Kama kweli Mungu yupo inabidi aniombe msamaha

Kama kweli Mungu yupo inabidi aniombe msamaha

WE KIJANA YAANI MI NIKUOMBE MSAMAHA WAKATI NILIKUUMBA KWA MAUDONGO YA MTWARA NA NTAKULETEA MABALAA MPAKA UTUBU SA HAYA SI UNGENIOMBA KWA SALA NSHAANZA KUKUBARIKI ILA SASA UTAOMBA POO HUWEZI KUNISEMA HIVI
 
WE KIJANA YAANI MI NIKUOMBE MSAMAHA WAKATI NILIKUUMBA KWA MAUDONGO YA MTWARA NA NTAKULETEA MABALAA MPAKA UTUBU SA HAYA SI UNGENIOMBA KWA SALA NSHAANZA KUKUBARIKI ILA SASA UTAOMBA POO HUWEZI KUNISEMA HIVI
kumbe uko humu mkuu unatuchora😀😀👍
 
Majibu unayopewa na wadau hapa hayana hata viwango vya TBS mkuu 😆😆
 
samahani
swali lako ni hili
kama kifo si ujinga(umesema wewe)
je kwanini tunaombea wagonjwa makanisani wapone ?
Ukiwa unaumwa mwili unateseka, unahitaji uponyaji.
Ni tofauti kabisa na kifo, aliyekufa haisi tena uchungu wowote.
Kwahiyo anae umwa lazima aombewe aachane na mateso hayo ya kuumwa.
Jambo la kumuombea mgonjwa apone udhaifu wake haimaanishi kwamba hatutaki mtu yeyote asife.
 
Poleni na majukumu wakuu,. Kama heading inavosema apo kama kweli mungu yupo inabidi aniombe msamaha kwa sababu zifuatazo

Moja: Kama Mungu yupo yupo basi ni wazi kua yeye ndo alopanga maisha ya mwanadam kuanzia kuzaliwa mpaka kufa kwake, hivo basi ata aya magumu ninayopitia ni wazi alipanga yeye iwe hivi aniombe msamaha kwa hili

Mbili:kama kweli yupo basi ni yeye anaeruhusu watu wafe na wengine wazaliwe kwa maana iyo ni yeye ndo aliruhusu ndugu zangu nnaowapenda akiwemo my lovely mother afe, na kwanini aliruhusu afe wakati alijua kua mama angu ndo furaha yangu yeye ndo alienisabaishia hizuni mpaka leo na kwa hili ata aombe msamaha siwezi kumsamehe

Tatu:kwa nini amekua wa kujificha sana au hataki watu wake waujue ukweli kuhusu yeye ina maana mi nnavohangaika kutafuta dini ya kweli yeye hanioni ? aniombe msamaha kwa kweli
See
Kabla ya maangamivu huja kiburi. Kwa maneno yako umeonesha kiburi. Lakini Mungu ni wa rehema.
 
Mosi; Mwenyezi Mungu alikuumba wewe, na anajua kila kitu kuhusu wewe ila hajakupangia. Amekupa akili na utashi wa kutambua mema na mabaya na hivyo kufanya maamuzi sahihi.

Ukiona mambo hayaendi ujue huenda hautumii vizuri akili na utashi aliyokujalia. Lakini, kama kuna magumu unapitia, kwa kiasi kikubwa huenda ni matokeo ya dhambi; ukianza na ile ya wazazi wetu wa kwanza, Adam na Eva.

Pili; pole sana kwa kutokwa na mama. Lakini ujue tu kuwa kifo ni safari kutoka maisha ya hapa duniani kwenda maisha ya Milele huko Mbinguni. Hauna haja ya kumlaumu Mwenyezi Mungu kuhusu hilo. Yeye aliyepanga tuzaliwe kimwili, ndiye aliyepanga pia tufe kimwili, japo roho zetu zitaishi milele.

Tatu; Mwenyezi Mungu hajajificha. Amekuambia umtafute, nawe utamuona. Mwenyezi Mungu anajidhirisha kwetu kila siku. Mtafute, nawe utamuona.

