MUNGU YUPO, UNADHANI KAKULETA DUNIANI UJE UFANYE NN????
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kisasi, ni repercussion tu ya dhambi. Ndio maana amemtuma mwanae wa pekee ili aje kukuokoa. Angekuwa na kisasi asingefanya hivyo.kwa iyo dhambi alotenda Adamu na mwenzake ndo inanihukumu hadi mimi?
uyu Mungu mbona ana kisasi sana
Hili ni swali jipya machoni kwangu kutoka kwako. Umekua ukilalama kua kuna swali umeliuliza kabla yangu sijalitolea majibu nataka nilijue ilo swali ni lipi, au kama ni ili swali ulilokua unalalamika sijalijibu niambie umeliuliza kwenye post namba ngapi?
Kama hujaliuliza hili swali kabla, hivyo hutakiwi kuliweka hapa walati kuna swali nimekupa mapema kabisa ulijibu hujalijibu
Swali ni je maombi yanaweza kubadilisha mawazo ya mungu? Mungu akikuandikia kua hakupi je ukisali kwa kuomba atakupatia hitaji lako?
Sent using unknown device
Mwenyezi Mungu anajua kila kitu, anapanga kila kitu na anaweza kila kitu. Kwahiyo ni kweli kabisa Mwenyezi Mungu alijua kila kitu kumhusu shetani lakini bado alimuumba na alimpa uhuru wa kufanya maamuzi kwa busara, ila kwa kujawa na kiburi, shetani alichagua msimamo tofauti.Ulikua ni mpango wa mungu kuwepo na shetani au Mungu alifeli katika mipango yake ndipo shetani akawepo?
Sent using unknown device
Kwaiyo mungu hakuliona hilo kabla kua shetani atakua na kiburi?Mwenyezi Mungu anajua kila kitu, anapanga kila kitu na anaweza kila kitu. Kwahiyo ni kweli kabisa Mwenyezi Mungu alijua kila kitu kumhusu shetani lakini bado alimuumba na alimpa uhuru wa kufanya maamuzi kwa busara, ila kwa kujawa na kiburi, shetani alichagua msimamo tofauti.
Ninadhani nimekujibu.
Duniani tumeletwa ili tumjue, tumpende, tumtumikie na mwisho tufike kwake Mbinguni, ambako tutaishi maisha yetu yote - Milele na milele.Huwa sikubaliani na upoyoyo wa eti kuna maisha ya milele Mbinguni so duniani tumeletwa kufanya nn?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo mungu alimuumba shetani ili amchome moto siku ya mwisho?Mwenyezi Mungu anajua kila kitu, anapanga kila kitu na anaweza kila kitu. Kwahiyo ni kweli kabisa Mwenyezi Mungu alijua kila kitu kumhusu shetani lakini bado alimuumba na alimpa uhuru wa kufanya maamuzi kwa busara, ila kwa kujawa na kiburi, shetani alichagua msimamo tofauti.
Ninadhani nimekujibu.
Nimeshakujibu, aliliona ila bado alimpa shetani nafasi ya kubadilisha "fate" yake. Kitu ambacho shetani alichagua kutokukifanya.