Uwe na wakati mwema mkuu.
Lakini hili swali kaulizwa Mungu. Tumuache amjibu mwenyewe kwa namna anayoona inafaa. Mkianza lecture mnamzidishia mkanganyiko .
 
Poleni na majukumu wakuu,. Kama heading inavosema apo kama kweli mungu yupo inabidi aniombe msamaha kwa sababu zifuatazo

Moja: Kama Mungu yupo yupo basi ni wazi kua yeye ndo alopanga maisha ya mwanadam kuanzia kuzaliwa mpaka kufa kwake, hivo basi ata aya magumu ninayopitia ni wazi alipanga yeye iwe hivi aniombe msamaha kwa hili

Mbili:kama kweli yupo basi ni yeye anaeruhusu watu wafe na wengine wazaliwe kwa maana iyo ni yeye ndo aliruhusu ndugu zangu nnaowapenda akiwemo my lovely mother afe, na kwanini aliruhusu afe wakati alijua kua mama angu ndo furaha yangu yeye ndo alienisabaishia hizuni mpaka leo na kwa hili ata aombe msamaha siwezi kumsamehe

Tatu:kwa nini amekua wa kujificha sana au hataki watu wake waujue ukweli kuhusu yeye ina maana mi nnavohangaika kutafuta dini ya kweli yeye hanioni ? aniombe msamaha kwa kweli
Aisee
 
Hapo ndipo utakuja kuona habari za mungu zina ukakasi sana

Adam na eva baada ya kuasi kutokana na kushawishiwa na shetani, tunamuona mungu anatoa adhabu pamoja na laana kubwa kwa viumbe vyake ambavyo yeye mwenyewe amekiri kua havijakamilika. Hii pia ni adhabu ya uonezi kabisa kuwahi kutolewa na huyu mungu. Adamu atakula kwa jasho, huku eva/hawa akijifungua kwa uchungu pamoja na kupunguziwa miaka ya kuishi duniani

Lakini hatujaona mungu huyu akitoa laana kwa shetani kua kutokana na dhambi ya kumshawishi eva/hawa basi utatafuta kwa jasho, au utazaa kwa uchungu na hautadumu milele utakufa. Zaidi tunamuona mungu huyu pamoja na shetani wanatembeleana wakipiga soga. Wakati sisi huku vitabu vyake vimesema hatuwezi kumuona kutokana na dhambi tulionayo, je sisi tunadhambi gani kumzidi shetani mbona yeye anapiga stori na shetani ambaye ndiyo msababishi wa dhambi mpaka sisi kumuasi yeye?

Sent using unknown device
Bandiko lako linafikirisha sana.
 
Poleni na majukumu wakuu,. Kama heading inavosema apo kama kweli mungu yupo inabidi aniombe msamaha kwa sababu zifuatazo

Moja: Kama Mungu yupo yupo basi ni wazi kua yeye ndo alopanga maisha ya mwanadam kuanzia kuzaliwa mpaka kufa kwake, hivo basi ata aya magumu ninayopitia ni wazi alipanga yeye iwe hivi aniombe msamaha kwa hili

Mbili:kama kweli yupo basi ni yeye anaeruhusu watu wafe na wengine wazaliwe kwa maana iyo ni yeye ndo aliruhusu ndugu zangu nnaowapenda akiwemo my lovely mother afe, na kwanini aliruhusu afe wakati alijua kua mama angu ndo furaha yangu yeye ndo alienisabaishia hizuni mpaka leo na kwa hili ata aombe msamaha siwezi kumsamehe

Tatu:kwa nini amekua wa kujificha sana au hataki watu wake waujue ukweli kuhusu yeye ina maana mi nnavohangaika kutafuta dini ya kweli yeye hanioni ? aniombe msamaha kwa kweli
Chief kama bado hajakujibu basi akishakuomba msamaha naomba uniunganishe naye nina mawili matatu ya kujadiliana naye!
 
Back
Top Bottom